birthday

A birthday is the anniversary of the birth of a person, or figuratively of an institution. Birthdays of people are celebrated in numerous cultures, often with birthday gifts, birthday cards, a birthday party, or a rite of passage.
Many religions celebrate the birth of their founders or religious figures with special holidays (e.g. Christmas, Mawlid, Buddha's Birthday, and Krishna Janmashtami).
There is a distinction between birthday and birthdate: The former, other than February 29, occurs each year (e.g., January 15), while the latter is the exact date a person was born (e.g., January 15, 2001).

View More On Wikipedia.org
  1. Sky Eclat

    Umuhimu wa siku ya kuzaliwa kwa mtoto (birthday)

    Ingawa ni utaratibu wa Magharibi kusherehekea simu ya kuzaliwa, taratibu nyingi tulizoona zinafaa tuliiga kutoka kwa Wakoloni wetu kuanzia Waarabu na hata Wazungu. Siku ya kuzaliwa ni muhimu sana kwa mtoto, hii ni sherehe yake yeye binafsi. Tofauti na sikukuu za dini zinazojumuisha jamii...
  2. amadala

    Happy Birthday Amadala

    Hello floor no. 31 Tarehe kama ya Leo Amadala aliivuta pumzi ya Duniani kwa mara ya kwanza. Nashukuru Mungu na wazazi wangu kwa kunifikisha hapa nilipo. Asante Mungu kwa ajili ya Kila kitu katika maisha yangu. HAPPY BIRTHDAY TO ME🎂🍭 Nimeona nijipost maana walionikumbuka Leo ni HALOTEL peke yao
  3. MSAGA SUMU

    Msaada: Gharama ya kukodi boti kwa ajili ya birthday party hapo mjini Darisalama

    Wakuu msaada kuna hela nilikuwa nimetunza kwa ajili ya kununua kiwanja lakini baada ya kufanya tathmini ya kina nikaona nitakuwa nimwfanya kitu Cha kitoto hasa ikizingatiwa hapa duniani tunapita tu, sisi hapa duniani ni wasafiri. Msaada nataka kujua Gharama ya kukodi boti hapo mjini kwa ajili...
  4. Da'Vinci

    Happy birthday to me Vincii

    Hey y'all... Inachukua muda gani mpaka mtu uanze kupostiwa thread za happy birthday humu au ku🙈🙈😅😅. Anyway Namshukuru Mungu kwa rehema zake leo nimtimiza miaka 30. It was a long journey Kwakweli.
  5. music mimi

    Keki ya birthday

    Wiki ijayo ni birthday ya mpenzi wangu. Anapenda sana cake na chocolate. Naomba mnisaidie idea simple ya kumfikishia cake by surprise maana mimi nimesafiri ila nataka imfikie kwake makongo. Naomba mnipe suggestion page ya insta au twitter wanaouza cake tamu yenye ladha nzuri na laini ili...
  6. ladyfurahia

    Happy birthday to me

    Habarini ni jambo la kumshukuru Mungu muumba mbingu na nchi kwa nafasi hii ya upendeleo kwangu kunitoa duniani tarehe kama yale nakumbuka nilivyotokea na amenipa afya tele na kunilinda na mabaya yote ingawaje safari kuna vikwazo vingi ila muumba Mbingu na Nchi amenivusha nafurahia kufikia siku...
  7. Google Diggers

    Birthday party: Hizi sherehe Huwa zinachangiwa kama ilivyo kwenye masuala ya harusi na send-off????

    Ni kawaida kukuta reservation kwenye mabar, ma pub na maeneo mengi mashuhuri. Hawa wanaokutana as if ni jambo la maana Sana hivi mdg zangu wanachangia au Ndio mambo ya kifahari. Naenda Zang maeneo nakuta Kuna reservation imewekwa🧐💅💅baada ya Muda naona mabox ya keki yakiingia. Ukiuliza ni nn eti...
  8. ladyfurahia

    Happy Birthday my dear Chachu Ombara

    AISEE HII KALI YAANI KUSAHAU GANI HUKU AU NDO NIMEUPIGA MWINGI Si nilisahau bestito kumbe Leo ndo kumbukumbu ya kuzaliwa kwako katoto kachanga acha nikutakie hero na fanaka ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwako MY DEAR wa kumoyo Basi wadau na wapenzi na marafiki za Chachu Ombara mtakieni heri Mr...
  9. M

    Happy birthday Ruge Mtahaba

    Heri ya siku ya kuzaliwa mwamba aka Ruge Mutahaba.May he continue to rest in peace . Pengo lako halitozibika kamwe. Tasnia imepoteza .
  10. SYLLOGIST!

