botswana

  1. Soweto2006

    Uliza swali lolote kuhusu Botswana au Afrika Kusini na nitakujibu

    Mimeona huku kwenye mtandao watu wengi wangependa kujua kuhusu nchi za Botswana na Afrika Kusini (South Africa). Niulize chochote nitakujibu, nimeishi huku miaka 25 sasa na naahidi nitajaribu kusaidia.
  2. S

    Habari zenu, natoka Botswana nawasalimu sana

    Katika pitapita zangu rafiki yangu amenionyesha mtandao wa JamiiForums. Nimeupenda sana kwa taarifa zenu ambazo ni up to date. Nimejiunga nanyi leo natokea Gaborone Botswana Kl 350 to Johannesburg. Nimeishi hapa miaka mingi sana na nimekuwa kama mzawa wa hapa. Asanteni sana
  3. Miss Zomboko

    Botswana yapanga mipango ya kuanza kutumia lugha ya Kiswahili Shuleni

    Botswana aims to introduce Swahili language in the southern African country's local schools, a senior official said Tuesday. At a language teaching workshop in Francistown, Botswana's second-largest city, Fidelis Molao, Botswana's Minister of Basic Education, said that Swahili language will be...
  4. Wacha1

    Tembo Botswana wanakufa, Je, Tembo wetu Tanzania wapo salama?

    Hundreds of elephants found dead in Botswana Credit: Mystery as hundreds of elephants found dead Mystery surrounds the "completely unprecedented" deaths of hundreds of elephants in Botswana over the last two months. Dr Niall McCann said colleagues in the southern African country had...
  5. Papaa Mobimba

    Naibu Spika Tulia Ackson athibitisha Mbunge mmoja kupata maambukizi ya COVID-19

    Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amesema kuwa mmoja wa Wabunge wa Bunge hilo amethibitika kuwa ana maambukizi ya Virusi vya Corona. Amesema mbunge huyo anaendelea vizuri na Serikali inaendelea kumuangalia na kumpatia matibabu stahiki. Kwa mujibu wa maelezo ya mbunge huyo...
  6. Richard

    Mafisadi waiingilia idara ya usalama ya Botswana , wataka kumuua Rais Mokgweetsi Masisi ili kupora rasilimali za nchi hiyo

    Raisi Masisi akila kiapo wakati akiapishwa kuwa raisi wa Botswana mwaka 2018. Picha na AFP Maisha ya raisi wa Botswana Mokgweetsi Masisi yako hatarini baada ya mafisadi wakishirikiana na baadhi ya raia wa kigeni wenye uwezo wa kifedha kutoka nje ya Botswana kupanga kumuua kiongozi huyo. Mpango...
  7. Dominic Myumbilwa

    The Message; Ministry of Natural Resources & Tourism

    By: Eric Allard I’ve been in Tanzania for 30 years now and i'm proud of where this nation is at when compared to what it was when I first arrived. It was a good decision to move here then and I’ve experienced the country’s economic and infrastructure growth over the 30 years. I’ve also run my...
Back
Top Bottom