A birthday is the anniversary of the birth of a person, or figuratively of an institution. Birthdays of people are celebrated in numerous cultures, often with birthday gifts, birthday cards, a birthday party, or a rite of passage.
Many religions celebrate the birth of their founders or religious figures with special holidays (e.g. Christmas, Mawlid, Buddha's Birthday, and Krishna Janmashtami).
There is a distinction between birthday and birthdate: The former, other than February 29, occurs each year (e.g., January 15), while the latter is the exact date a person was born (e.g., January 15, 2001).
Ingawa ni utaratibu wa Magharibi kusherehekea simu ya kuzaliwa, taratibu nyingi tulizoona zinafaa tuliiga kutoka kwa Wakoloni wetu kuanzia Waarabu na hata Wazungu.
Siku ya kuzaliwa ni muhimu sana kwa mtoto, hii ni sherehe yake yeye binafsi. Tofauti na sikukuu za dini zinazojumuisha jamii...
Hello floor no. 31
Tarehe kama ya Leo Amadala aliivuta pumzi ya Duniani kwa mara ya kwanza.
Nashukuru Mungu na wazazi wangu kwa kunifikisha hapa nilipo.
Asante Mungu kwa ajili ya Kila kitu katika maisha yangu.
HAPPY BIRTHDAY TO ME🎂🍭
Nimeona nijipost maana walionikumbuka Leo ni HALOTEL peke yao
Wakuu msaada kuna hela nilikuwa nimetunza kwa ajili ya kununua kiwanja lakini baada ya kufanya tathmini ya kina nikaona nitakuwa nimwfanya kitu Cha kitoto hasa ikizingatiwa hapa duniani tunapita tu, sisi hapa duniani ni wasafiri.
Msaada nataka kujua Gharama ya kukodi boti hapo mjini kwa ajili...
Hey y'all...
Inachukua muda gani mpaka mtu uanze kupostiwa thread za happy birthday humu au ku🙈🙈😅😅.
Anyway Namshukuru Mungu kwa rehema zake leo nimtimiza miaka 30. It was a long journey Kwakweli.
Wiki ijayo ni birthday ya mpenzi wangu.
Anapenda sana cake na chocolate.
Naomba mnisaidie idea simple ya kumfikishia cake by surprise maana mimi nimesafiri ila nataka imfikie kwake makongo.
Naomba mnipe suggestion page ya insta au twitter wanaouza cake tamu yenye ladha nzuri na laini ili...
Habarini ni jambo la kumshukuru Mungu muumba mbingu na nchi kwa nafasi hii ya upendeleo kwangu kunitoa duniani tarehe kama yale nakumbuka nilivyotokea na amenipa afya tele na kunilinda na mabaya yote ingawaje safari kuna vikwazo vingi ila muumba Mbingu na Nchi amenivusha nafurahia kufikia siku...
Ni kawaida kukuta reservation kwenye mabar, ma pub na maeneo mengi mashuhuri. Hawa wanaokutana as if ni jambo la maana Sana hivi mdg zangu wanachangia au Ndio mambo ya kifahari.
Naenda Zang maeneo nakuta Kuna reservation imewekwa🧐💅💅baada ya Muda naona mabox ya keki yakiingia. Ukiuliza ni nn eti...
AISEE HII KALI YAANI KUSAHAU GANI HUKU AU NDO NIMEUPIGA MWINGI
Si nilisahau bestito kumbe Leo ndo kumbukumbu ya kuzaliwa kwako katoto kachanga acha nikutakie hero na fanaka ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwako MY DEAR wa kumoyo
Basi wadau na wapenzi na marafiki za Chachu Ombara mtakieni heri Mr...
Luteni Jenerali Muhozi asherekea siku yake ya kuzaliwa kwa nderemo.
Kianzio cha taarifa hii kinapatikana hapa
Happy Birthday, Mr(almost) President Muhozi
Wakati wa sherehe yake Lt. Jenerali alielezea kuwa vijana waliotelekezwa wawezeshwe na yuko tayari kulifanyia kazi suala hilo.
Bofya chini...
Siamini kwamba mwaka mmoja umepita, bila ya hasira, visasi, mivutano, malumbano, majibizano na 'makasiriko', kati ya nchi mbili hizi za Kenya na Tanzania. Sio baada ya yote tuliyoyashuhudia, kwa karibia miaka sita.
Yaani tangia mwezi wa nne hivi mwaka uliopita mambo yaligeuka ghafla, yakawa...
Asante Mwenyezi Mungu, Asante Wazazi wangu, Asante Walimu, Wakufunzi na Wahadhiri wangu, Asante wale Wote mlionilea na Kunijenga Kimaadili na Kinidhamu, Asante wote ambao mlikuwa na mnaendelea kuwa Wema Kwangu kwa hali na mali, Asante Ndugu, Jamaa na Marafiki pamoja na wale Maadui zangu tukuka...
Kwema Wakuu!
Ijumaa Kama ya Leo, Tarehe Kama ya Leo, mwezi Kama WA leo, Taikon niliwasili Duniani Alfajiri kabla ya jua kuchomoza, nikitokea Nyota ya Tibeli yenye mbawa Mbili irukayo tangu ulimwengu huu mpaka mwingine.
Inatarajiwa nitaondoka siku kama ya Leo lakini haifahamiki ni mwezi gani...
Bujibuji najua huwa hupendi personal life iwe exposed, lakini kwa umuhimu wako hapa Jukwaani, niona nikutakie heri wee na Wana JF wote mnaoadhimisha siku yenu ya kuzaliwa leo.
Mnamo tarehe 27 Januari 1960 Rais wa Awamu ya Sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan alizaliwa huko Makundichi Zanzibar.
Leo anatimiza umri wa miaka 62. Ni Rais wa kwanza mwanamke nchini kwetu na mfano wa kuigwa kwa wasichana, wanawake na watu wa...
----------------------------------------------------------------
By Mzee wa Atikali
Sunday, January 23, 2022
1. Introduction
The late Prof. Benno Joseph Ndulu was born on Monday, January 23, 1950 in Ifakara, Kilombero, Morogoro. He was baptised on Monday, February 20, 1950 at St Andrew's...
Heri ya kuzaliwa kwako Mh. Tundu Antipas Lissu.
(Kawimbo) Happy Birthday to youuu, Happy Birthday to youuu Happy Birthday Deat Lissuuu, Happy Birthday to youuuuuuuuuu!
Unapoanza mwaka wako wa 54 Mwenyezi Mungu akujalie afya njema na maisha marefu.
You are the HERO!
Ule mkono wa Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.