bei nafuu

  1. L

    Canter inauzwa kwa bei nafuu

    Habari wadau,,,,ninauza canter ya tani nne kwa bei nafuu, imetembea km 48500 tu, na bodi lake Lina urefu wa mita 4,,,,,,kwa maelezo zaidi piga namba 0783696253,,,ninapatikana dar es salaam
  2. D

    Wapi pa kupata vifaa vya stationery kwa bei nafuu sana?

    Habari zenu wadau. Naombeni mwenye uzoefu anisaidie kujua ni wapi naweza kupata vitu vya Stationery kwa bei nafuu sana, mfano pen, karatasi, mafaili n.k Natanguliza shukrani
  3. Mike400

    INAUZWA Powerbank kwa bei nafuu

    Habari za majukumu wakuu nina powerbank used proda 20000 mah ipo katika hali nzuri.. Bei tsh 60000. Napatikana Moshi Mjini. 0655234557.
  4. muuza magari

    Agiza toyota harrier 2015 kwa bei rahisi zaidi

    Gari ipo Japan na inachukua siku 30 kufika pindi unapo agizia na hiyo gharma ni GHARAMA KAMILI PAKA GARI LINAKUFIKIA MKONONI IKIWA NA KILA KITU KASORO BIMA na pia hamna gharama zozote zitakazo ongezeka zaidi ya hapo. MALIPO HUFANYWA KWA AWAMU TATU (3) 1) Unalipia CIF yani bei ya kutoka japan...
  5. Lyamber

    Yafahamu magari ya bei nafuu unayoweza kununua Tanzania

    Kwa utafiti usio rasmi kwa mtazamo wangu baada ya kupita pita kwenye magroup ya Whatsapp na Kurasa za facebook za wauza magari yaliyotumika hapa Tanzania ni kama yafuatayo: Toyota Vitz, IST, Raum, Passo, Run X Mark II, Grande,Altezza Cresta, Brevis, Nissan X - Trail haya bei zake huanzia...
  6. mashonga

    Malalamiko mbalimbali kuhusu mabadiliko ya vifurushi yaliyofanywa na mtandao wa Tigo kwa mwaka 2020

    MALALAMIKO MBALIMBALI YALIYOTOLEWA NA WADAU: Habari za mida hii wakuu, hivi haya mabadiliko ya bando za Tigo ni kwangu tu au kwa watu wote? Maana daah bando zimekuwa ghali sana kwa sisi Wananchi wanyonge. ===== --- --- --- --- --- --- ===== WADAU WENYE MTAZAMO TOFAUTI: --- ---...
  7. Laptop bei nafuu

    Pata simu aina zote mpya kwa bei nafuu 0652 565 597

    Simu za infinix zilizopo zote ni mpya: Hot 8 lite bei 250,000 Smart 3+ bei 290,000 Hot 7 bei 240,000 S4 bei 350,000 Simu za Tecno zilizopo zote ni mpya Spark 2 bei 230,000 Spark 3 na pro yake bei 250,000 Spark 4 bei 300,000 Camon 12 bei 350,000 Kwa mawasiliano piga simu 0652 565 597 au 0743 448...
  8. Corticopontine

    Lema na wenzako ilani ya CHADEMA mwaka 2015/2020 ukurasa wa 53, mkasome vizuri

    Vijana wa CHADEMA mna maana gani mnapoyakana maandishi yenu wenyewe au ndo uvivu wa kusoma? Ipitieni upya ilani yenu la sivyo mtakuwa kama akina Lema wanaopinga hata vivuli vyao Ilani yenu ilimaaanisha nn kufufua shirika la ndege la Tanzania au mlimaanisha ndege za kivita?
Back
Top Bottom