botswana

Botswana ( (listen), also UK: ), officially the Republic of Botswana (Setswana: Lefatshe la Botswana), is a landlocked country in Southern Africa. Formerly the British protectorate of Bechuanaland, Botswana adopted its name after becoming independent within the Commonwealth on 30 September 1966. Since then, it has been a representative republic, with a consistent record of uninterrupted democratic elections and the lowest perceived corruption ranking in Africa since at least 1998. It is currently Africa's oldest continuous democracy.Botswana is topographically flat, with up to 70 percent of its territory being the Kalahari Desert. It is bordered by South Africa to the south and southeast, Namibia to the west and north, and Zimbabwe to the northeast. Its border with Zambia to the north near Kazungula is poorly defined but is, at most, a few hundred metres long.A mid-sized country of just over 2.3 million people, Botswana is one of the most sparsely populated countries in the world. Around 10 percent of the population lives in the capital and largest city, Gaborone. Formerly one of the poorest countries in the world—with a GDP per capita of about US$70 per year in the late 1960s—Botswana has since transformed itself into one of the world's fastest-growing economies. The economy is dominated by mining, cattle, and tourism. Botswana boasts a GDP (purchasing power parity) per capita of about $18,825 per year as of 2015, which is one of the highest in Africa. Its high gross national income (by some estimates the fourth-largest in Africa) gives the country a relatively high standard of living and one of the highest Human Development Index of continental Sub-Saharan Africa.Botswana is a member of the African Union, the Southern African Development Community, the Commonwealth of Nations, and the United Nations. The country has been among the hardest hit by the HIV/AIDS epidemic. Despite the success in programmes to make treatments available to those infected, and to educate the populace in general about how to stop the spread of HIV/AIDS, the number of people with AIDS rose from 290,000 in 2005 to 320,000 in 2013. As of 2014, Botswana has the third-highest prevalence rate for HIV/AIDS, with roughly 20% of the population infected.

View More On Wikipedia.org
  1. Crocodiletooth

    Botswana imefanyaje kufikia hatua hii?

    Welcome to Botswana 🇧🇼 In Botswana, citizens get free land, free healthcare, and free education. University students receive $154 in allowances monthly. It has low debt. It has Africa's best Police service. It is an upper-middle-income country. It has Africa's highest credit rating. It is...
  2. peno hasegawa

    Afisa wa ubalozi wa Tanzania nchini Botswana anaonekana mitaani na mahakamani mkoani Kilimanjaro akizurura na gari la Ubalozi!

    Ninasikitika sana! Serikali imejisahau au ni watumishi wa umma wamejisahau? Kuna mtumishi wa ubalozi wa Tanzania nchini Botwana anaonekana kila mwezi akizurura na gari lenye namba za ubalozu wetu nchini Botswana. Sababu za kimsingi kuwa na gari hilo mkoani kilimanjaro ni kuhudhuria mahakamani...
  3. U

    Tunajifunza nini kwa Botswana kuwa nchi tajiri kuliko nchi nyingine za Afrika?

    Why is Botswana richer than other African countries? Botswana is richer than most other African countries because of 3 basic factors: DIAMONDS At independence, the country had no more than 12km of tarred roads in 1965. It also had less than 10 graduates. The discovery of diamonds changed all...
  4. Amaizing Mimi

    Msaada kwa wanaojua Viwango vya Mshahara kwa Mwalimu nchini Botswana

    Habarini wanajamvi, Nimechoshwa na maisha ya walimu hapa nchini. Nimekuwa nikiona baadhi ya machapisho kuwa angalau Botswana kuna kaunafuu. Kwa anaejua mshahara wa Mwalimu wa Degree nchini Botswana naomba anijuze, na pia connection kama itawezekana. Ahsanteni.
  5. BARD AI

    Botswana: Serikali yakanusha kutelekeza Wanajeshi wake vitani Msumbiji

    Jeshi la Ulinzi la #Botswana (BDF) limesema taarifa hizo zilizoripotiwa na Magazeti kuhusu Wanajeshi kukabiliwa na njaa kutokana na kutokana na kukosa chakula ni za uzushi na hazina msingi. Taarifa ya #BDF imesema Wanajeshi wake waliotumwa Kaskazini mwa Nchi hiyo kulinda amani wapo katika Kambi...
  6. BARD AI

