chuma

Chukwuma Julian "Chuma" Okeke (born August 18, 1998) is an American professional basketball player for the Lakeland Magic of the NBA G League. A power forward, he was drafted 16th overall by the Orlando Magic in the 2019 NBA draft. He played college basketball for the Auburn Tigers.

View More On Wikipedia.org
  1. Suzy Elias

    Yuda Iskariote chuma kilicho piga pesa ndefu na kumsaliti Yesu

    Yuda a.k.a chuma ndiye mwamba uliyeona pesa ni bora kuliko Yesu. Kabla ya siku ya Alhamis Kuu kama iaminiavyo na Wakristo wengi hapa Duniani chuma kilikuwa kimeshalamba advance yake mapema kabisa na Mafarisayo kama wote mida ya jioni jioni ya Alhamis Kuu ndiwo walikuwa wapambe wake huku...
  2. J

    Kuna hatari ya ukabila inaienyemelea nchi, Rais Samia inabidi aongoze kwa mkono wa chuma kuepeusha hili

    Mimi ni muumini mkubwa wa demokrasia na utawala wa sheria, na ndiyo ni moja ya sababu iliyonifanya kuvutiwa na uongozi wa Samia kuliko uliopita Lakini kuna kipindi demokrasia hutumiwa vibaya na kuigawa nchi kwa udini au ukabila, hapo ndipo nasema demokrasia inabidi iwekwe pembeni Kumekuwa na...
  3. paka chongo

    Chuma mguuni mwaka wa nne

    Nilipata ajali miaka 4 iliyopita ya mguu sehemu ya goti ilipelekea ni fanyiwe upasuaji mkubwa maana na kumbuka nilipigwa nusu kaputi kwenye mida ya saa 1 asubuhi Ila kuja kuzinduka ulikuwa saa mbili usiku hapo muhimbili,point ni kweli ukikaa na ichi chuma mda mrefu Nini athari zake?
  4. John Haramba

    Watakaoiba vibao vya makazi kuwa chuma chakavu wapewa onyo kali

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa, Sunday Deogratias ametoa onyo kwa watu watakao onekana kung'oa vibao vya anuani ya makazi na kwenda kuuza kama vyuma chakavu na kwa watakaobainikia watachukuliwa hatua za kisheria. Hayo ameyasema alipokuwa katika hafla ya siku ya wanawake wilayani...
  5. MK254

    Shirika la ndege la Urusi latengwa na dunia, kutouziwa spare parts, na kuzuiwa kwenye anga za mataifa mengine

    Huku Putin akiendelea kuingia hasara kwa uwekezaji mkubwa wa wanajeshi wengi Ukraine ambao kama wameshindikana kusonga mbele kwa uhitaji wa chakula na vyombo, nyumbani Urusi mambo yanaendelea kuharibika, shirika la ndege la Urusi limeanza kutengwa na dunia. Kwenye huu ugomvi Putin alikurupuka...
  6. M24 Headquarters-Kigali

    Hyundai Tecaran - Chuma Kama Chuma

    Hyundai Teracan 2990cc, Diesel Ni gari makini Sana. Bei yake imepoa na hata TRA ushuru ni mdogo ajabu. Changamka fursa. Usiseme hukuambiwa. USHURU 5.5m Tsh, Wese:Ddiesel, Spea bwerere, 7 seater SUV
  7. Counterbook

    Unapiga 'gym' na usiku unakojoa kwenye kopo kitaalamu hii tunaitaje?

    Salama, upo au ndio ivo tena umeme huu bora kibatari. Sasa ni hivi kama ilivyo nadra kwa kanali kuogopa kinyonga, una kitambi unaogopa mende, una Nissan Murano, range halafu umepanga kirahisi tu hakuna usawa hapa kama si mizimu basi bombonya fulani by default. Kijana gym sana, kifua kikubwa...
  8. Mbao Tanzania

    Hadi Mama Dangote amekuja Mbao Tanzania, sijui anajenga ghorofa!

    Habari zetu kupitia JF zinafika mbali sana. Ishukuriwe platform hii kwa kutusaidia kuonekana kupitia mijadala yenye tija hasa kwa sisi eneo letu la ujenzi na hamasa tunazopeana humu. Tunapenda kuwajuza tu kuwa Mama Dangote ni miongoni mwa wateja wetu waliofika #MbaoTanzania kuchukua mzigo wa...
  9. GENTAMYCINE

    Chuma cha Kizambia 'Baba wa Pasi za Upendo na Mpenyezo' keshatua nchini Kesho Kutambulishwa na kuwemo Safari ya Mbeya

    Pape Ousmane Sakho, Kibu Denis na Medie Kagere watafunga Magoli mpaka Watachoka kwani mwenye Pasi zake na Fundi wa 'Miauta' Raia wa Zambia ameshatua nchini. Kuna Watu sasa naona ile nia yao ya Ubingwa inaenda Kutoweka na tayari Coastal Union FC ya Tanga wameshaapa, kulishana Yamini na kusoma...
  10. Lycaon pictus

