Nimeamini pesa ndio chanzo cha maovu yte duniani
Sijawahi kuona CHRISTMAS tulivu kama ya leo.
Christimas ya leo nitulivu haina mbwembwe wala madoido.
Mitaa imejaa bodaboda wanaosubiri wateja.
Ma- guest yapo wazi, mabaa yanapiga mziki kuita watu lkn ukiingia unakuta peupe.
Leo makanisa...
Kuachana na kusherekea sikukuu hizi kwa kupata burudani mwanana Pia tuna ndugu zetu wa kidigital hutufurahisha sisi tuliokosa location
Nabandika vimbwanga vyangu nilivyoshuhudia hapa duniani mwaka huu nawe bandika vyako
:D:Dtamka neno moja la kijasiri
:D Mubashara
Kuna clip inatembea mitandaoni(nimeiona twitter) ikimuonyesha Magufuli akikkusanya sadaka kanisani katika ibada ya Christmas ya siku ya leo.
Ni jambo jema kabisa, lakini swali ni je,alipokuwa Waziri au wakati akiwa mwalimu, aliwahi fanya hiki alichokifanya leo hii kanisani?
Ni matarajio yangu...
Sasa ni dhahiri Tundu Lissu ni Mcha Mungu.
==========
TUNDU LISSU: Ndugu wananchi wa Tanzania, tumsifu Yesu Kristo, Bwana asifiwe, mwanakondoo ameshinda, Assalam Aleykum Warahmatullah Wabarakatuh. Kesho ni sikukuu ya Noeli kwa wale wote wanaoamini katika dini ya Ukristo.
Kwa wakristo wote...
The Standard Gauge Railway (SGR) passenger train service from Nairobi to Mombasa is fully booked until December 27, 2020 as travelers flock the coastal city to enjoy the festivities.
Bus operators are also fully booked with some increasing their operations upwards of 75 buses daily to meet the...
Kwenu Daudi Mchambuzi, Mrangi, Tindo, Salary slip, BAK, Chakaza, Mmawia Quinine, Molemo na Erythrocyte Nk....Nk.
Ninawatakieni Christmas yenye baraka tele, kama kawaida mimi nitakuwa Useri kwa minajili ya kufunga mwaka.
Bwashee erythrocyte wasalimie hapo Kyela akina mh Kinanasi na wengine...
Habariza kuamka,
Natumai nyote hamjambo, ule msimu wa maraha umewadia.
Kasie Mahaba nalipelekesha gurudumu la Mahaba mpaka mahaba yaseme imetosha.
Niko zangu kwenye kochi nimevaa kiblauzi bila sidiria na kikaptula matirio ya T-shirt, nimejikunyata joto kali kiasi upepo mtulivu kwa mbali hewa...
Natumai usiku wenu kwa sasa ni mzuri,wengine wanafanya maandalizi ya kupiga game ili Walale wakiwa wamekumbatiana..😊😊wengine haijulikabmni kama wako kitandani au uwanja wa mpira maana kila mtu kageukia upande wa dunia yake visirani na gubu vimetamalaki😁😁..wengine ndo kama sisi tu naona...
Yewomi eeeeh, yewomi eeeeh, yewomi eeeeh Christmas cha mshikha. Wachaga tutafute hela aisee muda wa kurudi kwetu umefika, nyama choma na bia lazima viwepo.
Come easy go easy..... Hakuna mapenzi mpaka kufikia kuvishana pete ndani ya masaa 48 tangu kufahamiana... Hapo lazima mmoja apigwe
Wabongo muvi.. Mungu anawaona na ndio maana hata tasnia yenu hii inaelekea kaburini.. Kwasababu ya wizi, uongo utapeli na kudanga... Chanzo cha yote haya ni kutaka...
Naona hukwenda kanisani na wewe unampenda Yesu. Sijasikia mahali popote kuwa umekwenda Kanisani jana, kulikoni?
Leo nenda kaombe na kamshukuru Mungu akubadilishe uwe kiumbe kipya kiroho!
Bwana mmoja mwenye ndevu nyeupe alifanya uvamizi wa benki siku mbili kabla ya Krismasi na kuzirusha juu kwa furaha na kuwatakia kheri ya siku kuu wapita njia, mashuhuda wameeleza.
Polisi wamethibitisha "mwanaume mzee wa kizungu" alivamia benki ya Academy mjini Colorado Springs, Marekani siku ya...
Abrahamic / Middle Eastern Christianity
Why Do We Celebrate Christmas?
History and Controversy Surrounding the Celebration of Christmas
Why Do We Celebrate Christmas?
When was the Savior's real birthday? Was Jesus born on December 25? Since the Bible doesn't tell us to commemorate Christ's...
Baada ya kutafakari kwa muda mfupi nimefikia hitimisho kwamba kuanzia leo sitashiriki ibada zote kwenye kanisa ninaloshiriki siku zote na nililozoeleka kuabudu baada ya kanisa hilo kufumbia macho utekaji unaofanywa nchini mwetu.
Kanisa hili ni miongoni mwa makanisa ambayo watuhumiwa wa utekaji...
World citizen good morning,
Kuna ugeni mkubwa wa watalili kutoka Israel umeingia bongo land ni taarifa nimepata hivi karibuni, nadhani wengi watakuwa wanakerwa na sherehe ya Christmas huko kwao wakaona isiwe tabu ngoja tuwapishe mkimaliza tutarudi, kutokana na Watanzania wengi kutokujua...
Habari za asubuhi wakuu,
Kwa niaba yangu mimi mwenyewe nawatakieni wote heri ya hizi sikukuu mbili kubwa christmas and newyear. Mungu awape yale mnayoyatamani na awafanyie wepesi katika magumu yenu.
Nawasilisha.
BRAD Pitt and Jennifer Aniston prove they’re still friendly exes as the actor attended her Christmas party – nearly 15 years after their split.
The former couple devastated fans back in January 2005 when they announced their separation after almost five years of marriage.
But over the weekend...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.