Mnogage,
Wakuu kuna kitu mm sikielewi kuhusu bima ya Afya ya Taifa, NHIF, bima hii ni yetu sote lakini m naona imekaa kuwapendelea watumishi wa serikali na kututesa watu tulipjiajiri ambao ndio wengi,
Kwanin nasema hivyo ?
Tazama, mtu anaelipwa 1,040,000/- anakatwa 31,000/- kwa mwezi kama...