birthday

A birthday is the anniversary of the birth of a person, or figuratively of an institution. Birthdays of people are celebrated in numerous cultures, often with birthday gifts, birthday cards, a birthday party, or a rite of passage.
Many religions celebrate the birth of their founders or religious figures with special holidays (e.g. Christmas, Mawlid, Buddha's Birthday, and Krishna Janmashtami).
There is a distinction between birthday and birthdate: The former, other than February 29, occurs each year (e.g., January 15), while the latter is the exact date a person was born (e.g., January 15, 2001).

View More On Wikipedia.org
  1. H

    Happy 55th birthday to the legendary Celine Dion

  2. Rashidi Jololo

    Waziri Uweso akisherehekea birthday yake nyumbani kwa JK hapa New York, Marekani

    Kumbukizi ya Siku ya Kuzaliwa Kwa Waziri wa Maji Jumaa Aweso amekuwa na wakati mwema wa kukata keki pamoja na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete nyumbani kwake hapa New York Marekani. NB. Watanzania chapeni kazi muondokane na kelele za maisha magumu, hakuna njia ya mkato ya kukuleteeni chakula...
  3. Robert Heriel Mtibeli

    Happy birthday to me, Taikon wa Fasihi

    Kwema Wakuu! Ninafuraha kubwa katika siku hii ya leo. Hii ndio siku ambayo nilizaliwa. Ndimi Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe wa Tabora. Nawashukuru wote mliokuwa baraka kwangu, lakini pia nawashukuru wale mliogeuka changamoto kwangu, Mnisamehe wale wote niliowakosea Kwa namna moja ama nyingine...
  4. Makonde plateu

    Another year and another blessing, happy birthday to me tajiri

    Nimezaliwa familia ya kishua sana tena sana yaani mimi kwa sasa kumiliki bilioni kadhaa kwenye akauti kwenye akauti yangu is not big issue naenda London kama wewe unavyoenda huko kwenu kwa mtogole au unavyoenda kwenu maganzo au unavyoenda huko kwenu maji kuinama ukienda na mabasi yanayovuja huko...
  5. Kiranja Mkuu

    Birthday yangu inakaribia, sina amani wala furaha, na sifurahii kitu

    Sina mke licha ya kwamba nina watoto wawili kwa mama wawili. Nina madeni kila idara, biashara haziendi kabisa na sikopesheki tena. Nadaiwa NMB, NBC na Benki ya Maendeleo Bank Bank ya kanisa. Nina msongo mkali sana wa mawazo maana mpaka sasa malI zangu zimepotea kwa kuziweka kama collateral...
  6. Sky Eclat

    Phil Collins is 72 today, Happy Birthday Phil

    PHIL COLLINS IS 72 TODAY Golden Oldies is wishing English Singer, songwriter, multi-instrumentalist, and actor Philip David Charles "Phil" Collins a happy birthday today (born 30 January 1951). He gained fame as both drummer and lead vocalist for the rock group Genesis, and he gained...
  7. Christopher Wallace

    Kwanini birthday ya leo imedoda?

    Yaani kuanzia huku mtaani mpaka huko kwenye mitandao ya kijamii huoni watu wa kawaida wakimtakia heri katika birthday yake leo, ukiacha wale watu maarufu kama akina Kitenge wanaojua kujiposition ndio wameonekana walau kupost wishes. Kwanini hali iko hivyo?
  8. MIXOLOGIST

    Kenya nao waguswa, wamtakia Rais Samia heri ya siku ya kuzaliwa

  9. marehem x

    Nchi yangu nimeipenda bure. Leo vituo vingi vya redio vinamtakia Rais Samia heri ya siku ya kuzaliwa. Inapendeza Sana

    Si kila mara utapata upendo kutoka watu wako lakini hii ni dalili nzur na njema Kwa redio kulijua hili Mama ndiyo kila kitu. Sisi wengine kila mama ni mama yetu. Tunafarijika anapopendwa mama wa wenzetu Kwa kuwamama zetu wengine wapo mbele ya haki. Allah awape maisha yenye rehma. Ameen. Leo ni...
  10. Msanii

    Happy Birthday Depal

    Ninaye rafiki hapa jamvini ambaye sijawahi kuonana naye wala kusikia sauti yake lakini tunawasiliana kupitia PM. Ninamtakia heri ya kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa. Naamini kwa wema wa Mungu ipo siku ataachia namba niweze kumuendea hewani. Happy Birthday Depal , ishi maisha marefu yenye...
  11. Pang Fung Mi

