burkina faso

Burkina Faso (UK: , US: (listen); French: [buʁkina faso]) is a landlocked country in West Africa that covers an area of around 274,200 square kilometres (105,900 sq mi) and is bordered by Mali to the northwest, Niger to the northeast, Benin to the southeast, Togo and Ghana to the south, and the Ivory Coast to the southwest. The July 2019 population estimate by the United Nations was 20,321,378. Previously called Republic of Upper Volta (1958–1984), it was renamed "Burkina Faso" on 4 August 1984 by President Thomas Sankara. Its citizens are known as Burkinabé or Burkinabè ( bur-KEE-nə-bay), and its capital and largest city is Ouagadougou. Due to French colonialism, the country's official language of government and business is French. However, only 15% of the population actually speaks French on a regular basis. There are 59 native languages spoken in Burkina, with the most common language, Moore, spoken by roughly 50% of Burkinabé.The Republic of Upper Volta was established on 11 December 1958 as a self-governing colony within the French Community and on 5 August 1960 it gained full independence with Maurice Yaméogo as President. After protests by students and labour union members, Yaméogo was deposed in the 1966 coup d'état, led by Sangoulé Lamizana, who became president. His rule coincided with the Sahel drought and famine, and facing problems from the country's trade unions he was deposed in the 1980 coup d'état, led by Saye Zerbo. Encountering resistance from trade unions again, Zerbo's government was overthrown in the 1982 coup d'état, led by Jean-Baptiste Ouédraogo.
The leader of the leftist faction of Ouédraogo's government, Thomas Sankara, was made Prime Minister but was later imprisoned. Efforts to free him led to the 1983 coup d'état, in which he became president. Sankara renamed the country Burkina Faso and launched an ambitious socioeconomic programme which included a nationwide literacy campaign, land redistribution to peasants, railway and road construction and the outlawing of female genital mutilation, forced marriages and polygamy. Sankara was overthrown and killed in the 1987 coup d'état led by Blaise Compaoré – deteriorating relations with former coloniser France and its ally the Ivory Coast were the reason given for the coup.
In 1987, Blaise Compaoré became president and, after an alleged 1989 coup attempt, was later elected in 1991 and 1998, elections which were boycotted by the opposition and received a considerably low turnout, as well as in 2005. He remained head of state until he was ousted from power by the popular youth upheaval of 31 October 2014, after which he was exiled to the Ivory Coast. Michel Kafando subsequently became the transitional president of the country. On 16 September 2015, a military coup d'état against the Kafando government was carried out by the Regiment of Presidential Security, the former presidential guard of Compaoré. On 24 September 2015, after pressure from the African Union, ECOWAS and the armed forces, the military junta agreed to step down and Michel Kafando was reinstated as acting president. In the general election held on 29 November 2015, Roch Marc Christian Kaboré won in the first round with 53.5% of the vote and was sworn in as president on 29 December 2015.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Ibrahim Traore anatoa wapi fedha za kufanya maendeleo makubwa hivi Burkina Fasso?

    Rais wa Burkina Faso ameanzisha viwanda, amewezesha kilimo kuchangia pato la Taifa kwa 30%, amenunua trekta na vifaa vya kisasa vya kilimo lakini pia amejenga nyumba zaidi ya 1000 na kuwapa wananchi wa hali ya chini. Katika maadhimisho ya wanawake ameonekana akiwa mashambani kisha kufanya...
  2. issac77

    FT: Burkina faso 0: 2 Tanzania

  3. rr4

    Burkina Faso launches first homemade electric vehicle, ITAOUA

    © ITAOUA Burkina Faso has launched its first 100% homemade electric vehicle, ITAOUA, produced at a cutting-edge plant in Ouaga 2000, a well-known residential district in Burkina Faso, with Burkinabe engineers leading the design and manufacturing processes. The ITAOUA electric car is a...
  4. S

    Ramani mpya ya ECOWAS baada ya Mali, Niger na Burkina faso kujitoa

    Sasa ni rasmi kuwa Mali, Niger na Burkina Faso si wanachama wa jumuiya ya kiuchumi ya nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) ikiwa ni takribani mwaka mmoja tangu nchi hizo zitoe taarifa rasmi ya kujitoa kwao. Kwa taratibu za ECOWAS, uanachama hukoma takribani mwaka mmoja baada ya nchi mwanachama...
  5. The Watchman

