bima ya afya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. jingalao

    Bima ya Afya kwa wote wataalamu msizunguke mbuyu utekelezaji uanze mara moja!!

    Salamu! Mimi ni muumini na mdau kindakindaki wa huduma endelevu za afya chini ya uwekezaji wa Watanzania wenyewe. Nimesimama na hoja hii kwa muda mrefu na nitasimama nayo hadi kieleweke. Tanzania kama nchi lazima tukamilishe uhuru kamili kwa kuhakikisha masuala ya msingi, hususani huduma za...
  2. Ojuolegbha

    Unashiriki maandamano una bima ya afya? Au unataka kuwapa mzigo wa matibabu ndugu zako?

    Unashiriki maandamano una bima ya afya? Au unataka kuwapa mzigo wa matibabu ndugu zako?
  3. Replica

    Sheria ya bima ya afya kwa wote yaanza kutumika, kipengele cha 'lazima kwa wote' chasitishwa matumizi

    Waziri wa afya, Ummy Mwalimu ametoa tangazo la kuanza kutumika sheria ya bima ya afya kwa wote Tarehe 16 Agosti, 2024. Awali bima hii ilikuwa iwe lazima kwa wote na kuleta mjadala mkubwa lakini tangazo la matumizi halijajumuisha kipengele husika.
  4. A

    KERO Bima ya afya ya NSSF imejaa ukiritimba, wananchi tunaumia

    Naombeni mtusaidie kupaza sauti au kutafuta ukweli kuhusu bima ya afya inayotolewa na NSSF kuna ukiritimba unaifanywa na baadhi ya wamiliki wa hospitali wakishirikiana na wakuu wa makampuni binafsi kwa kuwataka wafanyakazi wote wa kampuni kutibiwa hospitali moja bila kujali unaishi wapi? Mfano...
  5. Gemini AI

    Rais Samia: Viwanda vya Sigara viweke tozo kwaajili ya kusaidia Bima ya Afya kwa wote ili Wanaougua watibiwe

    Rais Samia Suluhu Hassan amesema anatarajia Kiwanda cha Kusindika Tumbaku na Kuzalisha Sigara cha Serengeti kitaweka Tozo katika mauzo yake ili Fedha inayopatikana isaidie katika huduma za Afya Rais amesema hayo baada ya kuelezwa na Mwekezaji wa Kiwanda kuwa 5% ya Tumbaku inayozalishwa hapo...
  6. iamwangdamin

    Ummy Mwalimu asema NHIF ni urithi(legacy) iliyoachwa na Mkapa

    “As we are celebrating the life of the late Benjamin Mkapa, I would like to also mention that the National Health Insurance Fund is also a legacy of His Excellency Mkapa who started the initiative during his presidency”, says Ummy Mwalimu at the 2nd National Human Resource for Health...
  7. K

    Serikali futeni bima ya afya

    Asilimia kubwa ya wananchi wana Bima ya Afya lakini hakuna manufaa wanayopata kutokana na Bima ya Afya. Kila hospitali unayoenda ukiisha elezwa na mganga ugonjwa wako na dawa unazotakiwa kutumia basi hapo lazima uingie mfukoni. Jana nilienda kupata chanjo ya homa ya ini katika hospitali...
  8. N

    Msaada: Anayejua Kampuni ya Bima ya Afya yenye 'PACKAGE' Nzuri

    Wakurungwa, Je, unafahamu kampuni ya Bima ya Afya (Health Insurance) yenye Package nzuri hapa Tanzania. Natanguliza shukrani zangu za dhati
  9. R

    Hivi Serikali ililenga nini kufuta bima ya AFYA ya watoto chini ya miaka 5?

    Salaam, Shalom!! Huwa ninajiuliza juu ya vipaumbele vya Serikali ya Awamu hii nashindwa kuelewa, hivi bima ya watoto chini ya umri wa miaka 5 kufutwa, lengo Hasa ni nini? Matibabu ya watoto chini ya umri wa miaka 5 yaligharimiwa na Serikali Kwa Kodi zetu, sasa Badala ya kufuta ununuzi wa v8...
  10. Mwamuzi wa Tanzania

    Huu utapeli wa BIMA YA AFYA chini ya mitandao ya simu serikali wameubariki?