    Botswana: Rais Mstaafu adai Serikali inapanga kumkamata na kumuua akirejea nchini humo

    Tamko hilo linafuatia mahojiano ya Khama kueleza kuwa ana taarifa Serikali ya Rais Mokgweetsi Masisi inapanga kumkamata na kumuwekea Sumu atakaporejea Nchini humo kutoka Afrika Kusini anakoishi tangu mwaka 2021. Khama amesema Serikali ya Botswana inahofia ushawishi mkubwa alionao kuelekea...
  7. BARD AI

    Raia wa Botswana afungwa miaka mitatu kwa kuishi nchini kinyemela

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imemuhukumu raia wa Botswana, Theo Leborang kulipa faini ya Sh1 milioni au kwenda kifungo cha miaka mitatu jela kwa kosa la kuishi nchini kinyume cha sheria na kutoa taarifa za uongo kwa Maofisa wa Uhamiaji. Hukumu hiyo imetolewa jana Jumanne...
  8. Gordian Anduru

    MAAJABU YA SOKA: Wiki hii imejirudia, iliwahi kutokea August 11 -24 mwaka 2019

    August 10, 2019 Simba alitoka sare ya bila bila ugenini na UD Songo ya Msumbiji na Yanga walitoka sare ya 1-1 na Township Rollers ya Botswana. Kama kawaida yao wachambuzi maandazi waliishambulia sana Yanga kwa kuruhusu bao nyumbani na kuisifu sana Simba kutoka sare tasa ugenini. Tulinyanyasika...
  9. TODAYS

    Afrika Mashariki kila siku vikao, wenzenu Namibia na Botswana wameruka, sasa ni vitambulisho siyo pasipoti!

    Nchi wanachama wa Afrika mashariki zikiwa ni tatu Kenya, Uganda na Tanzania zimekuwa zikijikongoja kuuganya muungano kuwa mwepesi kwa raia wake hata kwa muingiliano siyo issue ya kazi but mpaka leo tukiwa na utitiri wa nchi ndiyo balaa linaongezeka. Seŕikali za Namibia na Botswana zimekubali...
  10. BigTall

    Mechi ya Tanzania Vs Botswana yaota mbawa, Botswana waja juu

    MECHI YA STARS NA BOTSWANA YAOTA MBAWA Chama cha soka cha Botswana (BFA) kimetoa taarifa rasmi ya kuifuta mechi ya kirafiki dhidi ya Tanzania iliyokuwa ifanyike Machi 26. 𝐌𝐞𝐜𝐡𝐢 𝐲𝐚 𝐭𝐢𝐦𝐮 𝐲𝐚 𝐭𝐚𝐢𝐟𝐚 𝐲𝐚 𝐁𝐨𝐭𝐬𝐰𝐚𝐧𝐚 𝐢𝐥𝐢𝐲𝐨𝐩𝐚𝐧𝐠𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐜𝐡𝐞𝐳𝐰𝐚 𝐝𝐡𝐢𝐝𝐢 𝐲𝐚 𝐓𝐚𝐧𝐳𝐚𝐧𝐢𝐚 𝐌𝐚𝐜𝐡𝐢 𝟐𝟔, 𝟐𝟎𝟐𝟐 𝐢𝐦𝐞𝐟𝐮𝐭𝐰𝐚. 𝐌𝐞𝐜𝐡𝐢 𝐡𝐢𝐲𝐨 𝐢𝐦𝐞𝐟𝐮𝐭𝐰𝐚...
  11. figganigga

    Tundu Lissu, Salim Mwalimu na Margit Hellwig-Boette, Wakutana Botswana

    Salaam Wakuu Balozi wa Ujerumani Nchini Botswana Margit Hellwig-Boette leo Nov. 08, 2021 akiteta na Makamu Mwenyekiti na Mgombea Urais wa 2020 Tundu Lissu na Salim Mwalimu, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar na Mgombea Mwenza wa Lissu wakati wa mkutano wa Kimataifa unaohusu Uchaguzi Afrika...
  12. Midnight

