christmas

  1. E

    Krismasi ya leo ni tulivu haina mbwembwe wala madoido

    Nimeamini pesa ndio chanzo cha maovu yte duniani Sijawahi kuona CHRISTMAS tulivu kama ya leo. Christimas ya leo nitulivu haina mbwembwe wala madoido. Mitaa imejaa bodaboda wanaosubiri wateja. Ma- guest yapo wazi, mabaa yanapiga mziki kuita watu lkn ukiingia unakuta peupe. Leo makanisa...
  2. X

    VIMBWANGA MATUKIO CHRISTMAS NA MWAKA MPYA

    Kuachana na kusherekea sikukuu hizi kwa kupata burudani mwanana Pia tuna ndugu zetu wa kidigital hutufurahisha sisi tuliokosa location Nabandika vimbwanga vyangu nilivyoshuhudia hapa duniani mwaka huu nawe bandika vyako :D:Dtamka neno moja la kijasiri :D Mubashara
  3. S

    Dkt. Magufuli alipokuwa Waziri, aliwahi kukusanya sadaka Kanisani kama alivyofanya leo katika Ibada ya Christmas?

    Kuna clip inatembea mitandaoni(nimeiona twitter) ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo. Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu, aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani? Ni matarajio yangu...
  4. Barbarosa

    President Trump and beautiful first lady Christmas message !

    Hata mimi siku hizi Demu wangu namshika mkono kama Trump !
  5. Erythrocyte

    Uchaguzi 2020 Tundu Lissu na Salamu za Krismas: Mwaka 2020 ulikuwa mwaka mgumu na wenye machungu mengi kwa nchi na wananchi wetu

    Sasa ni dhahiri Tundu Lissu ni Mcha Mungu. ========== TUNDU LISSU: Ndugu wananchi wa Tanzania, tumsifu Yesu Kristo, Bwana asifiwe, mwanakondoo ameshinda, Assalam Aleykum Warahmatullah Wabarakatuh. Kesho ni sikukuu ya Noeli kwa wale wote wanaoamini katika dini ya Ukristo. Kwa wakristo wote...
  6. Sherlock

    SGR fully booked till 3rd January as air fares rise ahead of Christmas

    The Standard Gauge Railway (SGR) passenger train service from Nairobi to Mombasa is fully booked until December 27, 2020 as travelers flock the coastal city to enjoy the festivities. Bus operators are also fully booked with some increasing their operations upwards of 75 buses daily to meet the...
  7. J

    Nawatakia CHADEMA Christmas yenye baraka

    Kwenu Daudi Mchambuzi, Mrangi, Tindo, Salary slip, BAK, Chakaza, Mmawia Quinine, Molemo na Erythrocyte Nk....Nk. Ninawatakieni Christmas yenye baraka tele, kama kawaida mimi nitakuwa Useri kwa minajili ya kufunga mwaka. Bwashee erythrocyte wasalimie hapo Kyela akina mh Kinanasi na wengine...
  8. Kasie

    Christmas 🎄 Love 💖Byte 💋

    Habariza kuamka, Natumai nyote hamjambo, ule msimu wa maraha umewadia. Kasie Mahaba nalipelekesha gurudumu la Mahaba mpaka mahaba yaseme imetosha. Niko zangu kwenye kochi nimevaa kiblauzi bila sidiria na kikaptula matirio ya T-shirt, nimejikunyata joto kali kiasi upepo mtulivu kwa mbali hewa...
  9. Chakorii

    Naanza kupokea zawadi na mialiko ya Christmas mapema

    Natumai usiku wenu kwa sasa ni mzuri,wengine wanafanya maandalizi ya kupiga game ili Walale wakiwa wamekumbatiana..😊😊wengine haijulikabmni kama wako kitandani au uwanja wa mpira maana kila mtu kageukia upande wa dunia yake visirani na gubu vimetamalaki😁😁..wengine ndo kama sisi tu naona...
  10. T

    Christmas bado siku 23

    Yewomi eeeeh, yewomi eeeeh, yewomi eeeeh Christmas cha mshikha. Wachaga tutafute hela aisee muda wa kurudi kwetu umefika, nyama choma na bia lazima viwepo.
  11. Mshana Jr

