bmw

Bayerische Motoren Werke AG, commonly referred to as BMW (German pronunciation: [ˈbeːˈʔɛmˈveː] (listen)), is a German multinational company which produces automobiles and motorcycles. The company was founded in 1916 as a manufacturer of aircraft engines, which it produced from 1917 until 1918 and again from 1933 to 1945.
Automobiles are marketed under the brands BMW, Mini and Rolls-Royce, and motorcycles are marketed under the brand BMW Motorrad. In 2015, BMW was the world's twelfth-largest producer of motor vehicles, with 2,279,503 vehicles produced.BMW is headquartered in Munich and produces motor vehicles in Germany, Brazil, China, India, South Africa, the United Kingdom, the United States and Mexico. BMW has significant motorsport history, especially in touring cars, Formula 1, sports cars and the Isle of Man TT.

View More On Wikipedia.org
  1. Valencia_UPV

    BMW SUV (X3,X5) zinatelekezwa garage

    Wakuu nimeshuhudia hizi gari zikitelekezwa Garage kadhaa hapo Dar. Wamiliki wamechemsha kuzimaintain? Tuachane na kumiliki gari kwa kufuata mkumbo. MC pilipili like X3 lake sijui kalificha wapi siku hizi
  2. salehe magari

    Car4Sale Nauza magari ya aina mbalimbali

    NISSAN DUALIS *CROSS RIDER Price :17.5mls (GARI NI MPYA 100%) Year 2010/2011 Engine Cc 1990 Full Ac Low mileage Rim sports 0688591584
  3. Magari Aina Zote

    Car4Sale Unatafuta gari zuri la kuagiza nje ya nchi? Pita hapa

    Kupitia uzi sasa unaweza kuagiza gari yoyote kutoka; Japan✔ UK✔ Singapore✔ Dubai✔ China✔ Thailand✔ Korea✔ n.k NB: Ukiagiza gari nasi tunakupa full package; yaani kuagiza, ku-clear bandarini na kusajili. Pia ukihitaji delivery popote ulipo tunakuletea. Tunapatikana Rita towers, ghorofa ya 11...
  4. Samatime Magari

    BMW X1 aka Baby BMW SUV

    Hii ni Crossover SUV, Tena ni subcompact Luxury cross over kutoka BMW, Yani Baba Mama Watoto walitaka kupata SUV ndogo na luxury inayotumia mafuta vizuri ndo X1 akazaliwa, saa andaa kifungua kinywa then kaa nikupe madini ya hii gari.. 2009 ndo BMW X1 amezaliwa na alitambulika kama moja ya SUV...
  5. D

    Ushauri: Nichague ipi kati ya BMW X3 2013 au Subaru Forester 2013

    Kati ya gari hizi mbili ambazo naona kwasasa zinanunuliwa sana kwenye miji mikubwa zikiwa na namba E, ipi inafaa zaidi kwa matumizi ya kawaida ya mjini. Zote ni 2.0 AT petrol za mwaka 2013/14 na zote ni all wheel drive/4WD. Wenye uzoefu na hizi gari msaada. Budget yake ni kuanzia 43m mpaka 50m...
  6. P

    Naombeni mwenye ujuzi wa gari ya BMW Xi Ile ya 1590cc

    Wakubwa habari! Naombeni mwenye ujuzi wa gari ya BMW Xi Ile ya 1590cc in terms of 1.fuel economy 2.durability/resilience 3.price yake 4.za manufacturing year zipi ni nzuri zaidi
  7. Mukulu wa Bakulu

    Toyota imetajwa kuwa gari zinazoaminika zaidi nchini Marekani ikifuatiwa na BMW, Benz ni gari isiyoaminika kabisa

    American consumer reports inasema Toyota ni gari zinazoaminika zaidi nchini Marekani zikifuatiwa na BMW. Mazda, Honda na Audi. Magari ya Kimarekani kama Ford, Tesla nk ni magari yasiyoaminika kabisa nchini Marekani.
  8. YETU MOTORS CO LTD

    Car4Sale Tunatoa huduma ya kuagiza magari ya aina mbalimbali

    PDF pichani inaeleza kwa ufupi uzuri na ubaya wa aina za mifumo tajwa ya uendeshaji lengo likiwa kukuongoza kufanya uchaguzi sahihi wa aina ya gari unayofikiria kuagiza kulingana na matumizi yako. Pitia ujifunze zaidi
  9. KndNo1

    Akili ya BMW kwenye Magari

    Hii kampuni ya Kijerumani yenye makao yake makuu katika jiji la Munich inatengeneza magari bora zaidi duniani.. Magari ambayo ukiendesha lazima upate furaha.. Gari huichoki.. Driver oriented.. Ultimate Driving Machine..! Kuweka battery nyuma ya gari. Gari nyingi battery zake zinakaa mbele...
  10. M

    Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

    ✍🏾Kwa jina Naitwa CECE motors. Najishughulisha na Uagizaji wa Magari mapya aina zote na nchi tofauti tofauti kama Japan,UK,Dubai, Singapore, e.t.c 👉🏼Pia Nafanya Clearing and Forward Agent Kwa Mizigo yoyote uliyoagiza/Utakayoagiza kama vile Magari,Makontena, E.t.c 👉🏼 Bila kusahau tunatoa Mikopo...
  11. C

    INAUZWA Bosch MAF sensor ya BMW E46

    Habari Wakuu Nimekosea kuagiza MAF sensor ya gari, badala ya kuagiza ya BMW E90, nimeagiza ya BMW E46/E81/E87. Aina ni Bosch 0280218075 AIR MASS SENSOR-3(E46)1(E81/E87 Bei ni laki 3 ingawa nimelipia $117 halafu jumuisha ushuru kutoka Dubai kupitia Aramex. Kwa anayehitaji, wasiliana...
  12. waziri2020

    Nabii Mkuu Dkt Geordavie amzawadia gari la kifahari BMW X5 msanii Mkaliwenu

    Katika hali isiyo ya kawaida mchekeshaji aliyejizolea umaarufu mitandaoni Jackson Sakwile maarufu kama “Mkaliwenu “ametunikiwa gari la kifahari aina ya BMW X5 na Nabii maarufu nchini Dk GeorDavie baada ya kukunwa na mashairi ya nyimbo aliyoitunga kwa ajili yake. Tukio hilo lilitokea hivi...
  13. Bavaria

    The Empire Strikes Back: Meet the all new BMW XM

    2023 BMW XM Specs: Engine: 4.4l plug in hybrid with combined power of 740 hp 0-60= 4.1 s
  14. Kijakazi

    BMW Group

    BMW-Group: Rolls-Royce, BMW, Mini 4 -Cylinder Building- Munich, Ujerumani
  15. Samatime Magari

    NAITAMBULISHA Kwako Vitz ya Mjerumani BMW Series 1

    . BMW Series 1 [Coded E87] ni moja ya subcompact executive cars inayotengenezwa na BMW toka kwa 2004 ikitokana na BMW 3 Series Compact, Series 1 tunasema ni solid athletic design [ngumu yenye umbo la sport]... . Features za hii gari imeifanya kuwa moja ya gari ndogo nzuri imara na inayovutia...
  16. Lububi

    Anayeifahamu kwa kina kuhusu BMW X5 2008 plus naomba ushauri

    Anayeifahamu kwa kina (consultant) wa hiyo gari kabla sijachukua. Nimedhamiria ya 2010, 7seats na nalipia next week. Nahitaj mshaur mtaalam na mzoef na ikibid nimwone kama yu Dar. Pia naomba mwenye ulinganifu bora wa kiuchaguzi kama si x5 2008 had 2014, strictly eurocars! Naomba kujua tofaut...
  17. M24 Headquarters-Kigali

    BMW X5: Mwenye kuijua!

    Salam, Mwenye kuijua gari pendwa BMW X5. Nataka kulipuka na huyu Mjerumani Ila Sina details zaidi ya bei
  18. JituMirabaMinne

    Mwongozo wa kununua Audi A4/A3, BMW 3 series/1 series na VW Golf/Polo

    Nimejaribu kupick European Cars ambazo watu wanazinunua sana. Kwa bahati mbaya sina story nyingi za kununua Mercedez Benz, japo nilitamani ningeweka maelezo ya C class na E class sababu ndio gari za M/Benz watu wanazinunua sana. Gari ambazo nimezilenga hapa ni gari ambazo zimezalishwa kati ya...
  19. AUTOMASI COMPANY LIMITED

    Car4Sale Karibu automasi uagize nasi gari lenye ubora kwa gharama nafuu

    KARIBU AUTOMASI UAGIZE NASI GARI LENYE UBORA KWA GHARAMA NAFUU ************** ♻️ High Quality , Reliable, and Speed ♻️ *************** 🔅VEHICLE DESCRIPTION Make : TOYOTA Model ...
  20. JituMirabaMinne

    Tatizo common kwenye engine za BMW

    Kuna tatizo moja common kwenye engine za BMW. Kama ukiomba ushauri kwa mtu ambaye amecome across na hizo gari wengi moja ya sababu ambayo atakupa kama sababu ya wewe kuacha kununua hilo gari ni hii… "Achana na hizo gari zinachemsha sana" Ni kweli kabisa gari za BMW zinachemsha, Ndio maana...
Back
Top Bottom