Hawa ni makatibu wakubwa wa vyama viwili vikubwa vya kisiasa nchini,Hawa ni wabeba maono na wasimamizi wakuu wa mwendo wote wa kisiasa ndani ya vyama vyao.
Tangu wateuliwa ni kama wamepigwa ganzi,speed yao ni mwendo wa kobe.
Il nimewaza tu,kweli hizi nafasi wamepewa KWA uwezo wa kuzitumikia au...