    Flora Mbutananga spates na mkasa wa kuibiwa Christmas 2019 kisa ahadi ya engagement

    Come easy go easy..... Hakuna mapenzi mpaka kufikia kuvishana pete ndani ya masaa 48 tangu kufahamiana... Hapo lazima mmoja apigwe Wabongo muvi.. Mungu anawaona na ndio maana hata tasnia yenu hii inaelekea kaburini.. Kwasababu ya wizi, uongo utapeli na kudanga... Chanzo cha yote haya ni kutaka...
  12. Avriel

    Mbunge Lameck Airo agawa pipi na bazoka kwa wagonjwa wodini

    Video fupi ikumuonyesha mbunge Wa Rorya ndugu Lameck Airo ( Lakairo) akigawa jojo na pipi kwa wagonjwa. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. R

    Jana Christmas 25/12/2019 wewe hukwenda kanisani, kulikoni?

    Naona hukwenda kanisani na wewe unampenda Yesu. Sijasikia mahali popote kuwa umekwenda Kanisani jana, kulikoni? Leo nenda kaombe na kamshukuru Mungu akubadilishe uwe kiumbe kipya kiroho!
  14. Analogia Malenga

    Mzee aiba pesa na kuzitoa kama zawadi akisema 'Merry Christmas'

    Bwana mmoja mwenye ndevu nyeupe alifanya uvamizi wa benki siku mbili kabla ya Krismasi na kuzirusha juu kwa furaha na kuwatakia kheri ya siku kuu wapita njia, mashuhuda wameeleza. Polisi wamethibitisha "mwanaume mzee wa kizungu" alivamia benki ya Academy mjini Colorado Springs, Marekani siku ya...
  15. M

    Christmas Celebration

    Abrahamic / Middle Eastern Christianity Why Do We Celebrate Christmas? History and Controversy Surrounding the Celebration of Christmas Why Do We Celebrate Christmas? When was the Savior's real birthday? Was Jesus born on December 25? Since the Bible doesn't tell us to commemorate Christ's...
  16. Erythrocyte

    Msimamo: Sitashiriki Misa ya Christmas kwenye kanisa ninalolishiriki miaka yote kwa vile halipigi vita utekaji

    Baada ya kutafakari kwa muda mfupi nimefikia hitimisho kwamba kuanzia leo sitashiriki ibada zote kwenye kanisa ninaloshiriki siku zote na nililozoeleka kuabudu baada ya kanisa hilo kufumbia macho utekaji unaofanywa nchini mwetu. Kanisa hili ni miongoni mwa makanisa ambayo watuhumiwa wa utekaji...
  17. bahati93

    Wayahudi wakwepa kero kwao msimu wa Christmas waja Tanzania

    World citizen good morning, Kuna ugeni mkubwa wa watalili kutoka Israel umeingia bongo land ni taarifa nimepata hivi karibuni, nadhani wengi watakuwa wanakerwa na sherehe ya Christmas huko kwao wakaona isiwe tabu ngoja tuwapishe mkimaliza tutarudi, kutokana na Watanzania wengi kutokujua...
  18. MIXOLOGIST

    Nawatakieni wote heri ya sikukuu za Noel (Christmas) na Mwaka Mpya

    Habari za asubuhi wakuu, Kwa niaba yangu mimi mwenyewe nawatakieni wote heri ya hizi sikukuu mbili kubwa christmas and newyear. Mungu awape yale mnayoyatamani na awafanyie wepesi katika magumu yenu. Nawasilisha.
  19. Sky Eclat

    Brad Pitt and Jennifer Aniston prove they’re friendly exes as actor attends her Christmas party 15 years after split

    BRAD Pitt and Jennifer Aniston prove they’re still friendly exes as the actor attended her Christmas party – nearly 15 years after their split. The former couple devastated fans back in January 2005 when they announced their separation after almost five years of marriage. But over the weekend...
  20. Sky Eclat

    Merry Christmas 2019 everyone

Back
Top Bottom