chama tawala

  1. G Sam

    Kitendo cha jeshi la Polisi kukamata wapinzani kwa kuwadhalilisha na kuacha chama tawala na mawakala wao wakitamalaki ni cha kipuuzi!

    Jeshi la Polisi linafanya upuuzi kukamata viongozi na wafuasi wa vyama vya upinzani na kuacha wale wa chama tawala na mawakala wao. Kitendo hiki kinadhihirisha jinsi vyombo vya dola vinavyotumika kwa maslahi ya kuhakikisha chama tawala kinapata kwa ukamilifu kile kinachokitaka kwa nguvu. Kwenye...
  2. beth

    Burundi: Tume ya Uchaguzi yamtangaza Evariste Ndayishimiye kama mshindi wa urais

    Tume ya uchaguzi nchini Burundi imemtangaza mgombea wa chama tawala Evariste Ndayishimiye kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika juma lililopita. Jenerali mstaafu ameshinda kwa 68.72% ya kura zilizopigwa, wakati Agathon Rwasa, kutoka chama kikuu cha upinzani akipata 24.19% ,matokeo...
  3. Chagu wa Malunde

    Kwanini Tanzania hakuna daily briefing juu ya Corona virus pandemic?

    Nauliza hili swali sababu kama wananchi tunataka kufahamu ukweli juu ya hili janga. Tunataka waziri wa afya, au msemaji mkuu wa serikali kila siku awe anatoa taarifa zilizo rasmi. Mbona nchi za wenzetu ambazo zimekumbwa na hili janga kila siku lazima watoe taarifa rasmi kuhusu...
  4. Analogia Malenga

    Korea Kusini: Chama tawala chashinda uchaguzi tena

    Tume ya uchaguzi ya Korea Kusini imetangaza kuwa chama Rais Moon Jae, Democratic Party kimepata viti 180 kati ya viti 300 kwenye bunge, upinzani, United Future Party wamepata viti 103 Huu umekuwa ni ushindi wa 66.2% zaidi ya chaguzi zote za bunge tangu mwaka 1992. Miezi kadhaa iliyopita Rais...
  5. Chagu wa Malunde

    Uchaguzi 2020 Chadema imekosa ajenda za msingi ya kupambana na chama tawala!

    Inashangaza sana na inatia huruma, dunia nzima ipo katika wimbi zito la kupambana na ugonjwa wa Covid-19. Ugonjwa ambao umeua watu zaidi ya laki moja dunia nzima. Wanasiasa na wafuasi wa Chadema wanakesha mitandaoni kuiombea vibaya nchi yao ipate maambukizi ili chama tawala kionekane...
  6. S

    Mtazamo: Poor handling ya COVID-19 katika nchi fulani inaweza kuja kupelekea anguko kubwa la chama tawala katika Taifa hilo

    Kuna nchi moja (jina kapuni), viongozi wake wanaonekana kutokuwa serious kiasi cha kutosha katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona kama ilivyo katika mataifa mengine duniani zikiwemo hata nchi zinazolizunguka Taifa hilo. Inaonekana hata hatua wanazochukua ni mradi na wao waonekane...
  7. technically

    CCM Mwisho wake kuwepo kama chama tawala ni 2020

    Sitaki kusema mengi kwanini kinaenda kufa ila hoja kubwa ni toka baba wa taifa afariki CCM kimekuwa kikitawala kwa ujanja ujanja na propaganda Kikubwa zaidi hawamu ya 5 imekizika kwa kupuuza wananchi wanataka nini kiufupi CCM haifanyii kazi matakwa ya watanzania walio wengi ili swala linaenda...
  8. F

    Rangi za asili za nembo ya taifa zinabadilishwa kufanana na za chama tawala?

    Kila anayefuatilia historia ya nchi hii na kujua maana ya rangi na alama mbalimbali atagundua kuwa baada ya kuondoa Kwa Mwalimu Nyerere, Muasisi wa Taifa hili, walioachiwa nchi chini ya CCM wanafanya kila kinachowezekana kulazimisha watu wote waone "CCM is synonymous to Government". Kuna vitu...
  9. Nzi ni nyuki mjinga

    Chama tawala dhidi ya akili za wapinzani

    Nimekuwa nikipitia na kuchunguza siasa za nchi yetu na nasikitika kusema kuwa hapa JF, home of great thinkers kuna wakosoaji na wapinzani mahiri sana wa utawala wa chama tawala lakini ni wakosoaji wasiobadilika, wamekuwa kama watoto wa kambo na msemo wa baba/mama angekuwepo tusingekuwa na maisha...
  10. Nyendo

    Sudan yakifuta chama tawala cha Al-Bashir, hii ina maana gani?

    Sheria imepitishwa nchini Sudan ya kuvunja chama cha rais aliyeng'olewa madarakani Omar al-Bashir. Bwana Bashir alichukua mamlaka 1989 kwa mapinduzi na kuliongoza taifa hilo kwa takriban miongo mitatu, hadi alipoondolewa kwa vuguvugu la maandamano ya upinzani mwezi Aprili. Mamlaka inayoongoza...
  11. NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

    Dhamira ya kuua upinzani ni kwa faida ya Chama Tawala au Ubinafsi wa mtu mmoja?

    Wanabodi za asubuhi!naenda moja kwa moja kwenye mada. Kwa wale makomredi wa chama tawala naombeni ufafanuzi wenu kuhusu lengo la kuua upinzani nchini linaisaidiaje CCM kama chama tawala? Upinzani si ndio kioo? kama kwa miaka mingi upinzani umekuja na ajenda nyingi za wananchi ambazo serekali...
  12. J

    Rais Magufuli akutana na viongozi wa chama tawala cha China Ikulu

    Rais Magufuli ambaye pia ni mwenyekiti wa chama tawala CCM amekutana na viongozi wa chama tawala cha kikomunisti cha China. Viongozi hao kutoka China wamempongeza Rais Magufuli kwa namna CCM inavyoongoza kwa ufasaha serikali zake mbili ya Muungano na ya Zanzibar. Source Eatv habari!
  13. n00b

    Kutoka Bungeni: Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa wapitishwa kuwa Sheria

    Spika Ndugai ameipongeza Serikali kwa kazi nzuri na Muswada umepita kwa kura za Ndiyo ====== BAADHI YA NUKUU (KUTOKA UPINZANI) Kambi ya rasmi ya upinzani bungeni imekosoa muswada wa marekebisho ya sheria ya vyama vya siasa wa mwaka 2018 ikisema ni uonevu mkubwa dhidi ya vyama hivyo...
Back
Top Bottom