biashara

  1. Live from Stanbic Biashara Incubator,Acacia Building: Policy Forum Breakfast Debate: Illicit Financial Flows (A Burden to Tanzania National Budget

    Wanabodi, Niko hapa jengo la Acacia, kwenye Stanbic Biashara Incubator, kuhudhuria debate ya Policy Forum kwenye Breakfast kujadili kuhusu kitu kinachoitwa Illicit Financial Flows (A Burden to Tanzania National Budget. Hapa tunajadili jinsi Tanzania tunavyoibiwa mi fwedha ya kutosha kupitia...
  2. Masaa 24 biashara Kariakoo, hali ya usalama mitaani wanakotoka wateja inaruhusu?

    Mitaa yetu ina giza nene totoro na vibaka wengi sana, na wakati mwingine hakuna umeme kabisa. Ni jambo jema sana biashara kariakoo masaa 24, itasaidia kuchechemua uchumi wa watu, familia, jiji na taifa kwa ujumla. Usalama Kariakoo umeimarishwa kwa kufunga taa, kamera na kuwa na walinzi wa watu...
  3. B

    Faida za Biashara viazi mviringo

    Naombeni msaada jinsi ya kupata soko la viazi mviringo mkoan , Lakini pia gharama za usafirishaji kuja dar es salaam . Gharama zake zimekaaje . Naombeni msaada wa mawazo
  4. Website za biashara na mauzo ya maudhui (ingiza kipato)

    1. Website ya biashara/kampuni: Tsh 370,000 -Inakuwa tayari ndani ya wiki mbili. Free domain name (.com .org .co .io) 10 Business emails (mfano: info @ biasharayako . com) Free SSL certificate Up to 50GB storage Unlimited bandwith Up to 3 subdomains: mfano 👇 Domain: www . biasharayako . com...
  5. Kuna baadhi ya watu wameumbwa kupinga Kila kwa kisingizio biashara hii inalipa

    Kuna baadhi ya watu wameumbwa kupinga Kila kitu, kuna Uzi mmoja wa jamaa anazungumzia bishara zinazo lipa zaidi kuliko baadhi ya watumishi serikalini. Ajabu nikwamba, mtu anatokea kupinga bishara flani kutolipa wakati idea za bishara zinazo lipa kazikumbatia kwapani.! Tunona Kila siku...
  6. Biashara kila kona, mnaharibu ladha ya nchi

    Kila Kona Kuna biashara, watu wanahangaika sana kwa sababu ya pesa. Halafu hiyo pesa wanatumia ikulipa ili waishi Katika sayari yao wenyewe. Dunia imekuwa kama jenehamu, biashara zinahharibu radha ya jiji.
  7. Biashara ya nazi bei ya jumla

    Habarini wanaJF, naomba msaada mwenye kujua kuhusu biashara hii anipe abc. Nina mtaji wa laki nne nataka niagize nazi niiuze bei ya jumla kwenye masoko mfn. Ilala, Temeke au BugurunI
  8. “UNATAKA KUANZA BIASHARA, LAKINI HAUNA IDEA” HAPA NI NINI CHA KUFANYA?

    8. Jaribu na Chukua Hatua Ndogo Ikiwa bado unajisikia kukwama, jambo bora unaloweza kufanya ni kusitisha kufikiri kupita kiasi na kuanza kujaribu. Huhitaji kuwa na wazo bora au mpango mzuri wa biashara kabla ya kuchukua hatua. Wakati mwingine, njia pekee ya kupata wazo lako kubwa ni kujaribu...
  9. Biashara ya dagaa ndani na inje ya inchi ni hapa

    Habari ya leo wanajamii forum ?natumaini tunaendelea kupambana na kuendesha gurudumu liende mbele. Waswahili wanasema ili usianguke na baiskeli hauna budi kukanyaga pedeli ili isonge mbele na ukiacha kukanyaga lazima udondoke.Hivyo endelea kukanyaga MUNGU WA WOTE Haijalishi kiasi gani tunamkosea...
  10. Ofa kwa wanaotaka kufungua kampuni na wanaomiliki kampuni au biashara ya aina yoyote

    Kampuni ya Moms Consulting imeamua kurudisha kwenye jamii kwa kutoa ofa eneo la usajili wa makampuni na biashara(Company and Business name registration) na Ushauri wa kodi(Tax consultancy),kuanzia 22-02-2025 hadi 31-03-2025 kwa kuzingatia vigezo na mashariti ya ofa kama ifutavyo: 1.Kwa wateja...
  11. Ofa kwa wanaotaka kufungua kampuni na wanaomiliki kampuni au biashara ya aina yoyote