    Safari yangu ya dhahabu Botswana - Sehemu ya pili

    "Itakuwa furaha Sana kwangu Kama mods mtauacha huu uzi hapa hapa na sio kuunganisha na ule wa sehemu ya kwanza... Natanguliza shukrani kwenu na kazi iendelee kwa pamoja tukiwa Kama Wana jamuhuri wa jamuhuri tukufu ya muungano wa Tanzania, Mungu ibariki Tanzania." Kwanza kabisa napenda...
  13. kabwinyola

    Nataka kwenda Botswana, natakiwa kuwa na Visa?

    Wakurugenzi nimepata mchongo Nampula Botswana je hints nafikaje huko? Ubalozi wao upo wapi hapa Tanzania? Naona hapa pananifaa. Vigezo gani vya kuingia huko? Nimetenga 1500$ Kama safari alafu 1000$ ya kukaa miezi mitatu rental
  14. beth

    #COVID19 Botswana: Waziri Msaidizi asimamishwa kazi kwa kukiuka kanuni za kupambana na Corona

    Rais wa Botswana amemsimamisha kazi kwa mwezi mmoja Waziri Msaidizi wa Afya, Sethomo Lelatisitswe, kwa kukiuka taratibu zilizowekwa ili kudhibiti maambukizi ya COVID19. Serikali Nchini humo ilipiga marufuku mikusanyiko yote kutokana na ongezeko la Visa vya Corona na miongoni mwa mikusanyiko...
  15. Determinantor

    Linganisha Delegation ya Botswana na ya Tanzania kwenye kuapishwa Rais Mteule wa Zambia

    Wakati wenzetu Botswana wakipeleka High Level Government Officials sisi tunapeleka Makada wa CCM. Botswana wanaenda kujenga au kuimarisha economic networking na mengine, sisi tunawapeleka akina Shaka wakawafundishe Zambia jinsi ya kuiba kura na kutumia state apparatuses kubaki...
  16. leroy

    Why has Botswana been so successful compared to others in Africa?

    A country like Botswana which is basically composed of a single ethnic group (the minorities in Botswana, including whites, Coloureds, Asians, and Khoisan, have zero political aspirations and are such a negligible percentage of the population they can be easily discounted) is the ideal setup in...
  17. Lameckjr

    Nataka kuhamia Botswana naomba muongozo

    Wakuu habari zenu! Jamani mimi ni kijana wa kitanzania ambaye nataka kubadilisha mazingira nihamie Botswana 🇧🇼 japo kibishi bishi ,naomba ushauri au connection. Asante.
  18. Sam Gidori

    Jiwe la Almasi la tatu kwa ukubwa duniani lachimbwa Botswana

    Jiwe kubwa la almasi ambalo ni la tatu kwa ukubwa duniani limepatikana nchini Botswana, katika machimbo ya dhahabu ya Jwaneng yanayotajwa kuwa yenye utajiri mkubwa zaidi wa almasi duniani. Jiwe hilo lenye ukubwa unaolingana na ngumi lina uzito wa karati 1,098. Thamani ya jiwe hilo inatarajiwa...
  19. The Sheriff

    Ziara ya Rais Masisi: Wakubaliana na Rais Samia kuendeleza Sekta ya Madini na kufufua Tume ya Pamoja ya Ushirikiano

    Rais wa Jamhuri ya Botswana, Mokgweetsi Masisi amewasili kwa na ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Tanzania, kuanzia leo Juni 10, 2021 kwa mwaliko wa Rais Samia Suluhu Hassan. Viongozi hao wawili wanatarajia kuzungumzia masuala ya ushirikiano kati ya nchi mbili, uhusiano wa kidiplomasia...
  20. C

    Rais wa Botswana, Mokgweetsi Masisi kufanya ziara nchini Tanzania kesho June 10, 2021

    President Mokgweetsi Masisi will undertake a Working Visit to Dar es Salaam, Tanzania tomorrow, June 10 2021 and return on Friday. "His Excellency the President will meet with his counterpart, Her Excellency Mrs. Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania, to among...
Back
Top Bottom