Dusti Bongé (née Eunice Lyle Swetman, 1903–1993) was an American painter who worked from the 1930s through the early 1990s. She is considered Mississippi's first Abstract Expressionist painter and its first Modernist artist.
Wakati mama Samia akiendelea kuipigania nchi yetu nje ya mipaka na kwa wakati huu akiwa Kigali Rwanda katika moja ya summit muhimu duniani mmarekani Peter Greenberg naye yuko Kigali muda huohuo.
Peter Greenberg anakuwa mmoja ya watu wachache sana duniani asiyekuwa Mtanzania kupata bahati ya...
Habari wana yanga wenzangu.
Kweli yanga tunachukiwa sana,imejizihirisha leo sehemu nilipokuwa nacheki mechi ya yanga na lamba lamba mashabiko wa simba walikuwa wanatukana piga hao mbwa.
Si ghafla azizi k akawafunga mdomo,wakakimbia banda kwa aibu,sasa simba kiko wapi?
Yanga ni timu ya...
Kwenye hili collabo la watu wazima Mandojo & Domokaya "Wanok nok" walilo mshirikisha komando Jide.
Komando alikinukisha upande wa chorus vibaya sana.
"Wanafki nafki watu wa kupakazia
Yasowahusu wao kuingilia
Maneno yao ni kama ya simba
Ukiyasikiliza lazima utaaminia
Wanok nok watu wa kusingizia...
Mzuka wanajamvi!
Mechi ya jana usiku ya premier league Uingereza Kati ya Wolverhampton vs Manchester united ilikuwa bonge la mechi.
Cha kusikitisha Wolves hakuibuka kidedea ilifungwa goli moja kwa bila na Mani licha ya kucheza vizuri kwa kushambulia kulinda na kukaba
Wolves pia katikati...
Mfanyabiashara maarufu wa Kariakoo, Sinyali Kimambo, maarufu kama Mama Bonge amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kutorudi nyuma katika msimamo wake wa kuleta mageuzi ya uchumi nchini, ikiwemo kuvutia uwekezaji wa kampuni ya DP World kwenye bandari ya Dar es Salaam
Mama Bonge, ambaye huagiza...
Itoshe kusema jamaa anatosha kabisa kukalia kiti cha CEO. Naamini huyu ndo atatusaidia kuleta kombe la CAFCL hapa bongo.
Nilianza kumuelewa kuanzia tulipopangwa na rivers and now tumepewa waamuzi wa Congo wawili yaani referee na line number 2 huyo mbili ni wa south. Ngojeni muone USM...
Hili limekaa kisiasa zaidi kwanza ukiwa mpinzani hawa jamaa watahakikisha unaishiwa ili mirija isi support tena upinzani.
Hizo mali za mama Bonge mlizochukua badae utasikia hazijulikani zilipo ama haionekani. Na kodi mnazo bambika watu hazisaidii sana zinaua biashara za watu na watanzania...
🗣 “Namwambia mara kwa mara Djuma Shabani kwanza ananenepa sana amekuwa mzito, hawezi kucheza mechi ngumu kama na Al Ahly, Esperance, Wydad. Djuma hana tena speed kama atakutana na winga ana akili sana hawezi kugusa mpira hata mara moja.”
- Mwinyi Zahera akizungumzia mlinzi wa kulia wa Yanga SC...
Hii ni Mbinu mpya ya Wachawi (hasa wale Chuma Ulete) ambayo huitumia kwa Kukuomba Shilingi Mia Moja (Tsh 100/=) na ukijifanya Mwema, Mtoaji na mwenye Huruma jua imekula Kwako kwani Pesa zako zote zitaishia Kwake / Kwao.
Na mara nyingi hawakuombi kuanzia Mchana bali huhakikisha wanakuomba...
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, limemkamata Seleman Kalembo, maarufu kama Sele Bonge na wenzake 9 kwa tuhuma za wizi na kuwakuta wakiwa na gari aina ya Noah vifaa mbalimbali vya kuvunjia nyumba, TV nne pamoja na mfuko wa kufichia TV baada ya kuiba.
Kaimu Kamanda wa Polisi Kanda...
Jose Mourinho wants FIFA to stop African players from representing other countries other than that of their origin. He believes once this is done, Africa countries would start winning the World Cup.
Chanzo: Africa Archives
Binafsi huwa ninawapenda Watu wenye Dharau, Nyodo na Jeuri Kiasili, ila...
Bwana Bonge ni mmoja wa matajari wa nchi ya Kusadikika, alimuoa classmate wake ambae alijaliwa kupata nae watoto wanne. Wakike mmoja na wanaume watatu. Watoto wote walishakua na miji yao na wengine waliishi nchi za mbali.
Mrs Bonge aligundulika na saratani ya ziwa akiwa na miaka 40, wakati...
Looking at fluidity, explosiveness, buildup, presence in final third, athletism, teamwork, speed, hakika Liverpool atanipa raha sana leo, na kesho namsubiri The mighty Nottingham Forest FC akipanda EPL raha sana.
Majuzi nilipata mchongo wa kwenda US -Chicago. Wenyeji wakanikatia tiketi KLM aisee mzinga wa ndege. niwe mkweli Sijawahi kupanda ndege Kama ile. Japo enzi za fastjet niliwahi kwenda Dar na kurudi tu. Tembea uone. Ushamba tupa kule.
Hivi karibuni, humuhumu JF, niliandika kwa kuuliza: Kwanini mabasi ya mikoani 'yalazimishwe' kuingia kila stendi?.
Leo, asubuhi katika kipindi cha Power Breakfast, mtangazaji 'Bonge' alikuwa na mazungumzo na wadau wa usafirishaji kwa mabasi makubwa.
Hakika, wadau wanalalamikia kitendo cha...
Hii ni korean drama iliyotoka mwaka 2017 ina episodes 18.katika series zangu Bora duniani hii inaingia kwenye Top 3 yangu si rahisi kwangu korean drama yoyote kuingia kwenye list ya best series of all time kwa upande wangu lakini hii kutokana na kuwa na ubora mkubwa na yenye kusisimua imeingia...
"THE CALL" bonge moja la muvi 2013, ni kitengo cha huduma za dharura 911 Los Angeles, wanapokea simu za matukio ya hatari jijini, halafu kuna huyu jamaa ana matatizo ya akili anateka wasichana wenye nwele ndefu zenye rangi flani anawapasua vichwa kwa uangalifu apate wigi la nywele hizo...
chama la wana simba ni kiiiibokooooo siiimba ni nooma eeheeeee siiimba siiiimba aaaah aweweweeee walete waleteeeeeeeee
Niki report toka kurasini bandarini ni mimi Nzagamba dume a.k.a MZEE TOZI mzee m bad zee la bandari, wazee wa bandari meli hiyoo Poooohoooo.
KUIACHA SIMBA EEHEEE KUSHABIKIA...
Salama wakuu,
Michuano ya Euro 2020 inategemewa kuanza hapo Juni 11 takribani wiki tatu kutoka sasa.
Michuano hii ilitakiwa ifanyike juni mwaka jana 2020 ila ilihairishwa kutokana na Corona. Hivyo Uefa ikaamua michuano hiyo ifanyike mwaka huu lakini iendelee na jina lilelile la Uefa Euro 2020...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.