Hizi ni Sendo za kiume nzuri, imara na zilizotengenezwa kwa mikono. Hii ni bidhaa ya Kiafrika. nakuuzia kwa Tsh. 15,000 leo.
Piga/WhatsApp: 0683535699, na nitakuletea ukiwa Dar.
Habari za wakati huu wanajukwaa.
Naomba niulizie kwa anayepangisha fremu ya biashara kwa bei nafuu hasa kipaumbele changu ni maeneo ya Buguruni Malapa na Ilala japo nakaribisha wa maeneo mengine ila iwe ndani ya Dar es salaam na eneo lililochangamka, mwingiliano wa watu.
Natanguliza shukrani...
wapendwa
Ukiacha biashara nilizonazo nimeamua kujikita kwenye biashara ya kiti moto.
kwa wale wa Dar tujuzane inahitaji mtaji wa sh ngapi kuanzia.
Mahali pa biashara papo
fridge zipo
mizani ipo
Hasaa nahitaji kujua kiasi cha kuanzia hela zipo.
sehemu za upatikanaji kirahisi namaanisha...
Njia mbili kuu za kutafuta na kupata viwanja vinavyouzwa kwa bei nafuu ni kupitia madalali na mtandao wa watu sahihi.
Madalali wa ardhi na majengo.
Madalali wa ardhi ni watu wenye ujuzi wa masoko ya ardhi na wanaweza kukusaidia kupata viwanja vilivyopo kwenye bei nafuu.
Madalali wana uelewa...
NYUMBA YA KISASA(HEKALU) INAUZWA.
Location : Goba
TAARIFA ZA NYUMBA
1) GOROFA YA JUU
--- V.I.P Masterbedroom yenye ukubwa wa 30sqm na imezungukwa na balcon upande wa kulia, kushoto na upande wa kichwa.
---GYM yenye CHUMBA na CHOO ndani yake.Ukiwa unatoka nje ya Gym kuna balcon nyingine...
HABARI JAMII FORUM
--Gari aina ya Isuzu Journey inauzwa na Benki kwa njia ya Mnada.
--Sababu ya kuuza ni, mdaiwa ameshindwa kurudisha mkopo katika muda aliopangiwa hivyo mali zake zimekamatwa zinauzwa kufidia deni.
-MAWASILIANO: 0679781081 (Simu/sms), 0784379396 ( Whatsaap only)
-Email...
Wadau, salaam!
Mi nipo kanda ya ziwa. Nina kiduka, ambacho kinafanya shughuri za ki fedha, yaani, wakala wa Benki mbali mbali, na pia, makampuni ya simu. Pamoja na wateja wa kutoa na kuweka fedha, wapo wa kununua Luku, pamoja na kulipia maji.
Sasa, toka mwezi huu wa Septemba uanze, nimekuwa...
U hali gani mwana JF?
Nahitaji kufahamu simu aina ya Google Pixel nzuri, haijalishi ni mpya ama ya zamani, kikubwa iwe inapatikana kirahisi, simu yenye bei rafiki isiyozidi 300k, hata kama ni ya mkopo, yenye camera kali zinazoeleweka na kufanania range, mfano 50MP, 48MP, 40MP na 42MP Real...
Habari,
kwa jina naitwa Anderson Mgaya ni kijana mwenye uzoefu na uwezo mkubwa katika Web Development na Application Development. Ikiwa unahitaji tovuti ya kisasa au programu itakayowezesha biashara yako au mradi wako kufikia viwango vya juu, niko tayari kufanya kazi na wewe kwa bei nafuu...
Karibu nikuuzie mbegu bora ya Kambale kwa bei nafuu ya Tsh 300 kwa kifaranga kimoja.
Kambale ni aina ya samaki mstahimilivu na anayefugika kwa urahisi kuliko aina nyingine ya samaki. Mbali na kuwa mstahimilivu, pia wana sifa ya kukuwa haraka mara mbili zaidi ya sato.
Unaweza kuboreshe...
Je, unahitaji huduma bora za Graphic Design? Kama jawabu ni ndio! Basi hii ni sehemu sahihi ya kutatua haja yako.
Tunatoa huduma bora za graphic design kwa bei nafuu:
🔹 Huduma ya Logo design zenye kuvutia na za kipekee.
🔹 Huduma ya business Card design.
🔹 Huduma ya Flyer
🔹 Huduma ya poster...
Umeme ni nishati muhimu sana na tunu katika manufaa makubwa ya maisha yetu ya kila siku. Umeme unaumuhimu mkubwa sana katika nyanja zifuatazo;
1. Uendeshaji wa viwanda vikubwa na vidogo vidogo. Umeme husaidia sana kuendesha viwanda hivyo gharama zikiwa kubwa ata bidhaa zitauzwa kwa bei kubwa na...
Logo ni utambulisho wa biashara yako sokoni
Umuhimu wa Logo ni kama umuhimu wa kitambulisho
Logo inatumika kuonyesha umiliki wa bidhaa na huduma zako
Kufanya biashara bila logo ni sawa na kufanya biashara bila utambulisho
Karibu tukusaidie upate logo inayowakilisha biashara yako
Logo zetu...
Habari wapendwa karibuni TV Aina za Hisense mpya.
32 (kawaida) 370,000
32 (Smart) 450,000
40 (kawaida) 560,000
40 (Smart) 595,000
43 (kawaida) 635,000
43 (Smart) 675,000
Sound bar zpo za Aina zote
Fridge
Sabufa Aina zote bei kwanzia 90000 nakuendelea
Washing machine zpo 110,000
Pazia nzito 2...
KOROSHO BOMBA ni wauzaji wa korosho kutoka Tandahimba, Mtwara kwa jumla na reja reja. Tunapatikana Mbagala Rangi Tatu, jijini Dar es salaam.
Bei zetu ni;
1) Korosho mbichi nyeupe ni Tsh. 15,000 kilo moja
2) Korosho za ku roast za chumvi au pilipili ni Tsh. 18,000 kilo moja
Delivery bure popote...
Habari Zenu Ndugu Zangu Wa Jukwaa Hili La Biashara Ni Matumaini Yangu Kuwa Ni Wazima Wa Afya Na Mnaendelea Vizuri.
Bila Kupoteza Muda Ningependa Niende Moja Kwa Moja Kwenye Mada Iliyonifanya Hadi Nikafika Hapa.
Binafsi Mimi Ni Dalali/Middleman Ivyo Hii Ni Moja Ya Sehemu Ya Kazi Zangu Za Kila...
Viatu ni vizuri na imara sana.
Bei: 12,000 tu
Napatikana Dsm Segerea mwisho.
Ukihitaji huduma ya delivery utaletewa kwa gharama zako.
Mikoani pia utatumiwa kwa gharama zako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.