    Ni utapeli mkongwe kidogo mpaka sasa bado unaendelea. Bima gani eti unalipwa mpaka pale utakapolazwa kuanzia siku tano? Tena ukitoka ndipo uanze kufuatilia. Watanzania wengi wako busy na kusaka ugali, pia hawajui Sheria za msingi. Hawajui waanze wapi kupata haki zao. Kinachofanyika watu...
  11. OR TAMISEMI

    Kijiji cha Mundindi Wilaya ya Ludewa chawakatia Bima ya Afya wakazi wake wote

    Wananchi 3,149 wa kijiji cha Mundindi kilichopo Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe wametengeneza historia ya kipekee baada ya Serikali ya kijiji hicho kuwakatia bima ya afya wanakijiji wote ili waweze kupata huduma ya afya bila kikwazo cha fedha. Hatua hiyo imefikiwa baada ya Serikali kulipa fidia...
  12. Cute Wife

    Mahakama Kuu yatangaza Sheria ya Bima ya Afya ya Jamii ya mwaka 2023 kuwa kinyume na Katiba

    Pigo jingine kwa Rais Ruto baada ya Mahakama Kuu kutangaza Sheria ya Bima ya Afya ya Jamii ya mwaka 2023 kuwa kinyume na katiba. Sheria hii ilikuja baada ya NHIF kuondolewa, bima ambayo Wakenya wengi wamekuwa wakiitaka irejeshwe.
  13. Stephano Mgendanyi

    Uzinduzi wa Bima ya Afya ya Jamii Kijiji cha Mundindi - Wilaya ya Ludewa

    UZINDUZI WA BIMA YA AFYA YA JAMII KIJIJI CHA MUNDINDI - WILAYANI LUDEWA Tunakushukuru kwa tukio la Uzinduzi wa Bima ya Afya ya Jamii ya Kijiji cha Mundindi- Kata ya Mundindi- Wilayani Ludewa. Kijiji cha Mundindi kimefanikiwa kuandikisha wananchi kwenye mfuko wa Bima ya afya ya Jamii (iCHF)...
  14. P

    Baadhi ya Taasisi za Serikali zimekaa kiupigaji zaidi badala ya kutoa huduma bora kwa wananchi

    Kwanza nianze kwa kukiri kwamba watanzania ni watu wanaojituma sana kuhakikisha mkono unaenda kinywani na kujipatia maendeleo. Ila inasikitisha kuwa jitihada za watanzania wengi zinazimishwa na watu wachache wanaoanzisha taasisi au mifuko kwa lengo la kujineemesha kwa kutumia pesa za wananchi...
  15. Yoda

    Wanaoitwa wasanii Tanzania ni kundi lenye mahitaji maalumu?

    Hawa bongo movie na comedians wa bongo kwa nini kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakihitaji pesa za walipakodi wa Tanzania ziwahudumie katika mambo yao binafsi?
  16. A

    KERO Wateja wa bima ya afya I C H F kukosa huduma kituo cha Zamzam na Rwamishenye Bukoba MC

    Mpaka Sasa hamna MAJIBU yoyote kutoka kwa wasimamizi wa bima hizo kuhusu sababu za kusitisha huduma hiyo kwa wateja.
  17. Cute Wife

    Wanachama wa NHIF sasa wataweza kupata huduma kwa kutumia namba ya Kitambulisho cha Taifa

    "NHIF wameweka tangazo kupitia ukurusa wao wa Instagram kuwa sasa wanachama wa mfuko wa NHIF sasa wanaweza kutumia namba ya Kitambulisho cha Uraia kupata huduma za NHIF vitioni. "Sasa unaweza kutumia namba yako ya Kitambulisho cha Uraia kupata huduma za NHIF vituoni. Hii ni kwa wananchama na...
  18. Bonge La Afya

    SoC04 Kutumia mifugo na mazao kulipia bima ya afya, njia hizi zitasaidia Tanzania kufikia lengo la Bima ya Afya kwa wote

    Mifugo na mazao kulipia bima ya NHIF na mikakati ya Tanzania kufikia lengo la bima ya afya kwa wote Imeandikwa na Bonge La Afya UTANGULIZI Njia rahisi na nafuu za kulipia huduma za afya ni nguzo muhimu katika kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora za afya kwa wananchi. Katika nchi nyingi za...
  19. E

    SoC04 Tanzania Tuitakayo: Napendekeza Maboresho yafanyike Katika Bima ya Afya Kupitia Wazo Hili. "Self Mobile Health Insurance Service SMHIS "

    Utangulizi. SELF MOBILE HEALTH INSURANCE SERVICE (SMHIS). Ni mfumo wa kidijitali utakao mwezesha Mwanachama hai wa bima ya Afya kuomba kupata huduma ya matibabu kwa kutumia simu yake mwenyewe pamoja na Huduma ya kiafya kwa kutumia bima kupitia mtandao yaani (Digital health insurance service)...
  20. Marathon day

    Naomba kujua bei ya bima ya afya NHIF kwa familia, na kwa mtu mmoja

    Ndg wahusika naomba sasa wahusika watoke watupe mrejesho bei mpya za bima ya afya kwa familia na kwa kwa mtu mmoja, ili kuhamasisha watu wengi zaidi kupata bima ya afya
Back
Top Bottom