    Vouda Mlijua Mkinitaja Majina yote Kuniwishi Birthday ndio Ntalipa Deni. Thubutu na Mkome Na Bado Mpawa Silipi

    Hahahaaa mwenzenu si nikatajwa Kwa midoido yote na vouda kujipendekeza huko wakajibetua Kuniwishi Birthday eti Fulani bini Mwanzenzele Rugaimukamu we wish you a happy birthday ndio ntahamaki nijitwishe niwalipe deni lao. Mmenitesa sana makato ya Tozo za simbanking za muamala na uhuni wa...
  12. Etugrul Bey

    Mwamba ametumiwa Birthday Wishes halafu Kala Bati!

    Narudi zangu home baada ya harakati za hapa na pale za mtu mweusi, huku nikiwamind dereva na konda wake baada ya kutufaulisha Kwa kukata ruti,kisa eti trip hailipi kwakuwa hawakuwa na abiria WA kutosha, basi tukafualishwa kibwege na safari ikaendelea. Na Mimi ndio mwana Jf pekee utanisikia...
  13. Ali Nassor Px

    ANASEMA: Kesho 'Birthday' yangu 'nipost' basi

    Katika hali isiyo ya kawaida, nimejikuta nina maswali mengi sana ambayo nakosa majibu mpaka dakika hii na kila ninayemuadithia anabakia kucheka tu. Leo jioni nikiwa natazama mpira huku nachezea simu yangu, mara ukaingia ujumbe wa WhatsApp, kutazama namba ngeni (sijaihifadhi). kufungua nitazame...
  14. BARD AI

    Aliyefariki ajali ya ndege azikwa siku ya ‘birthday’ yake

    Simanzi na majonzi vimetawala katika mazishi ya mmoja kati ya abiria 19 waliofariki katika ajali ya ndege iliyotokea Ziwa Victoria mkoani Kagera, Zaituni Mohamed (28), ambaye amezikwa tarehe ambayo inafanana na siku aliyozaliwa. Leo Jumatano Novemba 9, 2022 tofauti na misiba mingine ulinzi...
  15. GENTAMYCINE

    Watangazaji wa CMG mliomfanyia 'Interview' Kiongozi Mstaafu katika 'Birthday' yake Jana mmeiabisha 'Tasnia' nzima

    Kwanza hamkujipanga vyema kwa Coverage yake ndiyo maana hata Mitambo yenu kila Saa ilikuwa inakatakata hali ambayo Iliboa na Ilituboa zaidi. Pili wenye Akili akina GENTAMYCINE tulitegemea kwa Chombo cha Habari kupata ile Fursa basi ndiyo mngeitumia Kumhoji Mambo ( Maswali ) ya Msingi ya kuhusu...
  16. Jackbauer

    Oktoba 7 ni birthday ya Rais Putin na Rais mstaafu Kikwete!

    Hongera kwa siku ya kuzaliwa kwa viongozi hawa.
  17. Bususwa

    Happy birthday Mzee Jakaya Kikwete

    Leo 07.10.2022 Mzee Jakaya Kikwete Rais mstaafu wa awamu ya Nne Nchini Tanzania anatimiza miaka 72! Je, unakumbuka yapi toka kwenye uongozi wake? Tumtakie maisha mema na yenye baraka tele!
  18. D

    Happy Birthday fundi wa mpira, Luka Modric!

  19. Checnoris

    Happy birthday Bukayo Ayoyinka T. M. Saka

    Hongera Sana Bukayo Ayoyinka T. M. Saka Kwa kuongeza Mwaka. Lkn nakushauri uhane timu yako Ina gundu. Unapoteza Muda hapo anfield. Njoo old Trafford. Najua hujui kiswahili ila IPO mishabiki yako itakufikishia ujumbe. Once again happy birthday bro
  20. OllaChuga Oc

    Happy birthday Mwamba Ollachuga Oc.🤣🤣

    Aise Kama utani vile nakuwa faza kinoma. Siku Kama ya leo miaka 28 iliyopita mwamba, jemedari, shujaa, mchizi, msela, Askari, kamanda nilizaliwa hahaha aise Nina mbwe mbwe kinyama 😂😂 Shabiki nguli wa Chelsea na Mtiba Shugwa 🤣🤣🤣. Napenda Sana utani na masikhara dah ..Ila ground nipo tofauti...
Back
Top Bottom