Katika familia, gharama hazipo kwenye kuzaa tu; bali gharama zipo kwenye malezi.
Na kwa mazingira ya sasa, unaweza kuta kijana ana miaka zaidi ya 30, lakini bado anaishi kwao, huku akiendelea kuwapa mzigo mzito wazazi wake.
Kwa nini nasema wewe ndio chanzo cha umasikini wa kwenu; ni kwa...