china na afrika

Vaccination policy is the health policy a government adopts in relation to vaccination. Vaccination policies have been developed over the approximately two centuries since the invention of vaccination with the purpose of eradicating disease from, or creating a herd immunity for, the population the government aims to protect. Vaccination advisory committees within each country are usually responsible for providing information to governments that is used to make evidence-based decisions regarding vaccine and immunization policy.
Vaccinations are voluntary in some countries and mandatory in others, with mandatory vaccination policies sometimes leading to opposition. Some governments pay for all or part of the costs of vaccinations in a national vaccination schedule. Cost-benefit analyses of vaccinations have shown that there is an economic incentive to implement vaccination policies as vaccinations can save a significant number of lives and costs.
Generally, vaccine supply is highly regulated by local government. Also, because of the large cost of developing a vaccine, the prices of vaccines are mostly high. Therefore, vaccine policy is effected by regulations and competition.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    Mawasiliano kati ya watu wa China na Afrika ni ufunguo wa kufikia mustakabali wa pamoja

    Mawasiliano kati ya watu wa China na Afrika ni ufunguo wa kufikia mustakabali wa pamoja NA BRYAN OTIENO Kuna methali moja nchini Afrika Kusini, “Mto ukiwa na kina kirefu kuna chanzo cha maji”. Mazungumzo ya kirafiki kati ya China na Afrika yana historia ndefu. Katika miaka ya 1950 na 1960...
  2. L

    Ushirikiano kati ya China na Afrika kwenye sekta ya anga ya juu wapiga hatua mpya

    Mwezi Septemba vijana katika sehemu mbalimbali za Afrika, walifanikiwa kufanya jambo ambalo hawakuwahi kufikiria hata siku moja, kuwasiliana moja kwa moja na wanasayansi wa China walio kwenye kituo cha anga ya juu cha China. Mbali na kustaajabu kuwasiliana na watu walio kwenye anga ya juu...
  3. L

    Ushirikiano wa kilimo kati ya China na Afrika umeibua fursa nyingi na kuleta ushindi kwa pande zote mbili

    Sekta ya kilimo katika bara la Afrika ni muhimu sana na inapaswa kupewa kipaumbile zaidi kwani kwa hivi sasa imekuwa ikiendelea kukua na kuleta mabadiliko mengi ya kiuchumi. Sekta hii ndio inashikilia ufunguo wa siri za mafanikio ya kuondoa uhaba wa chakula, kuleta usalama wa chakula na...
  4. L

    Taasisi za washauri bingwa wa China na Afrika ni muhimu katika kutoa mapendekezo ya maeneo ya ushirikiano kati ya China na Afrika

    Kuanzia tarehe 20 -21 Mwezi Julai, Mkutano wa 11 wa jumuiya za washauri bingwa kati ya China na Afrika ulifanyika hapa Beijing. Mkutano huo uliwakutanisha mabalozi, maofisa waandamizi wastaafu, maprofesa wa vyuo na taasisi za utafiti wa mambo ya Afrika za China na nchi za Afrika, pamoja na...
  5. L

    Ushirikiano kati ya China na Afrika unawasaidia watu wa Afrika kukabiliana na changamoto zao za kimaisha

    Fadhili Mpunji Ushirikiano kati ya China na nchi za Afrika kwenye sekta ya ujenzi wa miundo mbinu unaendelea kuleta manufaa kwa nchi mbalimbali, na katika siku za hivi karibuni kumekuwa na ushahidi na mifano mingine inaoonesha kuwa, ushirikiano huo sio tu umekuwa ni wa kunufaishana, bali pia...
  6. L

    China na Afrika zaimarisha ushirikiano katika sekta ya anga ya juu

    Juu ya Mlima Entoto, ulioko takriban kilomita 20 kaskazini mwa mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa, Kituo cha Utafiti wa Anga ya Juu cha Entoto kinavutia macho sana. Mafundi wa China na Ethiopia wanaovalia sare wanarekodi data iliyorejeshwa na satilaiti ya kwanza ya Ethiopia ETRSS. Satelaiti hiyo...
  7. L

