bodi ya ligi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Torra Siabba

    Hivi zile saa 72 walizotoa Yanga bodi ya ligi hazijapita?

    Yanga walitoa saa 72 kwa bodi ya Ligi kuwapa ushindi kwenye dabi iliyoota mbawa, sasa nauliza muda bado haujafika?
  2. Pdidy

    KAMA HILI LA MKUU WA MKOA MWANZA KWELI..TFF BODI YA LIGI MNAHITAJI MPELEKWE KWA MWAMPOSA MKAOMBEWEEE

    Jana nimemsikia mkuu wangu kaka Yangu msemaji wangu wakimhoji kuhusu UWANJA Simple akasema kaulizen tff waliopokea wale waliokuja kukagua wakatangaza kuufungia Nirudi kwenye madaa HAPO juu Nimemsikia mkuu WA MKOA MWANZA akilalamika UWANJA umefungiwa Akaita viongozi WA UWANJA JE Kuna mtu...
  3. ngara23

    Yanga wawapa bodi ya ligi masaa 72, kulipwa fidia za michezo na points 3 za mchezo wao dhidi ya Simba

    Barua Ref:No YASC/TPLB/M. 184/2025/ 201 Yanga imeandikia Bodi ya ligi rasmi barua yenye kurasa 5, kuomba alama 3 na magoli 3 na kutaka fidia za maandalizi ya mchezo kiasi cha Tshs 56,435,000. Ambazo zimeainishwa kwenye kipengele namba 17 kwenye barua yenye vipengele 19 Katika kipengele namba...
  4. Pdidy

    Ukiona unachexa na Simba UJUE unapambana na BODI ya LIGI laamaana mjilinde miguu YENU KUFUNGWA akukwepeki ila afya zenu zibaki imaraa

    Mjitahidii kulinda miguuyenu Kwa sasa mnapochexa na Simba mjue mnavhexa na BODI ya LIGI Msijisahau mkajua mnachexa na Simba mtaliwa kiboga mapemaa Otherwise all dbest
  5. Pdidy

    Mechi za Simba zilizobaki BODI ya LIGI washamaliza matokeo siku nyingi nawaonea Hawa tma Leo Bora wangekaa bar sinza wanywe pombe wageuke

    Nasikia kuna Katibu kanaitwa tma YAAN kangejua Refa ameshapewa matokeo mapema na BODI ya LIGI HATA wasingeingia uwanjani Kifupi mnaoenda kuchexa na Simba Mjuee mnapambana na BODI ya LIGI Muwe makini KUFUNGWA mtafungwa ANGALIEN usalama WA afya xenu
  6. Pdidy

    HIvi Eng. Hersi ni member WA BODI ya LIGI kama ndio anasubiri nini kujitoa?

    Nkauliza tu Kama huyu mtu engn n member WA BODI ya LIGI Kama ndio Anasubiri nn kujitoa kuwachana na wale
  7. ngara23

    TFF, Bodi ya ligi, Simba na Yanga mna agenda Moja, mnatuona mashabiki malofa

    Hawa watu wametengeneza mgogoro na wanajua njia ya kuhusuluhisha maofsini. Nimeamini Simba na Yanga zinatumika kisiasa, na Toka Leo sitajisumbua na hizi timu Wakiona derby isiharibu shughuli ya wanawake duniani, macho na masikio yawe Arusha badala ya Chang'ombe uwanja wa Taifa, maana...
  8. OKW BOBAN SUNZU

    Bodi ya Ligi: Tiketi za Simba Vs Yanga zitatumika tarehe itakayopangwa

    Ofisa habari wa TPLB, Karim Boimanda amesema kuwa viingilio vya mchezo huo vitatumika katika tarehe ambayo utapangwa kuchezwa tena. “Tiketi zinarejeshwa kwenye kadi na zitasalia hapo kwa hiyo zitakuja kutumika kwenye mchezo huu namba 184 siku ambayo utachezwa,” amesema Boimanda.
  9. ACT Wazalendo

    Kuahirishwa kwa Mechi ya Simba na Yanga, Bodi ya Ligi Kuu ijitafakari

    Uamuzi wa kamati ya uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB) kuahirisha mchezo namba 184 kati ya Young Africans (Yanga SC) na Simba SC uliokuwa uchezwe tarehe 08 Machi 2025, haukuzingatia hasara mbalimbali zilizotokana na kuahirishwa kwa mchezo huo, ikiwemo nafasi...
  10. MwananchiOG

    Inashangaza kuona mpaka sasa Wajumbe Bodi ya Ligi Kuu hawajatangaza kujiuzulu

    Baada ya Makosa makubwa na uvunjifu mkubwa wa kikanuni uliofanywa na Bodi ya Ligi, Inashangaza kuona mpaka sasa ni Mjumbe mmoja tu ambaye ni Mjumbe wa kamati ya Usimamizi na Uendeshaji wa ligi kuu Tanzania bara Ndugu Filimon Ntahilaja ambaye amejiuzulu nafasi yake na kutoka nje ya kikao baada ya...
  11. The Burning Spear

    Simba na Yanga ni mtaji wa Serikali mnawalaumu TFF na Bodi ya ligi Bure tu

    Amini nawaambia hii issue isingekuwa simba/Yanga kuna timu ingekiona cha mtema kuni. Simba na yanga zinadekezwa na serikali na ndiyo jeuri yao kubwa TFF hawana meno. Kipindi kile game imesogezwa masa 3 mbele kisa birthday ya mwinyi yanga akachomoa bettry na hakufanywa kitu. Leo yametokea...
  12. Pdidy

