cafcl

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GENTAMYCINE

    Ni kawaida Matola kuwakazia Simba SC akiwa na Timu nyingine, ila siyo kwa Mnafiki na Mnazi Kally kuwakazia waliotupwa CAFCL

    Kwahiyo wala msipoteze muda wenu kusubiria Matokeo yao ya Kesho au Keshokutwa hapo Mwenge Kwao kwani si tu kuwa Watafungwa bali Watafungwa nyingi sana.
  2. Donnie Charlie

    Droo ya robo fainali ya CAFCL & CAFCC itafanyika katika mji mkuu wa Qatar, Doha Alhamisi, Februari 20, 2025.

    Droo ya robofainali ya #TotalEnergiesCAFCL & #TotalEnergiesCAFCC itafanyika katika mji mkuu wa Qatar, Doha, kwa ushirikiano na mshirika wa haki za vyombo vya habari wa CAF, @beINSPORTS_EN siku ya Alhamisi, Februari 20, 2025. Hatua iko tayari tunapopanga ratiba ya kusisimua ya robo fainali...
  3. itakiamo

    Most Scored Goals in the Group Stage CAFCL

  4. H

    Tips of the Day CAFCL na CAFCC, kaeni humu tumfilisi muhindi leo

    1.Bravo vs Simba Bravo double chance✅✅ 2.Al hilal vs Yanga Yanga double chance✅✅ Mpe double chance Bravo na Yanga upate hela za bure
  5. Kichuguu

    Full Time: Stade D'abidjan 1- 3 Al Ahly | CAF Champions | group A

    Mpaka sasa Al Ahly keshabanwa vigololi vya mipira kwa bao 1-0. Stade Abidjan ambao ndio wanyonge wa kundi hilo wamemkamata koo Al-Ahly hapumui. Sasa hivi ni halfa time.
  6. Scars

    Full Time: Mc Algier 0-1 Al Hilal | CAF Champions | Disemba 14,2024

    CAFCL: Mc Algier 0-1 Al Hilal | CAF Champions Mechi inaanza muda huu kaa tayari....
  7. itakiamo

    Biggest margin of victory in CAFCL Group Stage

  8. GENTAMYCINE

    Wale Matajiri wenye Kisimbuzi cha Kitajiri cha Dstv hizi Mechi za CAFCL ilipo Yanga na ile ya CAFCC iliyopo Simba tunazitizama katika Channels gani?

    Tafadhali kama unajijua unamiliki Visimbuzi vya Kimasikini cha Njia Panda Bamaga usithubutu kuja hapa Kuchangia.
  9. itakiamo

    Kesho Azam Tv ataonesha mechi ya CAFCL bure kama kibali alichopewa kinavyosema?

    Kulingana na kibali alichopewa na CAF kurusha matangazo bure, mechi ya kesho hatoweza kubadilika? Maana tupo dunia ya kibepari
  10. GENTAMYCINE

    Tusidanganyane wala Kuficha Uzi wa Yanga SC kwa CAFCL ni mzuri kuliko Wetu wa Simba SC wa CC

    Sijazoea Unafiki na najua kwa huu Ukweli wangu nitachukiwa mno na wasiopenda Ukweli na Wadau wa Unafiki. Yanga SC wametuzidi Simba SC kwa Jezi nzuri katika Michuano ya Kimataifa inayoenda kuanza hivi karibuni.
  11. GENTAMYCINE

    Je, watumiaji wa Kisimbusi cha Dstv na Sisi safari hii tutaziona Live Yanga SC (CAFCL) na Simba SC (CC) katika hatua zinazokuja za Makundi au?