    Hainan – moja ya maeneo mapya yenye motomoto ya ushirikiano wa sayansi ya kilimo kati ya China na Afrika

    Kisiwa cha Hainan hakifahamiki kwa waafrika wengi, kama ilivyo miji mingine ya China kama vile Beijing, Shanghai au Guangzhou, lakini inaaminika kuwa katika siku za usoni, kisiwa hiki kitakuwa moja ya maeneo mapya yenye motomoto ya ushirikiano kati ya China na Afrika, haswa katika sekta ya...
  8. L

    China na Afrika zikishirikiana vizuri kwenye kilimo zinaweza kuondoa baa la njaa Afrika

    Pili Mwinyi Bara la Afrika, ambalo lina watu zaidi ya bilioni 1.3, hivi sasa linakabiliwa na mtihani mkubwa wa baa la njaa. Mbali na sababu nyingine nyingi zikiwemo ugaidi na vita vya wenyewe kwa wenyewe, baa la njaa pia linatokana na ukosefu wa mvua unaopelekea ukame na hatimaye kuwa na uhaba...
  9. L

    Je, mawasiliano mfululizo kati ya China na Afrika yana uhusiano na mgogoro wa Ukraine?

    Je, mawasiliano mfululizo kati ya China na Afrika yana uhusiano na mgogoro wa Ukraine? Hivi karibuni, wakati macho ya watu wengi yanaelekezwa kwenye mgogoro wa Ukraine, mawasiliano ya ngazi ya juu kati ya China na Afrika pia yamekuwa ya mara kwa mara. Sadfa hiyo imetafsiriwa na baadhi ya watu...
  10. L

    Uchumi wa nchi nyingi za Afrika utaendelea kukua kutokana na kuimarika kwa biashara kati ya China na Afrika

    Fadhili Mpunji Kila mkutano wa bunge la umma la China unapomalizika, utekelezaji wa mipango mipya ya serikali ya China huwa unaanza. Pamoja na kuwa mambo mengi yanayojadiliwa ni mambo ya ndani, mambo hayo pia huwa yanahusiana moja kwa moja na nchi za nje na yanahusu sera ya kidiplomasia ya...
  11. L

    China na Afrika zinaungana mikono kuonesha moyo wa mshikamano na kujiendeleza

    Rais Xi Jinping wa China hivi karibuni aliutumia barua mkutano wa 35 wa wakuu wa Umoja wa Afrika, akipongeza moyo wa mshikamano na kujiendeleza ulioonyeshwa na nchi za Afrika chini ya uongozi wa Umoja wa Afrika, pamoja na juhudi zao zisizo na ukomo za kujitafutia njia za maendeleo zinazolingana...
  12. L

    Usalama, ufunguo mpya wa ushirikiano kati ya China na Afrika

    Mwanzoni mwa mwaka mpya, waziri wa mambo ya nje wa China Bw. Wang Yi alipendekeza "Mpango wa Maendeleo ya Amani katika Pembe ya Afrika" wakati wa ziara yake katika nchi tatu za Afrika, na kutangaza kumteua mjumbe maalum ili kuonesha jukumu kubwa zaidi la China katika kukuza amani katika eneo...
  13. L

    (Mfululizo wa FOCAC Dakar) Fursa Mpya za Ushirikiano kati ya China na Afrika (3): China kusaidia Afrika kufanikisha mabadiliko ya nishati ya kijani

    Mradi wa kuzalisha umeme kwa jua uliowekezwa na Mfuko wa Maendeleo wa China na Afrika nchini Afrika Kusini Katika miaka ya hivi karibuni, athari mbaya za mabadiliko ya tabia nchi katika bara la Afrika zinaongezeka siku hadi siku, na kuwa “mwuaji asiyeonekana” wa kundi la wanyonge. Kwa mujibu wa...
  14. L