    Kampuni ya Moms Consulting imeamua kurudisha kwenye jamii kwa kutoa ofa eneo la usajili wa makampuni na biashara(Company and Business name registration) na Ushauri wa kodi(Tax consultancy),kuanzia 22-02-2025 hadi 31-03-2025 kwa kuzingatia vigezo na mashariti ya ofa kama ifutavyo: 1.Kwa wateja...
  12. Ofa kwa wanaotaka kufungua kampuni au ambao wanamiliki kampuni au biashara

    Kampuni ya Moms Consulting imeamua kurudisha kwenye jamii kwa kutoa ofa eneo la usajili wa makampuni na biashara(Company and Business name registration) na Ushauri wa kodi(Tax consultancy),kuanzia 22-02-2025 hadi 31-03-2025 kwa kuzingatia vigezo na mashariti ya ofa kama ifutavyo 1.Kwa wateja wa...
  13. B

    Fursa katika frem ya biashara

    biashara nyingi zinahitaji frem..sio zote ila nyingi....na sio frem tu...ni frem iliyo location muhimu..sio iliyojificha ficha... kuna frem inapangishwa SIFA ZA HII FREM **frem iko barabarani, main road kabisa **frem ni kubwa sana pana na imeingia ndani **frem ina ubaraza mkubwa sana kiasi...
  14. Unataka kuanza biashara, lakini hauna idea” hapa ni nini cha kufanya?

    Kwa pamoja, sasa tuanze kujifunza hatua moja hadi nyingine. Njia 8 za Kugundua Wazo Lako Kubwa 1. Tambua Uwezo Wako na Mambo Unayoyapenda Moja ya njia bora za kugundua wazo lako la biashara ni kuanza na wewe sifa zako, nguvu zako, na mambo unayoyapenda. Kwa nini? Kwa sababu kujenga biashara ni...
  15. Unataka kuanza biashara, lakini hauna idea” hapa ni nini cha kufanya?

    Najua unatamani sana kuanza biashara. Unaiota, unazungumzia kuhusu hiyo, unakatiza kupitia hadithi za mafanikio mtandaoni ukifikiria, Hii inaweza kuwa mimi. Lakini unapokuja kuchagua wazo Unagandishwa. Unajisikia umekwama, umejaa wasiwasi, labda hata umechoka kidogo. Labda umeshawahi kusema...
  16. N

    NIDA Ubungo: Wafanyakazi wabuni biashara ya kukodisha Kanga kwa wanaofuata vitambulisho

    Ofisi ya Nida ubungo wameanzisha biashara nyuma ya zoezi la ugawaji wa vitambulisho linaloendelea. - Wafanyakazi wa getini wamekuwa wakitoza elfu moja moja ya kanga kwa wanawake ambao wamekuja wakiwa wamevaa suruali za jeans au nguo ya kata mikono. Unapofika tu getini kuuliza, kama umevaa...
  17. Biashara ambazo unaweza kuanzisha bila FREMU na jinsi ya kuzianzisha!

    Biashara ambazo unaweza kuanzisha bila FREMU na jinsi ya kuzianzisha! Maisha ni magumu, na najua kuna wakati unatamani kufanya biashara, lakini ukijiangalia, mtaji ulionao ni mdogo, hivyo huwezi kupangisha fremu na kununua bidhaa. Kuna biashara nyingi unazoweza kuanza bila kupangisha fremu...
  18. P

    Ninamtaji wa laki 2 na nusu je biashara gani naweza kuifanya?

    Natamani kufanya biashara kwa kianzio cha laki mbili na nusu he biashara gani nifanye
  19. M

    Kama haupo vizuri kiroho ni ngumu ku-run biashara kubwa

    Wakuu ulimwengu wa biashara upo kiroho zaidi Ukiachana na kuwa smart kichwani Ila inabidi uwe vizuri kiroho. Nimefanya biashara kubwa nimejionea hili swala. Don't hustle in vain nigga Pray pray pray.
  20. Toyota IST vs Toyota Aqua katika biashara ya Taxi

    Habari wakuu, Kuna huyu mdogo wetu kitaani hapa amemaliza chuo miaka kadhaa iliyopita ila yupo home Hana mishe za kueleweka. Sasa Mzee kastaafu na ameshachukua kiinua mgongo. Dogo amemwomba Mzee anunue gari ili awe anapiga mishe za taxi mtandao(Uber,bolt nk). Chaguo lake yeye lilikuwa ni...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…