    SOmeni UPUUZI WA BODI ya LIGI mcheke..wamehairisha kupata TAARIFA za UCHUNGUZI..HAPOHAPO BODI ITAWATAARIFU SIKU NYINGINE YA MECHI KUCHEXWA WANA AKILI

    YAANI HAWA JAMAA WANA SHIDA YA AFYA YA AKILI KUBWA SANA SOMENI HII BARUA MWISHON INASEMA BODI IMEHAIROSHA ILI KUPATA MDA WA KUPATA TAARIFA ZA UCHUNGUZI WALIVYO CRAIZY TAARIFA HAWAZIJAPATA BADO WANAMALIZIA TUTAWATAARIFU WANANCHI SIKU NYINGINE MECHI ITAKAYOCHEZWA HIZI SIASA ZA KIPUMBAVU...
  13. holoholo

    Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

    Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi Kuu Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha leo Machi 8, 2025, ilipitia shauri la klabu ya Simba kuzuiliwa kuingia kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya kufanya mazoezi ya mwisho kuelekea mchezo namba 184 wa Ligi Kuu ya NBC (Young Africans SC vs...
  14. M

    Kujiuzulu kwa mjumbe wa bodi ya ligi inaonekana bodi hiyo ilifanya maamuzi ya kishabiki zaidi badala ya kanuni na sheria walizoziweka wao!

    Hii bodi ya ligi inavyoonekana Ina wajumbe wengi ambao ni mashabiki na wanazi wa simba kitendo kilichopelekea kuelemewa na mahaba zaidi kutoa maamuzi ya ovyo kuliko kufata Sheria na kanuni walizoziweka wao! Kitendo cha mjumbe Philemon ntahilaja kujiuzulu kimeonyesha kwenye kikao chao kilikuwa...
  15. Pdidy

    TFF/ BODI YA LIGI N TETENAS YA SOKA KWENYE NCHI YETU MTATESEKA SANA MPAKA WALE WATU WAONDOKE PALE AMA UMWENGUNI

    WAKATI WATANZANIA MKSHANGAA VITUKO VYA JANA ISSUE IKO HIVI KUNA BOI MEMBERS WAKO PALE WANASAPOTI SIMBA WAKIONGOZWA NA RAIS WA TFF KARIA BAADA YAKUPITA WANAKOJUA SIMBA WAKADANGANYWA KESHO MKIINGIXA TIMU MNAKUFA SI CHINI YA TANO WALICHOFANYA TFF NA WENXIE WA BODI WAKACHEXA DILI NA KAMISHNA...
  16. A

    Viongozi wa Simba inabidi wajipongeze Bodi ya Ligi kununua kesi yao

    Tukiacha ushabiki viongozi wa Simba waliweka mtego na Bodi ya ligi imejaa kwenye mfumo, kiuhalisia hakukuwa na sababu yeyote ya msingi ya Simba kugomea mechi. Lakini kwa Sasa Hivi huwezii kusema Simba aligomea mechi ila Bodi ya ligi iliahirisha mechi kwa hiyo mpaka saivi Simba kwa kufuata...
  17. A

    Viongozi wa TFF na bodi ya ligi wawe wajiuzulu kwa kushindwa kutafuta suluhu ya sintofahamu ya dabi ya Kariakoo

    Ukweli ni kwamba, kwa nchi ambayo viongozi wake wanawajibika ilitakiwa mpaka mchana wa leo viongozi wa TFF na bodi ya ligi wawe wamejiuzulu kwa kushindwa kutafuta suluhu ya sintofahamu ya jana. Kuna wakati unajiuliza hivi hawa viongozi wa mpira ikitokea wamepewa madaraka makubwa na ghafla...
  18. S

    Sakata la Mechi ya YangaSc vs Simba, Kigogo Mmoja abwaga Manyanga bodi ya ligi kuu

    BREAKING: Mjumbe wa kamati ya Usimamizi na Uendeshaji wa ligi kuu Tanzania bara Ndugu Filimon Ntahilaja amejihudhuru nafasi yake muda mfupi uliopita na kutoka nje ya kikao baada ya maamuzi ya kutolewa ambapo yeye anaamini hayakuwa maamuzi sahihi. Imefahamika kuwa Ndugu Filimon Ntahilaja...
  19. S

    Sakata la Mechi ya YangaSc vs Simba, Kigogo Mmoja abwaga Manyanga bodi ya ligi kuu

    BREAKING: Mjumbe wa kamati ya Usimamizi na Uendeshaji wa ligi kuu Tanzania bara Ndugu Filimon Ntahilaja amejihudhuru nafasi yake muda mfupi uliopita na kutoka nje ya kikao baada ya maamuzi ya kutolewa ambapo yeye anaamini hayakuwa maamuzi sahihi. Imefahamika kuwa Ndugu Filimon Ntahilaja...
  20. jingalao

    Bodi ya Ligi imetoa wapi kanuni zake? Je, zimejikita kwenye kanuni za IFAB?

    baada ya huu mkanganyiko nimeendelea kutafuta marejeo ya kisheria yanayohusu mpira wa soka duniani. bado sijaona kanuni hizi za bodi ya ligi yetu walizitohoa kutokea wapi. na matokeo yake bodi imejipa mamlaka isiyohusika nayo. kama huo ndio ukweli basi TFF na bodi ya ligi zitafaa kifumuliwa na...
Back
Top Bottom