    ( Mkutano wa FOCAC Dakar) Fursa Mpya za Ushirikiano kati ya China na Afrika (2): uchumi wa kidigitali watazamiwa kuwa sekta mpya ya kuvutia

    Kampuni ya China Telecom inasaidia utoaji elimu kwenye mtandao wa internet kupitia mikonga ya mawasiliano iliyojenga barani Afrika Hivi sasa, uchumi wa kidigitali umetajwa na nchi nyingi za Afrika kama sekta muhimu ya kufufua uchumi, kutafuta maendeleo ya ubunifu na kuboresha maisha ya watu...
  15. L

    (Mkutano wa FOCAC wa Dakar) Fursa Mpya za Ushirikiano kati ya China na Afrika (1): afya, uchumi wa kidigitali na maendeleo ya kijani

    Mkutano wa 8 wa mawaziri wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika FOCAC ulifanyika tarehe 29 na 30 mjini Dakar, Senegal. Rais Xi Jinping wa China hapa Beijing amehudhuria ufunguzi wa mkutano huo kwa njia ya video na kutoa hotuba akisema, China na Afrika zimetoa mfano wa kuigwa katika...
  16. L

    China na Afrika kutotenganishwa kutokana na mshikamano na ushirikiano wao mzuri

    Hivi karibuni waziri wa mambo ya nje wa Marekani Anthony Blinken alitembelea nchi tatu za Afrika, Kenya, Nigeria na Senegal. Katika ziara hiyo, alijaribu tena kuichafua matope China ili kuimarisha ushawishi wa Marekani barani Afrika, lakini China na Afrika haziwezi kutenganishwa kutokana na...
  17. L

    Juhudi za miaka 100 za CPC zina maana gani kwa nchi za Afrika?

    Baada ya kuwa madarakani kwa miaka sabini na mbili, sasa Chama cha Kikomunisti cha China CPC kinaongoza nchi ya pili kwa nguvu ya uchumi duniani. Kikao cha 6 cha wajumbe wote cha Kamati Kuu ya 19 ya CPC kilichomalizika hivi karibuni, kimejumuisha jinsi kilivyoiongoza China kupata maendeleo ya...
  18. L

    Utoaji bora wa huduma za kifedha utahimiza ushirikiano wa kibiashara kati ya China na Afrika

    Na Kelly Ogome China ni mshirika mkubwa wa kibiashara na kimaendeleo wa nchi za Afrika. Pande hizi mbili zina uwezo mkubwa wa ushirikiano katika nyanja za miundombinu, uchumi wa kidijitali na huduma za kifedha. Takwimu iliyotolewa na serikali ya China inaonyesha kuwa, kuanzia Januari hadi...
  19. L

    China na Afrika zikiendelea kuuenzi uhusiano wao ustawi, kuna wale wanaozusha vijineno vya chini chini vya kutaka kuusambaratisha

    Na Pili Mwinyi Ingawa uhusiano wa kidiplomasia kati ya China na Afrika ulianzishwa katikati ya miaka ya 50, lakini hivi sasa uhusiano huu unaendelea kukua na kustawi na umekuwa ukiimarishwa siku hadi siku, ambapo pande zote mbili zinaungana mkono kwenye masuala mbalimbali. Hata hivyo kuna wale...
  20. L

    Kwanini jaribio la kuharibu uhusiano kati ya China na Afrika lashindwa?

    Vyombo vya habari vya Zimbabwe vimeripoti kuwa serikali ya Marekani kupitia ubalozi wake nchini humo imewahonga wanahabari wa vyombo binafsi, dola za kimarekani elfu moja ili kuandika makala moja ya kuchafua sura ya kampuni za China nchini Zimbabwe. Juu ya yote hayo, maofisa, vyombo vya habari...
Back
Top Bottom