    Happy Birthday, Mr (Almost President)Lt General Muhozi

    Luteni Jenerali Muhozi asherekea siku yake ya kuzaliwa kwa nderemo. Kianzio cha taarifa hii kinapatikana hapa Happy Birthday, Mr(almost) President Muhozi Wakati wa sherehe yake Lt. Jenerali alielezea kuwa vijana waliotelekezwa wawezeshwe na yuko tayari kulifanyia kazi suala hilo. Bofya chini...
  11. pingli-nywee

    Happy Anniversary (au ukipenda, happy birthday) kwa mahusiano ya Kenya-Tanzania

    Siamini kwamba mwaka mmoja umepita, bila ya hasira, visasi, mivutano, malumbano, majibizano na 'makasiriko', kati ya nchi mbili hizi za Kenya na Tanzania. Sio baada ya yote tuliyoyashuhudia, kwa karibia miaka sita. Yaani tangia mwezi wa nne hivi mwaka uliopita mambo yaligeuka ghafla, yakawa...
  12. GENTAMYCINE

    Happy Birthday to me

    Asante Mwenyezi Mungu, Asante Wazazi wangu, Asante Walimu, Wakufunzi na Wahadhiri wangu, Asante wale Wote mlionilea na Kunijenga Kimaadili na Kinidhamu, Asante wote ambao mlikuwa na mnaendelea kuwa Wema Kwangu kwa hali na mali, Asante Ndugu, Jamaa na Marafiki pamoja na wale Maadui zangu tukuka...
  13. Robert Heriel Mtibeli

    Happy birthday Taikon

    Kwema Wakuu! Ijumaa Kama ya Leo, Tarehe Kama ya Leo, mwezi Kama WA leo, Taikon niliwasili Duniani Alfajiri kabla ya jua kuchomoza, nikitokea Nyota ya Tibeli yenye mbawa Mbili irukayo tangu ulimwengu huu mpaka mwingine. Inatarajiwa nitaondoka siku kama ya Leo lakini haifahamiki ni mwezi gani...
  14. Jemima Mrembo

    Happy birthday kwako mwana JF, Bujibuji na wote mliozaliwa leo

    Bujibuji najua huwa hupendi personal life iwe exposed, lakini kwa umuhimu wako hapa Jukwaani, niona nikutakie heri wee na Wana JF wote mnaoadhimisha siku yenu ya kuzaliwa leo.
  15. Kijakazi

    Wacha tu sisi tusherehekee Birthday !

    Wanaume wenzetu hawa huku !
  16. Baraka Mina

    Happy Birthday Rais Samia! Mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu

    Mnamo tarehe 27 Januari 1960 Rais wa Awamu ya Sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan alizaliwa huko Makundichi Zanzibar. Leo anatimiza umri wa miaka 62. Ni Rais wa kwanza mwanamke nchini kwetu na mfano wa kuigwa kwa wasichana, wanawake na watu wa...
  17. Song of Solomon

    Happy 72nd birthday in Heaven Prof. Benno Ndulu: The youngest ever Tanzanian Professor

    ---------------------------------------------------------------- By Mzee wa Atikali Sunday, January 23, 2022 1. Introduction The late Prof. Benno Joseph Ndulu was born on Monday, January 23, 1950 in Ifakara, Kilombero, Morogoro. He was baptised on Monday, February 20, 1950 at St Andrew's...
  18. P

    Happy birthday Tundu Lissu

    Heri ya kuzaliwa kwako Mh. Tundu Antipas Lissu. (Kawimbo) Happy Birthday to youuu, Happy Birthday to youuu Happy Birthday Deat Lissuuu, Happy Birthday to youuuuuuuuuu! Unapoanza mwaka wako wa 54 Mwenyezi Mungu akujalie afya njema na maisha marefu. You are the HERO! Ule mkono wa Mungu...
  19. Poker

    Happy birthday baba Raila Odinga

    Mataga mjifunze kupitia siasa za kenya!
  20. Stroke

    Happy Birthday to Me

    Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa. Ni mwaka mwingine tena wa Bwana. Sifa na utukufu ni kwa Mungu muumba wa mbingu na nchi.
Back
Top Bottom