beach

A beach is a landform alongside a body of water which consists of loose particles. The particles composing a beach are typically made from rock, such as sand, gravel, shingle, pebbles. The particles can also be biological in origin, such as mollusc shells or coralline algae.
Some beaches have man-made infrastructure, such as lifeguard posts, changing rooms, showers, shacks and bars. They may also have hospitality venues (such as resorts, camps, hotels, and restaurants) nearby. Wild beaches, also known as undeveloped or undiscovered beaches, are not developed in this manner. Wild beaches can be appreciated for their untouched beauty and preserved nature.
Beaches typically occur in coastal areas where wave or current action deposits and reworks sediments.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Coco Beach kuwa eneo la uwekezaji, kivutio na utunzaji wa mazingira

    #HABARI MANISPAA ya Kinondoni imesema imejipanga kuhakikisha eneo la ‘Coco Beach’ linakuwa la uwekezaji, kivutio na utunzaji wa mazingira. ======= Ofisa Elimu Manispaa hiyo, Theresia Kyara, alieleza mikakati hiyo jana mkoani Dar es Salaam, wakati wa upandaji wa miti uliofanywa na kampuni...
  2. M

    Mamlaka husika hilo Jengo lililobomolewa mwaka 2014 hapo Makonde jirani na Shekinah Garden linaachwa ili lipendezeshe Jiji na Mbezi Beach au?

    Haiingii Akilini nililishuhudia likibomolewa mwaka 2014 cha Kushangaza hadi leo mwaka 2022 lipo vile vile na kama Mwenye Jengo kaamua Kulisusia au Mamlaka nayo imeamua Kulisusia. Tafadhali Mamlaka husika ama mumwambie mwenye Jengo alijenge upya au kama sasa lipo chini ya Mamlaka basi...
  3. Superbug

    Nani anamiliki mradi wa nyumba 83 za kupanga Kunduchi Beach?

    Kuna mradi wa nyumba 83 unajengwa hapa Kunduchi beach, Je mmiliki ni nani?
  4. TODAYS

    Warere Beach Resort: Zainab Oladehinde alikubaliana na mlinzi kufanya mapenzi. Alitaka tumlipe fidia USD 10,000

    Kwa ufupi ni kuwa yule dada wa kinigeria alimpenda mlinzi wa kimakua na akaona haiwezekani kulala mwenyewe ila baadae akamgeuka, na walifikishana mpaka kwa mkuu wa wilaya ili kusuluhisha. Lakini yuke binti wa kiniger akagoma mpaka alipwe kitita cha US dollar 10,000 takribani 23.5mil ili...
  5. M

    Sakata la Warere Beach hotel kwa mtalii mgeni, Serikali ichunguze, wahusika wachukuliwe hatua, wametia doa sekta ya utalii nchini

    Katika pitapita zangu za leo nimekutana na tweet hii ya binti kutoka Nigeria,aliyekuja Tanzania kwenye matembezi na kusherekea sikukuu yake ya kuzaliwa . Ameeleza namna ambavyo alikuwa amelala Warere beach hotel na usiku wa manane akashangaa kuna mwanaume kitandani anampapasa papasa na...
  6. Lord denning

    Amos Makala Hongera kwa Coco Beach, Ila huoni Kama tunaweza fanya zaidi ya pale?

    Hongera sana Amos Makala na Uongozi wa Jiji la Dar es Salaam na Awamu ya Sita kwa ujumla kwa ubunifu wa Coco Beach. Yaliyolewa Malalamiko mengi sana kuhusu namna ile sehemu ilivyokuwa hovyo na mabanda ya hovyo jambo lililopelekea kupoteza mvuto! Kwa maboresho yaliyofanyika kwa kujenga mabanda...
  7. M

    Kuna uwezekano wa kuchimba kisima kwenye beach plots

    Habarini wakuu, Tafadhali naomba kujua kama kuna uwezekano wa kuchimba kisima kwa beach plots ambazo zipo kama 400m toka beach. Asante.
  8. M

    Natafuta eneo Beach

    Nawasalimu wanaforum wenzangu, Kama kuna eneo la Beach kuanzia heka 2 kwenda mbele, mkoa wa Pwani, Tanga ama Zanzibar bei za kawaida kwa sisi waswahili tafadhali tuwasiliane, WhatsApp +255675308774
  9. mgt software

    Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea

    Wana JF, Mama mmoja mke wa mzee maarufu wa Kiti Moto ya kwa Mzava, amekutwa amefariki na damu zimetapataa sakafuni. Haijulikani chanzo kilichopelekea kifo chake. Baada ya kifo, mme hapatikani kwenye simu yake, gari la mme limekutwa limetelekezwa getini na halijafungwa. Huyu mama alikuwa...
  10. M

