Tume ya uchaguzi ya Korea Kusini imetangaza kuwa chama Rais Moon Jae, Democratic Party kimepata viti 180 kati ya viti 300 kwenye bunge, upinzani, United Future Party wamepata viti 103
Huu umekuwa ni ushindi wa 66.2% zaidi ya chaguzi zote za bunge tangu mwaka 1992. Miezi kadhaa iliyopita Rais...