buriani

  1. Mohamed Said

    BURIANI Sultan Jamshid BIN Abdulla BIN Khalifa (1926 - 2024)

    (1929 - 2024) Hiyo taazia hapo chini niliandika majuma machache yaliyopita nilipopokea taarifa kuwa Sultan Jamshid kafariki. Haukupita muda nikapokea taarifa kuwa si kweli yu hai. Nilijisikia vibaya sana. Ninachokumbuka ni kupokea ujumbe kutoka kwa rafiki yangu akiniambia nilifanya haraka...
  2. Jidu La Mabambasi

    Buriani Dkt. Ndugulile - Barua toka CANADA

    Wananzengo nimeona mtandaoni barua toka Canada, Mtanzania akimlilia Dr Ndugulile: FROM OTAWA...........................Hili la kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile limeniumiza sana, shida ni nini ? Mke wa Faustine ambae ni Program Manager pale NBTS, Magdalena Swai nilifanya nae kazi kwa karibu...
  3. Mohamed Said

    Buriani Salim "Sammy Davis" Hariz

    BURIANI SALIM ‘’SAMMY DAVIS’’ HARIZ Niko njiani naelekea Tanga. Safari nimeanza alfajir sana. Nasinzia baada ya kupita Wami. Naizima simu yangu kuhifadhi ‘’charge.’’ NIlipofika Tanga ndipo nikaifungua na kuona msururu wa ‘’mis calls.’’ Msg zinaingia moja baada ya nyingine na ndipo nilipoona...
  4. Bujibuji Simba Nyamaume

    TANZIA Buriani Dr. Gilbert Sanga a.k.a Gill Biz

    Tutakukumbuka milele milele yote, hakikanulikuwa mtu mwema na mwalimumwema. Daima ulituonya, kutukanya na kutuasa. JamiiForums watakukumbuka kwa ucheshi na vibweka vyako. Uliniasa nisi disclose ID yako na iendelee kubaki kificho. Hi-Lo tumelitenda kwa nguvu ya Mungu atupaye Leo na kesho...
  5. Mohamed Said

    TANZIA Buriani Mohammed Rafiq, mmoja wa Waasisi wa timu ya Saigon, Kariakoo

    KOKNI MUSLIM JAMAAT of DAR ES SALAAM, TANZANIA DEATH ANNOUNCEMENT ‎إِنَّا للهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعون "Surely we belong to Allah and to Him shall we return". It is with sadness that we share the news of the demise of MR MOHAMEDRAFIQ ZAHIR FAKI who passed away in Dar Es Salaam on 9th...
  6. Mohamed Said

    Buriani Mzungumzaji Wangu Abuu Shariff

    BURIANI MZUNGUMZAJI WANGU ABUU SHARIFF Taarifa ya msiba wa Abuu (na hivi ndivyo alivyokuwa akifahamika Dar-es-Salaam) nimeipata kutoka Tanga kwa shariff mwenzake, Shariff Mohamed Yahya. Wote walipata kucheza Young African kisha Cosmopolitan. Mohamed Yahya akiwa mlinda mlango na Abuu mlinzi...
  7. Ivan Stepanov

    Utata wa imani - jirani yangu kaponea tundu la sindano. Ilikua ni kwaheri buriani

    Huyu bwana ni kama tulikua tumeshampoteza, lilikua ni suala la kuhesabu siku tu maana hata mkewe alikua kamkatia tamaa. Wakuu mambo haya yasikieni nyie akina min -me , hiv watu mnapata wapi ujasiri wa kusema hakuna uchawi?? Kwakwel kila nikitafakari sipati jibu kwamba hivi ni mahubiri gani...
  8. Mohamed Said

    Buriani Hamisi "Super VC 10" Kibunzi

    BURIANI HAMISI "SUPER VC 10" KIBUNZI Kila nilipokutana na Hamisi Kibunzi tutazungumza mengi kuhusu mpira wa miaka iliyopita wakati Sunderland walipompa jina la "Super VC 10." Hii ilikuwa aina ya ndege ambazo East African Airways ikitumia kwa safari za masafa marefu: Dar/Nairobi/Addis/London...
  9. Pascal Mayalla

    Buriani Mzee Ruksa: Ni Deng Xiaoping Wetu wa Mageuzi ya Kiuchumi, Demokrasia, Haki za Binadamu na Uhuru wa Habari. Asante kwa Ruksa Zako, Pumzika!

    Wanabodi Siku ya leo, tunampunzisha Mzee wetu, Rais Mtaafu wa Tanzania, Mzee Ali Hassan Mwinyi, kwa jina maarufu la Mzee Rukhsa, kwenye nyumba yake ya malalo ya makao ya milele. Mara ya Kwanza Kulisikia Jina la Ali Hassan Mwinyi. Kwa mara ya kwanza jina la Ali Hassan Mwinyi, nililisikia mwaka...
  10. Suley2019

    Utamkumbuka Edward Lowassa kwa mambo gani?