    Burkina Faso, Mali na Niger zajiondoa rasmi Jumuiya ya Uchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi (ECOWAS)

    Nchi zinazoongozwa na utawala wa kijeshi, ikiwemo Burkina Faso, Mali na Niger, zimejiondoa rasmi katika Jumuiya ya Uchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi (ECOWAS). Taarifa iliyotolewa na ECOWAS leo Jumatano, Januari 29, 2025, imeeleza licha ya kujiondoa kwao, imetaka mshikamano wa kikanda na...
  6. Manyanza

    Huyu Ndiye Ibrahim Traore Rais wa Burkina Faso

    Rais wa Burkina Faso ameanza kazi vizuri na wengi wanampenda ameifanya Bara la Afrika kuwa sehemu ya Kivutio: SOMA HAPA 👇🏻 1.Mosi ,Amefukuz Majeshi ya Ufaransa Nchini Burkinafaso akidai Burkinafaso Ni Nchi Huru (Sovereign State) isiyohitaji Uwepo Wa Majeshi ya Mataifa ya Magharibi katika...
  7. Mad Max

    Burkina Faso wamezindua gari ya kwanza ya umeme: Wanaiita ITAQUA EV!

    Mapinduzi ya EV yanazidi kushika moto, na Burkina Faso kama moja ya nchi za Africa, hawapo nyuma. Wamekuja na chuma ITAQUA EV yenye range ya 300 km. Taarifa zaidi kuhusu gari kama bei, upatikanaji, perfomance na models hazijawekwa officially, ila ni mwanzo mzuri kwa nchi kama hiyo na iwe...
  8. upupu255

    SI KWELI Ibrahim Traoré Rais wa Burkina Faso amewasili nchini kuhudhuria Mkutano wa Nishati

    Wakuu Nimeona vyanzo mbalimbali vimepost hii taarifa huko YouTube. Je, ni kweli Ibrahim Traoré, Rais wa Burkina Faso, amewasili nchini kuhudhuria mkutano wa nishati ambao unaendelea leo kwa siku ya pili?
  9. Manyanza

    Kapteni Traole apiga marufuku Majaji nchini Burkina Faso kuvaa Mawigi yanayofanana na Majaji wa Ulaya

    Kiongozi wa Burkina Faso, Ibrahim Traoré amepiga marufuku majaji kuvaa mawigi yanayofanana na mitindo ya kikoloni ya Uingereza na Ufaransa, ikiwa ni juhudi za kuondoa athari za ukoloni kwenye mfumo wa mahakama wa taifa hilo. Mawigi hayo yalianzishwa na wakoloni kama sehemu ya mavazi rasmi ya...
  10. S

    Ziara ya Rais Traole wa Burkina Faso italeta kichocheo kwa Watanzania cha kuchukia utawala wa kifisadi unaogawa rasilimali za Taifa kwa wageni?

    Kuna watu maarufu ambao wamewahi kutembelea Tanzania, na kwa namna moja au nyingine kuwa chachu ya mwamko wa kisiasa nchini. Tumetembelewa na watu kama Fidel Castro, Che Guevara, Nelson Mandela, nk. Hata kama hawakuongea mengi wakiwa nchini, kuwapo kwao nchini kulileta hamasa na mwamko fulani...
  11. R

    Rais wa Burkina Faso Capt Ibrahimu Traore anatarajiwa kuja Tanzania January, 2025. Je, atatingisha jukwaa kama alivyofanya nchini Ghana?

    Traore amejizolea umaarufu mkubwa Duniani hasa kwa ulinzi wa rasilimali. Amekuwa na nguvu kubwa ya mapokezi kila anapokwenda. Amekuwa mwana mapinduzi anayetisha mabepari kwa misimamo yake. Natambua Watanzania siyo wafuatiliaji wa siasa za nje, ila naamini ujio wa Traore ukifanyiwa matangazo...
  12. Yoda

    Dikteta Captain Traore wa Burkina Faso ana maajabu gani kumfanya kukubalika sana na Waafrika wengi?

