Hii muhimu sana kwa huyo rais mteule kuanza kuongea na viongozi wenye ushawishi mkubwa duniani kupanga namna ya kuirejesha Marekani kwenye nafasi iliyokua nayo hapo awali kabla kuharibiwa na yule mzee chizi.
President Uhuru Kenyatta (left) and US President-Elect Joe Biden
President Uhuru...
Donald Trump ametangaza mapema Jumatatu jioni, Novemba 24, kwamba ameridhia ufunguzi wa mchakato wa kumkabidhi madaraka mrithi wake Joe Biden kutoka chama cha Democratic, zaidi ya wiki mbili baada ya kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais.
Idara ya serikali ya Marekani inayoratibu shughuli ya...
Vladimir Putin described the Kremlin's decision not to congratulate Joe Biden as "a formality" with no ulterior motives.
Russian President Vladimir Putin said he's ready to work with any U.S. leader, but still isn't ready to recognize the election victory of Joe Biden.
"We will work with...
Happy birthday to him
Happy anniversary to the family
Kwa niaba ya Makada wote Wazalendo Nchini Tanzania Namtakia kila la kheri Rais Mteule anaposherehekea siku yake muhimu ya kuzaliwa
Tunampongeza pia kwa ushindi wa kishindo
Habari za leo wana JamiiForums,
Natumai muwazima wa afya njema.
Leo nilikua naangalia hotuba ya Rais wa U. S aliyechaguliwa bwana Joe Biden.
Kwakweli ukimsikiliza kwa umakini Joe Baden unaweza mfananisha na Obama kwa jinsi anavyo hutubia. Mimi nadhani tutarajie yale aliyoyafanya Obama ndio...
US President in 2021
False Fraud Allegations
True Fraud Allegations
Remarks
President Biden
Jamii itawaona chama cha Republican na Rais Trump ni ving'ang'anizi tu wa madaraka. Watu wasiokubali kushindwa. Wanaotumia mbinu mbalimbali kutaka kung'ang'ania...
HOTUBA YA JOE BIDEN BAADA YA USHINDI
My fellow Americans, the people of this nation have spoken.
They have delivered us a clear victory. A convincing victory. A victory for “We the People.”
We have won with the most votes ever cast for a presidential ticket in the history of this nation -- 74...
Kama kawaida yake, Trump huwa hajali! Hata wakati Marekani inahangaika kukimbizana na Corona, mwamba alikuwa bize na gofu! Na leo tena, Biden anatangazwa mshindi, yeye yupo bize na gofu. Nadhani ataendelea kucheza zaidi maana amepumzishwa majukumu ya White House.
(Picha na AP)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.