burundi

  1. Miss Zomboko

    Hatimaye Burundi kuchagua Rais mpya leo, Mei 20 baada ya Nkurunziza kuongoza kwa miaka 15

    HATIMAYE Uchaguzi Mkuu wa Burundi uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu na jumuiya ya kimataifa, utafanyika kesho, huku ukielezwa kuwa ni mwanzo mpya wa demokrasia katika nchi hiyo iliyokubwa na changamoto mbalimbali za kukosekana utulivu wa kisiasa na kijamii. Wakati uchaguzi huo ukifanyika...
  2. Cicadulina

    Burundi yawapa masaa 72 maafisa watatu wa WHO kuondoka

    Serikali ya Jamuhuri ya Burundi imewapa mpaka tarehe 15 May wawakilishi wa shirika la afya duniani wawe wameondoka katika mipaka ya nchi hiyo. Wanaopaswa kuondoka ni: Dr Walter Kazadi Professor Daniel Tarzy, Dr Ruhana Mirindi Bisimwa Dr Jean Pierre Mulunda Govt of Burundi declares World Health...
  3. Analogia Malenga

    Burundi: Kampeni za uchaguzi zaanza rasmi nchini

    Kampeni za uchaguzi wa urais utakaofanyika Mei 20 zimeanza leo, Aprili 28 nchini Burundi. Mgombea urais kupitia chama tawala CNND-FDD, Evariste Ndayishimiyena na Agathon Rwasa wa chama cha upinzani, CNL wamezindua kampeni zao Mkuu wa Tume ya Uchaguzi (CEN), Pierre Claver Kazihise, amewaonya...
Back
Top Bottom