Wakuu habari na pole na majukumu kwa mara nyingine tena narudi kwenu kwa mafundi na wajuzi wa IT.
Nna simu aina ya redmi note5 chinese rom yenye android ver.9 muiu10, iyo simu nlirestore kwa bahati mbaya na password za account ya mi cloud nimezisahau na pia namba ya simu nlotumia kutengenezea...
Habari wakuu!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji kununua simu ila sijajua ni brand gani kati ya Samsung, Nokia au Infinix
Nahitaji simu yenye sifa hizi:
- Processor - snapdragon 630
- Ram 4, CPU 32 GB
- Kioo supergorrila 3
- Battery 4000 mAh
- Camera 16 mp
- Na vitu vingine kama...
Wakuu, habari ya wakati huu! Nimeapply formula ya Concatinate nikaweka semi colon kama alama ya kuseparate data ambazo zimekuwa combined.
Yaani =CONCA(A4,";"B4,";",C4,";",D4).
Nimefanikiwa ila baadhi ya cell zipo blank nataka cell zilizo blank semi colon isitokee, msaada tafadhali. Maama semi...
Wakuu salamu zenu katika ubora.
Samahani nlitaka kuulizia sifa na ubora aa simu za OPPO. Nina 250,000 so naomba ushauri, na hapa Dar es salaam-Kariakoo dealers wanapatikana wapi.
Sifa zihusishe proccesor, battery, storage, camera, face detector, android version, RAM na mengineyo mnayoyajua...
Habari wana JF poleni na kazi na majukumu mbalimbali,
Bila kuwachosha niende moja kwa moja kwenye swali langu, ni kwanini fingerprint scanner kwenye simu janja baada ya kuscan upande mmoja wa kiganja either cha kushoto au cha kulia (mfano nimetumia cha kulia) kwa nini nkitumia mkono mwingine...
Habar wanajukwaa
Simu yang samsung j7pro inatatzo la network kua chini km nitafungua data na kumtumia mtu chat kw whatsapp huchukua had dakika moja bado haijaweka tick.
Pia sometime nikipigiwa hua haipatikani
Naomba msaada wenu wakuu natanguliza shukran
Habari ya jioni wakuu,kuna smart TV inakama wiki inasumbua kuwaka kwa njia ya umeme wakawaida,ilianza ukiiwasha inatokea logo ila rangi ya screen inafifia kama vile umeme ni mdogo kisha baada ya sekunde kama 30 hivi mwanga mweupe unatokea kisha inaanza kuonyesha picha vizuri tu inatilia.Ila leo...
Habari za muda huu wanajamvi, hope mko poa.
Simu yangu aina ya Samsung galaxy ukiplay video au audio hata radio inaplay sekunde kadhaa halafau inapause yenyewe sijui shida ni nini wadau?
Ninatumia VLC na tunewiki kuplay.
Msaada wenu wadau
Nimehangaika sana na hii ishu kwa leo,
kuna website ya vichekesho inaitwa ackyshar.com
shida yangu ninachotaka ni scrape i links za directoriy ya vichekesho
vichelesho vipo kwenye directory hii
"www.ackyshine.com/vichekesho"
links zake ni kama
"www.ackyshine.com/vichekesho:ajira-ngumu"...
JINSI YA KUBADILISHA LOGO YA WINDOWS 7 na KUWEKA PICHA YAKO pindi tu PALE PC YAKO INAPOANZA KUWAKA au KUZIMA.
1 - Bonyeza WINDOWS KEY + R kufungua CHECK BOX.
2 - Katika hiyo CHECK BOX andika REGEDIT then OK.
3 - Sasa nenda ktk "[HKEY_LOCAL_MA
CHINE\software\microsoft\windows\ currentVersion\...
Kwa wapenzi wa games kwa kutumia Simu(Android)
Sasa katika kudownload apk baadhi ya games unakutana na Kitu Kama hiki
(Game size:95mb+1042mb)
Je hakuna namna ya kufanya I'll baada ya kudownload hizo 95mb uweze kucheza game bila hizo 1042mb?????
Nawasilisha
Habari za humu wakuu!
Naomba kufunzwa namna haya mafile yanavyo funguliwa mpaka kuwa website kabisa, maana nime furukuta nimeshindwa, naomba step by step nielekezwe aise.
File lenyewe kama hili hapa Drcare.zip
Asantaneni sana
Jamani mimi nina laptop yangu kuna tatizo limejitokeza katika laptop hilo tatizo ni juzi kati hapa nilikua nacheza gemu ikaanza kwenda slow na gemu ilikuwa inacheza vizuri tu NAOMBENI MSAADA JUU YA TATIZO HILI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.