Chukwuma Julian "Chuma" Okeke (born August 18, 1998) is an American professional basketball player for the Lakeland Magic of the NBA G League. A power forward, he was drafted 16th overall by the Orlando Magic in the 2019 NBA draft. He played college basketball for the Auburn Tigers.
NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe, amesema kupanda kwa bei ya nondo na misumari kumetokana na uhaba wa chuma ghafi na chakavu ambavyo ndio malighafi inayotumika kutengenezea bidhaa hizo.
Kigahe alibainisha hayo alipozungumza na mwandishi wa habari hizi aliyehoji sababu za...
Natamani kujuzwa juu ya tuzo hizi zinavyotolewa kuanzia za ndani mpaka za kimataifa, kuna wasanii huwa wanafunga safari kwenda kuzifuata kwa gharama kubwa sana na wanaporejea wanatuonyesha zile tuzo ila huwa hawasemi thamani yake au fedha waliyopata kulingana na ushindi huo wa tuzo.
Nataka pia...
Wanabodi,
Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala za Kwa Maslahi ya Taifa, leo ni swali tuu kuhusu hiki Chuma kipya.
Baada ya mtu kupelekewa moto na akaachia ngazi mwenyewe, bado kuna ubishi kuwa hili ingizo jipya ni chuma cha ukweli kama chuma cha Mjerumani?. Je chuma hiki ni chuma...
Habari nina kitanda kipya cha chuma kinauzwa
Kipo moshi , na pia kuna BED SOFA MPYA , valvet , BED BOX , PALLET BED KAMA ZOTE.........OFISI ZETU ZIPO MOSHI......
MAWASILIANO NI. 0672701329
Kuna muda inabidi tuseme ukweli.
Mimi nikiwa maeneo ya Ubungo huwa napenda sana kwenda kunywa bia pale Micassa pub. Lakini ile njia siku za nyuma kuanzia saa 12 na nusu jioni ilikuwa inajaa wadada poa wengi sana hata kabla giza halijaingia. Yaani na kulikuwa na harufu mbaya sana kama ya uozo...
INTRODUCTION...
Za muda Wana JF .......
Unaukumbuka mkasa huu wa John, Michael na Mkewe....
https://www.jamiiforums.com/threads/nikiwaambia-msioe-muwe-mnasikia-kwa-miezi-4-mwamba-kaishi-maisha-magumu-bila-mshahara-kumbe-mkewe-ana-laki-8-ndani-na-usaliti-juu-kaambulia.1925237/
MAIN BODY...
Habari, Jamani naomba msaada wa aina yeyote ile, nimechanganyikiwa sana sana. Niende kwenye mada;
Mimi ni dada ambaye najishughulisha na biashara ya kuuza matunda, sasa basi nimepanga mahala naishi mwenyewe, nina tabia ya kuhifadhi pesa ndani, yaani ule mfumo wa kuweka kwenye kibubu. Yaani...
Ni kitanda gani kizuri na sifa zake nikanunue
Hatimaye kama nilivyonuia kwamba mwezi wa tisa hautaisha bila kuwa na kitanda ni karibia mwaka Sasa mimi na mama mtoto wangu tunatupa godoro yetu chini asanteni
Wote mlionipa matumaini tokea siku ya kwanza nilipolalia mabox
MUNGU ASIFIWEEEE
Upinzani sasa hivi wanasema Samia ameshindwa uongozi na ni kiongozi mbaya kuwahi kutokea.
Yaani ni mbaya kuliko hata Magufuli waliyekuwa wanadai ni kiongozi mbaya zaidi.
Tundu Lissu mara kadhaa amesikika akimsifu Magufuli kwa uzalendo wake na kusema ataenda Chato kumwambia jinsi CCM na...
Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!
Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.
Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na...
Ndugu zangu watanzania,
Ukiwa kiongozi Tanzania hasa ngazi ya Urais inahitaji kifua kipana,moyo mkubwa,moyo wa uvumilivu, upendo, huruma na moyo wa msamaha katika kuwaongoza na kuwatumikia watanzania,kwa kuwa sisi watanzania kwa kiwango kikubwa ni walalamishi, vigeugeu, tunaofanya mambo na kazi...
Klabu ya Simba imethibitisha kukamilisha usajili wa kipa wa kimataifa wa Brazil 🇧🇷 JEFFERSON LUIS kwa Mkataba wa miaka miwili.
. Jefferson (29) maarufu kama Mikono ya Sumaku anatua Simba kushindania namba na Aishi Manula aliye majeruhi.
Hili suala liko wazi kabisa.
100% ya wauza mikaa hawana changamoto ya kuibiwa hela kwa jini wa chuma ulete.
Pesa zote za mauzo zinarushwa kwenye kindoo cha mkaa😅😅 mkaa ambao ndio ume combine miti yote ya dawa tofauti..
#1
Kijana Mdogo Mtanzania mwenye kuipenda nchi yangu,........
Kwanza kabisa nimshukuru allah(Mungu) kwa kunipa nafasi ya kuandika uzi huu huku machozi yananitoka?
-Vita na Migogoro yote duniani ,chanzo ni mali na haki.
*Mfano Dr.Congo chanzo ni Dhahabu,
*Libya-mafuta
*Israel-ardhi...
Kama tunavyofahamu kazi kubwa ya moyo ni kusukuma damu, moyo huu umekua tofauti katika kufanya kazi zake.
Tazama moyo huu umegawanyika katika Makundi makuu mawili, kundi linaloonekana kunawiri na ni kundi ambalo linawavutia watu wengi wautizamao.
Pia lipo kundi ambalo limeweka kutu na...
Duniani hakuna nchi kubwa iliyopuuza uzalishaji wa chuma na ikaendelea. Nchi karibu zote za kiafrika zipo hohehahe sababu mojawapo ni kupuuza uzalishaji wa chuma. Kwa sasa(Pamoja na kusema tupo information age) chuma ndicho engine ya uchumi wa nchi yoyote ile.
Makaburu wa South Africa...
Anaandika, Robert Heriel
Ni Watu wajinga pekee watakaoamini mambo ya Pesa kupotea kimazingara, ati kupotea kichawi! Chuma Ulete!
Yaani ati unaweka Pesa kwenye kibubu labda laki tatu za Kitanzania alafu Baada ya muda ukija kuangalia unakuta elfu hamsini. Huo ni Uongo Mkubwa utakaoaminiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.