    Natamani na Misafara ya Marais wetu nayo iwe ni midogo kama niliyomwona nayo leo CDF Gen. Mabeyo akielekea Kwake Kawe Beach

    Wala siyo Gari nyingi bali ni Nne tu kama siyo Tano tofauti na za Marais ambazo unaweza hata Siku ukakutana nazo zikiwa 43 au 69 kabisa. Hata hivyo kuna Mwamba Mmoja aliniambia kuwa huo Msafaea wa CDF Gen. Mabeyo ni mdogo hivyo ila waliopo hapo Kiulinzi ni wale Wajuba watupu wa 92KJ kule Sanga...
  11. M

    Coco beach ni pachafu kupita beach zote Dar es Salaam Halmashahuri husika zinabidi ziwajibishwe

    Yaani ningekuwa kiongozi mwenye mamlaka nilichokiona jana , Leo ningeamkia kwa halmashahuri ya Kinondoni nijuwe tatizo liko wapi na niwapeleke mpaka eneo la tukio washuudie wenyewe halafu waseme kama ni sawa kuwa na beach kama Coco iliyokuwepo maeneo ya Uzunguni kuwa chafu kama ilivyo wakati...
  12. Sky Eclat

    Beach wear kabla shetani hajakabidhiwa cherehani

  13. Kamanda Asiyechoka

    Kwa akili ya kawaida, watu wa maeneo ya Tandale, Temeke, Buza, Buguruni na Uswazi yooote wataweza kwenda Coco Beach kununua bidhaa?

    Huku ni kukosa mipango ya kiuchumi na mipango miji
  14. jollyman91

    Intercontinental beach soccer cup: Iran 6-1 Japan

    Iran have sealed their progression into the knockout stages, with a commanding 6-1 win over Japan in Group B of the 2021 Inter-continental Beach Soccer Cup in Dubai. After a goalless action in the opening time-frame, Team Melli took the lead, early in the second period through Mohammad Ali...
  15. MTV MBONGO

    (Kipori/ Kamsitu)Njia ya vumbi kuelekea South Beach Hotel, Kigamboni, ina vibaka wanaopora simu

    Jana usiku Oktoba 09 mida ya saa 4 kasoro, jamaa yangu mmoja akiwa na mpenzie ndani ya gari, wakiendesha slow motion ndani ya barabara ya Kokoto. Huku shemeji yangu akiongea na simu, GHAFLA BIN VUU, jamaa katokea kwenye kichaka na kumpora Shem simu. Wahusika: SOUTH BEACH HOTEL NA WANAUSALAMA...
  16. P

    Coco Beach kulikoni, kumepita kimbunga au yanafanyika maandalizi ya kupaboresha?

    Asubuhi hii nimepita barabara ya baharini nikielekea Sea Cliff Hotel. Pale maeneo ya Coco Beach ambayo ni maarufu kwa mihogo ya kukaanga nimeona vibanda vyote vimebomolewa isipokuwa msikiti. Kumepita kimbunga au yanafanyika maandalizi ya kuboresha eneo hili maarufu?
  17. Tusker Bariiiidi

    Gari latumbukia Baharini Coco Beach

    Kuna clip inazunguka kwenye Watsap kuwa kuna Gari limetumbukia COCO BEACH mchana huu ==== Gari aina ya Toyota Land Cruiser Prado limetumbukia katika Bahari ya Hindi eneo la ufukwe wa Coco huku polisi wakieleza kusubiri afya ya dereva wa gari hilo kuimarika ili waanze uchunguzi. Kamanda wa...
  18. M

    Kuna kidada cheupe pale TANESCO Mbezi Beach Afrikana nani anakipa jeuri namna ile?

    Kama mwezi hivi umepita! Baada ya kusikia bei ya umeme imeshuka, Nilimtuma mdogo wangu kuomba umeme pale afrikana Tanesco! Kwasababu nyumba ile anaishi mdogo wangu, hivyo nikamwambia aingize umeme kwa jina lake! Dogo alipofika pale ili kuchukua fomu, Alikikuta kidada cheupe hivi kina nywele...
  19. Junnie27

    SUBARU FORESTER S TURBO YEAR 2OO4 BEI MILION ..8 LOCATION MBEZ BEACH

    on sale Subaru forester turbo sf
  20. lara 1

    Weekend story: A Woman of the people

    Igweeeeeeeee!!! RIP WARUMI! (Mimi na wewe tulikuwa na tofauti zetu za hapa na pale but all Ina all you were a good man, young and vibrant! You will be much missed! Haswaa vi chambo vyako! ) Im back from around the world! Kabla hamjapanic nimerudi na Vuuu tu! Nothing to show picha tu! So...
Back
Top Bottom