A birthday is the anniversary of the birth of a person, or figuratively of an institution. Birthdays of people are celebrated in numerous cultures, often with birthday gifts, birthday cards, a birthday party, or a rite of passage.
Many religions celebrate the birth of their founders or religious figures with special holidays (e.g. Christmas, Mawlid, Buddha's Birthday, and Krishna Janmashtami).
There is a distinction between birthday and birthdate: The former, other than February 29, occurs each year (e.g., January 15), while the latter is the exact date a person was born (e.g., January 15, 2001).
On this valentine day I wish a happy birthday to the voice of TP OK Jazz (1973-1993). Josky went through Dr Nico's African Fiesta Sukisa and Orchestre Continental from where he joined TP OK JAZZ .
His voice is to be herd on most of the bands songs from Kebana to Bilonda. He then formed...
Ni miaka 44 ya kuwaletea maendeleo wananchi wa Tanzania.
Hongereni kwa uvumilivu wa kuruhusu uwepo wa vyama vya upinzani japokuwa ni 20% tu ya wananchi ndio walivihitaji.
Hongereni kwa kutuletea elimu bila malipo
Hongereni kwa miundombinu iliyotukuka
Maendeleo hayana vyama!
Kiwango hicho cha tozo kitaanza kutozwa tarehe 01 Februari, 2019. Kibali hiki ni kwa watakaotaka kupiga muziki kwenye Bar, Pub, au ukumbi wa starehe
Lakini pia kitawahusu wanaotarajia kupiga muziki kwenye send-off, harusi/ndoa, jando na unyago na birthday
Aidha, kibali hiki kitapaswa kukatwa...
Happy New year ndugu zangu,
Mwaka ndio umeanza kwa kasi namna hii na wengine ndio kama hivi weekend hii tunasheherekea birthday 🎂 zetu.
Bajeti yangu ni elfu 30 tu nataka mawazo yenu nifanye nini ili angalau hiyo 30 ifanye siku yangu iwe ya kukumbukwa na iliyojaa furaha tele.
Natanguliza shukrani.
Sina zaidi ya salaam maana naona ata uvivu kuandika, nasema haiwezekani
Leo nipo nimelala zangu kitandani mara naskia Mwaaaaa nakurupuka ni nini nakutana na kitu maji yamejaa kitandani sio godolo sio shuka vyote chapa chap, nauliza kulikoni eti siku yangu ya kuzaliwa,
Tena angalau wangechukua...
Wimbo wa kiingeleza wa kutakiana kheri ya siku ya kuzaliwa hivi umeshindikana kuutafasiri?
Mbona tunazidi kuwatukuza hawa mabeberu....siamini kama lugha yetu pendwa bado I maskini wa maneno...
Tutukuze utamaduni wetu watanganyika.!!
Namshukuru sana MUNGU aliye juu kwa kunipa uzima na mpaka sasa hivi ninaandika.
Bila yeye hakika nisingeweza ,naomba anitimizie zaidi ya yale niliyomuomba japo apangalo huwezi pinga.
Nami nakukaribisha 2021 kwa hasira zaidi kwani nina malengo na maisha yangu ..mke wangu na watoto wangu wawili...
22 October 2020
Pemba, Zanzibar
Lissu asherehekea 'Birthday' ya Maalim Seif kisiwani Pemba
Maaliim Seif afanyiwa sherehe kubwa ya siku ya kuzaliwa kwake na maelfu ya Wazanzibari na waTanganyika walionesha upendo mkubwa na furaha isiyo na kifani kwa kiongozi wao mtarajiwa wa taifa la Zanzibar...
Ram Singh: Kijana alidunduliza sarafu ndani ya gunia la kilo 35 kwa muda wa miaka 12 ili aweze kununua zawadi ya Friji siku ya birthday ya mama yake.
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the...
Hi..!
Siku mwezi na tarehe kama ya leo my lovely person..Vinchii wangu alizaliwa.
Happy birthday to you.
Long may I reign.
Zawadi za birthday zitumwe hapa..>>>https://www.jamiiforums.com/conversations/
Habari ya asubuhi JF Family.
Mnaendeleaje leo ninafuraha sana jmn kha!sio kwamba nimeongeza mwaka mpya tu..hapana ni kwa sababu nimeongeza mwaka mwingine nikiwa na afya njema na uzima pia.🙏Mungu kwa hii nafasi ya pekee sana kwangu.
Ndani ya uzima na afya, utaweza kwenda popote,kufanya...
The best present I have given myself is giving up alcohol, eating more fruits and vegetables with drinking plenty of water.
Since quitting a bottle of wine and a glass of cold beer on a hot sunny day I have lost weight and I do look more sexy. My husband is now talking about us having another...
Si nilisahau bestito kumbe Leo ndo kumbukumbu ya kuzaliwa kwako katoto kachanga so nilikumiss sana acha nikutakie hero na fanaka ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwako wadau na wapenzi na marafiki za Chachu Ombara mtakieni heri Mr Wangu Chachu yaani atashangaa kuona mtoko wake kamkaukia hahahaaaaa...
Leo tarehe 9 May ni siku kubwa ya kuzaliwa mtu anayewezesha uwepo wetu humu. Maxence Melo
Tunapata nafasi ya kufanya yote kwa kuwa amesimama na kutupatia uhuru wa kutoa yetu ya moyoni.
Tunakuombea Mwenyezi Mungu aendelee kukupigania na uzidi kutupigania sisi na Uhuru wetu wa kujieleza...
Miaka 6 ya majaribu mengi katika maisha yetu ya kila siku, Watanzania. ACT Wazalendo tumekuwa upande wa Wananchi muda wote, wakati wote bila kujali ‘Consequences’.
Tumekuwa na Wazanzibari walipoporwa haki yao ya kuchagua Kiongozi wanayemtaka!
Tumekuwa na Wakulima wa Mbaazi, Korosho, Pamba...
Lawrence Brooks is now America’s oldest living WWII veteran as he celebrates his 110th birthday! Brooks was born on September 12th, 1909. He was also recently honored at the National World War II Museum in New Orleans. Brooks would serve in the 91st Engineer Battalion stationed in New Guinea...
Tarehe kama hii yani 08/04/1968 alizaliwa mwanasheria, mwanahabari na mchamuzi nguli Pasco Mayala.
Happy birthday to you Pasco Mayala. Mola akupe maisha marefu yene HERI na BARAKA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.