    Serikali ianze kuzalisha chuma ili kupunguza gharama za ujenzi

    Vifaa vya ujenzi vimepanda bei, nondo zimepanda bei. Maghorofa ni nondo, madaraja ni chuma, reli na mabwawa kama JNHP ni nondo. Leo China uzalishaji wa chuma umepungua sababu ya pandemic na bifu lao na Australia. Kwanini serikali isianze kufua nondo.
  11. Mbao Tanzania

    Mbao zenye dawa ni bora kuliko chuma

    Inatamanisha kutumia chuma katika kuezeka au kukamilisha ujenzi wa majengo na utengezaji wa samani kama vitanda, meza, makochi n.k. Lakini malighafi ya chuma ni gharama sana na inaweza kukupatia hasara. Chuma kinapata kutu, kinaoza, kinasumbua kwenye uandaaji na matumizi yake. Ni bora kutumia...
  12. Yericko Nyerere

    Jakaya aliamini meza akaweza, Magufuli akaamini chuma akafeli. Samia anaamini jela?

    Natanguliza ufafanuzi kidogo wa mambo ya siasa na itikadi, Siasa ni mambo mtambuka, wengi husema siasa ni sayansi, Siasa ni itikadi inayofuatwa na kundi au jamii fulani ambayo ni msingi kuendesha uchumi, utamaduni na mwenendo mzima maisha ya jamii hiyo. Siasa maana yake ni njia azitumiazo mtu au...
  13. Mzee Saliboko

    Natafura ndoo za chuma kwa Dar es Salaam

    Natafuta ndoo za chuma zile za kizamani. Nitapata wapi kwa DSM?
  14. jollyman91

    Kukiri Israel udhaifu wa "Ngao ya Chuma" na kutoweza kwake kujilinda na makombora ya Wapalestina

    Kamanda wa ulinzi wa anga wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kwamba, mfumo wa kujilinda na mashambulizi ya makombora uliopachikwa jina la "Ngao ya Chuma" hauwezi kudhamini usalama wa utawala huo mbele ya vipigo vya makombora kutoka kwa wanamuqawama wa Palestina. Kituo cha...
  15. Ramon Abbas

    Car4Sale Chuma nyingine hii hapa kwa bei ya Kuhamia Burundi. Nissan March kwa 2mil only

    Gari imekaza. Gari inatembea mwendo mdundo Haina shida wala kelele Njoo na Mil 2 nikuachie sms 0625750755 gari za bei kitonga zipo. imebaki hii tu INAFUATA FORD XLT manual gear kwa milioni 7
  16. K

    Tunapima Legacy ya Awamu ya Nne na Tano kwa Uzani: Mfano wa karatasi v/s Chuma

    Mtapima wenyewe. Kanuni ya maumbile ni moja tu. Kilo 1 ya karatasi ni sawa na Kilo 1 ya chuma. Awamu ya Nne v/s Awamu ya Tano i. Kuweka mazingira ya uwekezaji kuwa ya kuvutia v/s...
  17. Mwamuzi wa Tanzania

    Ukiona panya, popo, mende, mijusi wanazoea ndani mwako usipuuze. Huenda ni uchawi na chuma ulete umewekewa ndani

    Uchawi ni roho kamili, roho huwa haifi kirahisi. Hivyo mchawi akifa hata kama alipokuwa hai hakumrithisha mtu ofisi yake, usitegemee ule uchawi utapotea. Automatically uchawi utamtafuta mrithi atafundishwa katika ulimwengu wa Roho naye atakuwa mkubwa kuliko hata muasisi wake. Muhimu: Huwezi...
  18. beth

    Taliban yatawanyisha maandamano ya Wanawake kudai haki

    Maafisa wa Taliban wamevunja maandamano ya Wanawake kadhaa huko Kabul. Imeelezwa Wanawake hao walikuwa wanadai Haki ya kufanya kazi na kujumuishwa kwenye Serikali. Kundi hilo limesema mabomu ya machozi yalifumika kuwasambaratisha wakati wakijaribu kutembea kwenda Ikulu ya Rais. Huu ni...
  19. N

    Kocha Senzo Mazingiza kaanza mkono wa chuma huko Yanga

    Jamani kama hauna popcorn kanununue haraka sana tena shushia na MO juice na kama una roho ndogo basi katafute Mo energy upate nguvu, Mzulu keshaanza mambo yake huko vyura vyurani bora hata anko Msolwa kastuka mapema na kuleta protection ya Davis Mosha na seif magari, aisee hii ngoma tamu...
  20. May Day

    Siasa za Kenya ni burudani tosha kila kukicha. Mwanasiasa Mtata Aisha Jumwa akiserebuka kwa Gospel kusherehekea anguko la BBI

    Mmoja wa Wanasisa wenye vituko kutokea Pwani ya Kenya Bi Aisha Jumwa ameamua kutoa burudani ya aina yake huku akipeleka ujumbe kwa Wapinzani wa Ruto.
Back
Top Bottom