Bayerische Motoren Werke AG, commonly referred to as BMW (German pronunciation: [ˈbeːˈʔɛmˈveː] (listen)), is a German multinational company which produces automobiles and motorcycles. The company was founded in 1916 as a manufacturer of aircraft engines, which it produced from 1917 until 1918 and again from 1933 to 1945.
Automobiles are marketed under the brands BMW, Mini and Rolls-Royce, and motorcycles are marketed under the brand BMW Motorrad. In 2015, BMW was the world's twelfth-largest producer of motor vehicles, with 2,279,503 vehicles produced.BMW is headquartered in Munich and produces motor vehicles in Germany, Brazil, China, India, South Africa, the United Kingdom, the United States and Mexico. BMW has significant motorsport history, especially in touring cars, Formula 1, sports cars and the Isle of Man TT.
Bila Catalytic Converter kuna sumu zinazotoka kwenye moshi ambazo zitakuwa zinaingia kwenye hewa.
Sumu hizo hazifanani kulingana na aina ya engine,
Engine za petrol hutoa Hydrocarbons, Carbon monoxide pamoja na Oxygen gas.
Engine za Diesel hutoa NOX, Oxygen gas pamoja na Carbon dioxide...
Kuna watu wanafikiri BMW X6 zile za beforward ndio toleo pekee la bmw x6.
Imefikia watu wanaanza hadi kuipambanisha x6 na v8. Inabidi tuelewe kwa nini huyu mnyama ana heshima na vyeo kibao huko ughaibuni, ukiona bmw x6 inazungumziwa ni inatembea usifikiri ni hizi x6 za beforwad.
Ukweli ni...
BMW X1- Kwa ufupi
Na KIMOMWE MOTORS (T) LTD- Waagizaji Magari
Utangulizi- Iliingia sokoni kwa mara ya kwanza 2010 ikichukuliwa kama mdogo wa BMW X3 iliyotangulia sokoni tangu 2004.
Injini+ Mafuta- Ina injini aina 2 tofauti zenye Cc 2000 zinazokadiriwa kwenda km 10-11/L kila moja. injini bora...
IJUE BMW 7 SERIES- Kwa ufupi
Na KIMOMWE MOTORS (T) LTD- Waagizaji Magari
UTANGULIZI
Ni moja ya gari za starehe iliyoboreshwa kwenye mambo mengu na iliingia sokoni kwa mara ya kwanza 1977. Leo tutaongelea generation ya 4 iliyoingia sokoni kuanzia 2001 mpaka 2008 inayoshindanishwa na Benz S...
IJUE BMW X5 AUTOMATIC DIESEL
Na Kimomwe Motors (T) Ltd- Waagizaji Magari
UTANGULIZI
Model inayoongelewa hapa ni toleo la mwaka 2000 mpaka 2007
Kwa wakati huo iliaminika kwamba gari ya SUV tamu zaidi ni Mercedes Benz M Class na Range Rover😊, lakini ukweli ni kua baada ya X5 kuingia sokoni...
Baada ya woga mwingi dhidi ya magari ya BMW ila hali sasa imebadilia naona wapenz wa baby walker wengi wamehamia kwenye BMW series 1.
Nini siri ya haka kagari spea sio adimu tena na wamepunguza size ya engine kwenye uaji wa mafuta?
Huko tuendako nadhan mindset zetu zitabadilika na tutaanza...
BMW 5 SERIES
Year made: 2007
Engine power: 2700 cc, Petrol engine
Seats: 5
Doors: 4
RWD..: inasukuma kwa nyuma/Rear Wheel Drive.
Mileage: 71,000 kms
Bima imeisha
Kadi yake ipo
Location Dar es salaam, mbezi beach
Bei 12.5mil
Punguzo kidogo kwa mteja serious
Piga simu 0744 033 555
BMW 1 Series, inauzwa, Tsh 15 milion. Namba T.... DTM
Ina miezi saba tu toka inunuliwe
Kilometre 95,856
Engine capacity: 1590 CC
Engine type: Petrol
Colour: black
Seat capacity: 5
people, Milango mitano.
Kadi ya gari ipo
Bima ipo
Location: Temeke Mikoroshini
Tuwasiliane kwa 0744033555...
Moja ya vitu ninavyoangalia katika kutathmini mvuto wa gari ni dashboard au sehemu ya mbele ya gari pembeni ya usukani.
Mercedez Benz na BMW ni magari yanayoheshimika sana na yamebaki na quality zake ya ubora ikiwemo brand zinazothaminiwa, engine na uimara kwa miaka mingi.
Kwa muonekano wa...
Leo nabadilisha tairi za gari yangu BMW 3-series E90. Nauza tairi ilizokuja nazo toka Singapore mwezi huu. Tairi bado zina tread nzuri.
Size ni 225 45R17
Continental ContiSport run-flat.
Bei elfu 50 kila tairi mazungumzo yapo.
0759970963
HABARI YA MAJUKUMU?
KIMOMWE MOTORS (T) LTD, TUNAPENDA KUKUKARIBISHA KUAGIZA GARI LAKO KWA GHARAMA NAFUU, HARAKA NA UHAKIKA KUPITIA KAMPUNI YETU.
VILE VILE TUNAKUKARIBISHA KATIKA FURSA YA BIASHARA YETU NA UKAWEZA KUTENGENEZA KIPATO CHA ZIADA ENDAPO TU UTAWEZA KUAGIZA GARI AMA KUMLETA MTEJA...
bei nafuu
benz
biashara
bmw
gari
harrier
inauzwa
injini
japan
karibu
kuagiza
kuagiza gari
land rover
magari
majibu
manual
mayai
mbeya
mitsubishi
nissan
picha
siku
soko
subaru
toyota
usafiri
ushuru
viti
vitz
volvo
waagizaji
wazi
xtrail
habari wakuu?
Ninajihusisha na uagizaji wa Spea za magari ya Ulaya... Kwa muhitaji yeyote anaweza kuni PM au akacomment hapa nitakusanya request kisha nitareply kwa Bei zetu.
Bei ni nafuu na spea ni Original
Kwa sababu ya changamoto ya mtaji hatuna stock bali tunaagiza moja kwa moja Ulaya kwa...
MAKE: BMW
MODEL: X3 E83 2.5i
ENGINE: M54B25 (2494cc)
MILEAGE: 59,398
YEAR OF MANUFACTURE: 2005
FUEL: PETROL
COLOR: WHITE
TRANSMISSION: STEPTRONIC AUTOMATIC
OPTIONS: PANORAMIC MOONROOF, X-DRIVE (All Wheel Drive), BMW USER MANUAL & SERVICE RECORD, HILL DECENT CONTROL, 9" ANDROID 9 CAR...
Ndugu mdau uliyekuwa ukitufuatilia kupitia mnakasha huu, tunapenda kukufahamisha kuwa kutokana na mabadiliko ya sera zetu, tumelazimika kufungua mnakasha mpya kwa ajili ya magari yanayotoka moja kwa moja Japan na nchi nyingine.
Hivyo sasisho zote kuhusu bidhaa na huduma zetu utazipata huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.