    Kwa nini huyu Rais dikteta wa Burkina Faso Waafrika wanapenda kumpamba sana kwa taarifa za uongo na propaganda? Ana maajabu gani? Hapa wanasema alialikwa katika uapisho wa Trump akakataa!🤣
  13. S

    Yabainika Ufaransa ililipa mabilioni ili majasusi wake waliokamatwa nchini Burkina Faso waachiwe

    Imebainika kuwa Ufaransa ililipa kiasi cha Euro Milioni 60 sawa na Shilingi Bilioni 156 za Tanzania ili majasusi wake wanne waliokuwa wamekamatwa na kushikiliwa nchini Burkina Faso waweze kuachiwa. Majasusi hao walikamatwa nchini Burkina Faso mnamo Disemba mwaka 2023 na kuachiwa mnamo Disemba...
  14. Mwanadiplomasia Mahiri

    Rais Ibrahim Traore wa Burkina Faso alikaa Jukwaa kuu na bunduki yake wakati wa uapisho wa Rais mpya wa Ghana

    Rais wa Burkina Faso, Ibrahim Traore ndiye kiongozi pekee wa aliyekuwa jukwaa la VIP huku akiwa na pisto yake kiunoni. Pia ndiye kiongozi pekee aliyeruhusiwa kuingia na walinzi wake jukwaa kuu. Awali ilionekana asingehudhuria sherehe hiyo, ila akatokea dakika za lala salama. Katika sherehe...
  15. S

    Raia nchini Burkina Faso waamua kulala barabarani nyakati za usiku ili kumlinda Rais Ibrahim Traore

    Baadhi ya Raia nchini Burkina Faso wameanzisha utaratibu wa kutumia muda wa usiku katika barabara na maeneo muhimu ya mji mkuu wa Ouagadougou badala ya kulala majumbani mwao ili kumlinda Rais Kapteni Ibrahim Traore dhidi ya jaribio lolote la mapinduzi. Raia hao walioanzisha kikundi kinachoitwa...
  16. S

    Burkina faso yaanzisha utaratibu wa kurusha mubashara ( live) kesi zinazohusu ubadhirifu/ wizi wa fedha za umma

    Burkina Faso iliyo chini ya utawala wa kijeshi wa Kapteni Ibrahim Traore imeanzisha utaratibu wa kurusha live kesi zote zinazohusu ubadhirifu wa fedha za umma. Utaratibu huo umeanza mwezi Novemba 2024 na watuhumiwa walioanza nao ni maafisa wa wizara ya misaada ya kibinadamu wanaotuhumiwa kuiba...
  17. Waufukweni

    Kiongozi wa kijeshi wa Burkina Faso, Ibrahim Traore, amfuta kazi Waziri Mkuu na kuvunja Serikali

    Kiongozi wa kijeshi wa Burkina Faso, Ibrahim Traore, amemfuta kazi Waziri Mkuu Apollinaire de Tambela na kuvunja serikali ya nchi hiyo. Tamko lililotolewa na ofisi ya Rais Traore jana, Disemba 6 limesema kuwa wadhifa wa Waziri Mkuu umefutwa, lakini hakuna sababu maalum iliyotolewa kwa uamuzi...
  18. S

    Burkina Faso kununua mabasi 500 kwa ajili ya kurahisisha usafiri kwa wanafunzi

    Serikali ya Burkina Faso inayoongozwa na Kapteni Ibrahim Traore inatarajia kununua mabasi 500 kwa ajili ya kurahisisha usafiri na kuondoa adha wapatayo wanafunzi hasa waishio maeneo ya mijini. Hayo yamesemwa wakati wa utoaji wa ripoti ya kikao cha kawaida cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika...
  19. S

    Wakuu wa majeshi wa nchi zinazounda Umoja wa Sahel (AES) wakutana nchini Niger

    Wakuu wa Majeshi kutoka nchi za Niger, Mali na Burkina Faso zinazounda umoja wa nchi za Sahel ( AES ) wamekutana na kufanya kikao nchini Niger jana tarehe 3 Disemba 2024. Wakuu hao wa majeshi walifanya tathmini ya mwenendo wa mapamabano dhidi ya magaidi wanaozisumbua nchi zote tatú. Baada ya...
  20. S

    Kapteni Ibrahim Traore azindua kiwanda cha kusindika nyanya

    Rais wa Burkina Faso Kapteni Ibrahim Traore amezindua kiwanda cha kusindika nyanya kilichopo katika mji wa Bobo-Dioulasso. Uzinduzi wa kiwanda hicho umefanyika leo tarehe 30 Novemba 2024 . Kiwanda hicho chenye uwezo wa kuchakata tani 6 za nyanya kwa saa moja, kinatazamiwa kuiwezesha nchi hiyo...
Back
Top Bottom