biden

  1. MK254

    Rais mteule wa Marekani Joe Biden afanya mazungumzo na Rais Uhuru kuhusu mambo mengi

    Hii muhimu sana kwa huyo rais mteule kuanza kuongea na viongozi wenye ushawishi mkubwa duniani kupanga namna ya kuirejesha Marekani kwenye nafasi iliyokua nayo hapo awali kabla kuharibiwa na yule mzee chizi. President Uhuru Kenyatta (left) and US President-Elect Joe Biden President Uhuru...
  2. Miss Zomboko

    Donald Trump aridhia kuanza kwa mchakato wa kumkabidhi madaraka Joe Biden

    Donald Trump ametangaza mapema Jumatatu jioni, Novemba 24, kwamba ameridhia ufunguzi wa mchakato wa kumkabidhi madaraka mrithi wake Joe Biden kutoka chama cha Democratic, zaidi ya wiki mbili baada ya kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais. Idara ya serikali ya Marekani inayoratibu shughuli ya...
  3. Miss Zomboko

    Urusi: Putin asema hatompongeza Biden mpaka Trump atakapoyakubali matokeo

    Vladimir Putin described the Kremlin's decision not to congratulate Joe Biden as "a formality" with no ulterior motives. Russian President Vladimir Putin said he's ready to work with any U.S. leader, but still isn't ready to recognize the election victory of Joe Biden. "We will work with...
  4. U

    Rais Mteule wa Taifa la Marekani Joe Biden leo Ijumaa ametimiza umri wa Miaka 78 ya kuzaliwa kwake

    Happy birthday to him Happy anniversary to the family Kwa niaba ya Makada wote Wazalendo Nchini Tanzania Namtakia kila la kheri Rais Mteule anaposherehekea siku yake muhimu ya kuzaliwa Tunampongeza pia kwa ushindi wa kishindo
  5. GENTAMYCINE

    Kwanini nilikuwa nikiiangalia Sura ya Trump naona 'Fujo' na 'Ukatili' ila nikiiangalia ya Biden naona 'Amani, Furaha na Upendo' tupu?

    Japo Marekani sijafika na kuna uwezekano hata nisifike kabisa, ila tangia Joe Biden 'atangazwe' Mshindi nami najiona kama vile nipo Washington.
  6. E

    Hotuba ya Joe Biden mara baada ya kuchaguliwa kuwa Rais wa 46 wa Marekani

    Habari za leo wana JamiiForums, Natumai muwazima wa afya njema. Leo nilikua naangalia hotuba ya Rais wa U. S aliyechaguliwa bwana Joe Biden. Kwakweli ukimsikiliza kwa umakini Joe Baden unaweza mfananisha na Obama kwa jinsi anavyo hutubia. Mimi nadhani tutarajie yale aliyoyafanya Obama ndio...
  7. Mlenge

    Biden-Trump 2020 Confusion Matrix

    US President in 2021 False Fraud Allegations True Fraud Allegations Remarks President Biden Jamii itawaona chama cha Republican na Rais Trump ni ving'ang'anizi tu wa madaraka. Watu wasiokubali kushindwa. Wanaotumia mbinu mbalimbali kutaka kung'ang'ania...
  8. Stephano Mgendanyi

    Hotuba ya Rais mpya wa Marekani Joe Biden baada ya ushindi kwa Kiingereza na Kiswahili (Biden-Harris)

    HOTUBA YA JOE BIDEN BAADA YA USHINDI My fellow Americans, the people of this nation have spoken. They have delivered us a clear victory. A convincing victory. A victory for “We the People.” We have won with the most votes ever cast for a presidential ticket in the history of this nation -- 74...
  9. Parody

    Trump alikuwa akicheza gofu wakati Biden alipotangazwa mshindi!

    Kama kawaida yake, Trump huwa hajali! Hata wakati Marekani inahangaika kukimbizana na Corona, mwamba alikuwa bize na gofu! Na leo tena, Biden anatangazwa mshindi, yeye yupo bize na gofu. Nadhani ataendelea kucheza zaidi maana amepumzishwa majukumu ya White House. (Picha na AP)
Back
Top Bottom