    Habari Wadau, Leo Februari 10, 2024 Makamu wa Rais Dkt. Mpango ametangaza kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania na Mgombea Urais wa CHADEMA mwaka 2015 Edward Ngoyai Lowasa Soma: Edward Lowassa (Waziri Mkuu Mstaafu na Mgombea Urais wa CHADEMA 2015) afariki dunia Katika mwaka...
  11. Mwande na Mndewa

    Buriani Edward Lowassa, Rais wa mioyo ya Watanzania

    Sitasahau Mei 2015 uwanja mzima wa Sheikh Amri Abeid, Arusha ukiimba "Lowassa Lowassa, Lowassa Lowassa, sitasahau ile picha Dr. Emmanuel Nchimbi na wengi wa wanachama wa CCM wakiimba "Tuna imani na Lowassa" kwenye mkutano wa NEC 2015. Kipindi cha mchujo hakijanitoka akilini, Edward Lowassa...
  12. Mwizukulu mgikuru

    RC Batilda Buriani tatizo la umeme Tabora hulioni?

    Nipo Tabora leo ni siku ya tatu nikifanya kazi maalumu ili kuendelea kulijenga taifa. Kinachonisaidia ni kuwa nina powerbank tatu, toka nimefika Tabora umeme unakatwa asubuhi na kurudi usiku saa nne, na muda Mwingine unaweza kukatwa hata mara sita. Nauliza mkuu wa Mkoa, Batilda Buriani hili...
  13. Adilinanduguze2

    Buriani Rashid Mbuguni, Mzalendo aliyedhulumiwa kiwanda amekufa hajaona haki

    Rashid Mbuguni Afariki Dunia. Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kuondoka duniani kwa Ndugu Rashid Mbuguni. Apumzike Kwa Amani. Maggid Luqman Maloto anaandika: Luqman Maloto “MZALENDO ALIYEDHULUMIWA KIWANDA AMEKUFA HAJAONA HAKI NAKUMBUKA mwaka 1999. Mara ya kwanza naingia chumba cha...
  14. Mohamed Said

    Buriani Leila Sheikh: Sikio na Mwandani wa Bi. Titi Mohamed

    BURIANI LEILA SHEIKH SIKIO NA MWANDANI WA BI. TITI MOHAMED Wasomaji wangu niruhusuni niweke msg niliyomtumia Leyla Sheikh tarehe 12 December 2022. (Mtaniwia radhi nimeifanyia uhariri kidogo ili ipate kueleweka kwa wasomaji). Wakati huo CCM na serikali yake walikuwa katika pilikapilika ya...
  15. Nazjaz

    TANZIA Buriani Mzee Pius Gugadi, Msadifu wa Majengo NHC

    Once again, Msasani Village tùmepatwa na pigo kubwa. Huu ni mfululizo wa vifo vya kaka zetu, dada zetu na baba na mama zetu. Leo nasikitika kuujulisha umma juu ya kuondokewa ña mzee wetu Pius Gogadi. Pius Gogadi alikuwa ni msadifu majengo mkuu wa shirika la nyumba la taifa NHC MKE wa maremu...
  16. mrangi

    TANZIA Mwanamuziki Tina Turner afariki dunia akiwa na miaka 83, alikuwa na Saratani ya Utumbo

    Nyota huyo mkongwe wa Muziki wa Rock’n’Roll amefariki akiwa na umri wa miaka 83 baada ya kuugua kwa muda mrefu. Kwa mujibu wa familia, Turner alianza kuwa na hali mbaya ya Kiafya baada ya kugundulika kuwa na Saratani ya Utumbo mwaka 2016 na kupandikizwa Figo mwaka 2017. Enzi za uhai wake...
  17. Mohamed Said

    Buriani Rashid ''Inzi'' Timamy

    BURIANI RASHID "INZI" TIMAMY MWANASOKA WA SIFA Imekuwa kawaida yetu kuwa hatuna historia yetu yoyote iliyohifadhiwa rasmi. Kama si kwa hii video ya marehemu Abdulkarim Shah maarufu kwa jina la Bulji ambae alipata kuwa mbunge wa Mafia leo tusingekuwa na kitu cha kuweka hapa kueleza historia ya...
  18. Pascal Mayalla

    Buriani Benard Membe, Umepigana Vita Vilivyo Vitakatifu, Mwendo Umeumaliza, Imani Umeitunza, Madeni Yako Yaliyobakia Karma Itakulipia!

    Wanabodi, leo katika viwanja vya Karimjee, Watanzania tunamuaga aliyekuwa Waziri wetu kwa kipindi chote cha miaka 10 ya utawala wa Jakaya Mrisho Kikwete, Mwana Diplomasia nguli, Bernard Cammilus Membe, aliyefariki dunia ghafla, juzi Ijumaa asubuhi. Nilivyomfahamu Membe. Fani yetu ya uandishi wa...
  19. Victoire

    TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia

    Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Bernard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki. Bernard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la...
  20. KING MIDAS

    TANZIA Buriani Dunstan Charles Rally Navigator mkongwe

    Buriani brother. Jana tumekutana Msasani Flats tukipanga mipango mingi na mipangilio kuhusu safari ya leo kwenda kwenye mashindano ya mbio za magari Sao Hill Iringa zinazo dhaminiwa na CMC Automobiles. Ulitamani sana uingie kwenye michuano hii ukiwa na gari yako, lakini ilikuwa na changamoto...
Back
Top Bottom