    Tafadhali kama huna Dstv Kwako na una Visimbuzi vyako vya Kipuuzi Kipuuzi cha Bamaga na Tabata huu Uzi haukuhusu.
  12. D

    Yanga ipo group la kifo CAFCL, no winners no losers in that group

    I will short Yanga previously anticipated a tough group to disappoint one of the favorites to win the CAFCL. They wanted sundowns, to enhance it's presence and superiority in the cup. But as draw came out. Yanga was nicked out with teams with almost the same level of financial power. The...
  13. mdukuzi

    Yanga ina mashabiki wasio na kazi. Jangwani kumefurika nyomi hakuna pa kukanyaga wanafuatilia droo ya CAFCL

    Ningekuwa na uwezo ningeenda kuwachapa bakora hao mashabiki. Jumatatu hii muda wa kazi hakuna pa kukanyaga mitaa ya Jangwani na Twiga kisa droo ya CAFCL, hizi timu ni msiba.
  14. kiwatengu

    CAFCL & CAFCC Group Stage Draw 2024

    The draw will commence with the TotalEnergies CAF Confederation Cup Group Stage Draw at 15h00 East African Time (EAT), followed by the TotalEnergies CAF Champions League Draw at 16h00 EAT. Live Updates... https://www.youtube.com/live/5dTi02vfih8?si=WML4Hb5ZtrEVzEHk CAF CONFEDERATION CUP...
  15. wasakatonge forever

    Kwa timu hizi , droo ya makundi CAFCL msimu huu hapatoshi.

    Habar za uzima wana JF Tarehe 7/10/ 2024 mwaka huu katika mji wa CAIRO ambapo ndipo yalipo makao makuu ya CAF tunatarajia kushuhudia droo ya kupangwa kwa makundi ya mashindano ya cafcl & cafcc kwa msimu huu. Kwa upande wa cafcl kutakua na pot's 4 , :- pot 1 ;-Al ahly{Egypt}...
  16. one wisow

    YANGA NDO TIMU ILIOINGIA MAKUNDI KIBABE CAFCL MSIMU HUU

    Msimu huu yanga ndo time pekee iliyoingia makundi kibabe na kuionyesha Africa kuwa hakuna mpinzani atakayeweza kuzuia yanga mwaka huu
  17. anoldmedia

    CAFCL 24/25 YANGA 🆚️ CBE

    Ligi Ya mabingwa Barani Africa kuendelea Leo Tena ambapo Wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye michuano hiyo YANGA SC watashuka dimbani majira Ya saa 2 usiku dhidi ya CBE ya Ethiopia. Mkondo wa kwanza ulimalizika kwa Yanga sc kushinda Goli 1 ambalo lilifungwa na Prince Dube⚽️
  18. kiwatengu

    FT: Young Africans SC 6-0 CBE SA | CAFCL | 2nd Preliminary round | 2nd Leg | Amani Stadium | 21-09-204

    Match Day CAF Champion League Young Africans SC VS CBE SA 2nd Preliminary round 2nd Leg Stadium: New Amani Stadium Zanzibar Date: 21-09-204 Time 8:30pm EAT Soma Pia: FT: CBE SA 0-1 Yanga SC |CAF CL | Second preliminary round Leg 1 of 2 | Abebe Bikila Stadium | 14.09.2024...
  19. Waufukweni

    CAFCL | Kikosi cha Yanga SC kinachoanza dhidi ya CBE SA FC

    Kikosi cha Yanga SC kitashuka uwanjani kupambana na CBE SA FC katika mechi ya mkondo wa kwanza wa raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League 2024/2025) leo, Jumamosi, Septemba 14, 2024. Mchezo huu utaanza kuanzia Saa 9:00 alasiri. Macho ya Watanzania yataelekezwa jijini...
  20. R

    Gor Mahia FC Vs Al Ahly FC : CAFCL | Football Torturing.

    Nimepitia highlight ya game ya Gor Mahia vs El merreik ya South Sudan. Wakenya walishinda 5-1, wakafuzu kwa hatua ya pili ya mtoano ili waweze kuingia makundi. Wanakutana na bingwa mtetezi na Bingwa mara nyingi zaidi katika CAFCL Al Ahly. Ukiwatazama namna hawa wakenya wanavyocheza unaona...
Back
Top Bottom