Pengine umewahi kuwaza kwa nini baadhi ya wanawake wajawazito hupenda sana kula udongo, barafu, magodoro, nguo, sabuni, karatasi au vitu vingine visivyo chakula? Kitendo hiki kitaalamu huitwa Pica.
Husababishwa na uwepo wa upungufu mkubwa wa madini ya chuma ambayo hupelekea kutokea kwa tatizo...