Chumba is a traditional form of music and dance performed by the Garifuna people in several Central American countries. Like punta (another type of Garifuna music), chumba songs are highly polyrhythmic, but have a slower tempo.The chumba dance is a solo dance performed by a woman, often exhibiting a large degree of individual style.
Habari,
Nimempata chumba nataka nipake rangi, niweke kapeti na mapambo, naomba ushauri nipake rangi gani?
Na kapeti inayofata pamoja na mapambo kwa chumba Cha mwanaume?
Asante
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa tanzania na kazi iendelee
Wanajamvi, nimekuwa na tatizo la nyuki kuweka makazi ndani kwenye dirisha la nyumba changu hali iliyolelekea kuhama kabisa na kukiacha kile chumba
Sina hakika lini nyuki hawa walianza kuweka kambi ila leo hii usiku wa...
Habari JF,
Natafuta chumba chakupangisha maeneo ya Mbezi Beach (Mbuyuni, Africana, Makonde, Shule, Kogoo, Tank Bovu, Massana) au isipite Goba Kayuni ukienda na njia ya Goba
Chumba kiwe ni kikubwa na Master.
Mwenye nyumba aisiwe kwenye nyumba moja.
Wapangaji wasiwe wengi (8+).
Kuwe na uzio/fensi...
Kwa mtu yoyote anayeielewa mitaa ya makuburi na External aniambie mtaa mzuri ninaoweza kupata nyumba nzuri ya kupanga... average standard, sina familia.
Mitaa ambayo nitapata usafiri kirahisi.
Nakaa huku uswahlini chumba
hakina siling bodi na ukuta
unaotenganisha chumba na chumba si mrefu kiasi unaweza ukaruka kuingia chumba cha pili
Sasa hapa napokaa jirani wa chumba cha pili akitaka kufika mulima Meru lazma aangue kilio jamaa analia kilio cha kwikwi huwa nasikia mkewe
anamwambia...
Chumba cha mtihani ni mahala ambapo pameja vihoja vingi sana hasa kwa level kuanzia Darasa la 4 hadi elimu ya juu hata Masters!
Katika uzi huu naomba tukumbushane vihoja ambavyo tumekutana navyo kwenye chumba cha mtihani.
Mimi nakumbuka tukiwa undergaruate mama mmoja aliambiwa anyanyuke lile...
Kwakweli hiki kitu kiliniuma sana, nilimuazma geto rafik yangu ili AZAGAMUE, nyie acheni tu, nilijifunza kuanzia siku iyo mpaka leo chumba changu ni Madhahu, Takatifu siwezi kuazima mtu.
Niliwahi kumuazima rafiki Geto, saa 12 jioni alinirudishia funguo mwenyewe, narudi saa mbili geto namkuta...
Hello wadau'
Natafuta chumba Cha kupanga Maeneo Kama title hapo.
Kama una namba za madali Maeneo hayo naomba unisaide.
Natafuta master room
Tiles, gypsum all that
Maji umeme usiwe shida na iwe karibu na Barbara
Kusiwe na msongamano wa wapangaji wengi.
Bajeti: kisizidi laki
Kigamboni magogoni, pc
Chumba kimoja 1 master na jiko ndani
Maji bure
Kodi 180,000 kodi ya mwezi
Miezi (6)
Mita 15 barabara kubwa
Vyumba vyote ni vipya.
Piga 0712347749
Wadau salaam,
Natafuta nyumba/chumba ya kupanga maeneo ya Namanga, Ada Estate na maeneo ya karibu na hapo. Nahitaji nyumba ndogo hasa chumba/master room (self-contained) yenye jiko.
Naomba niinbox kama unayo au unataarifa.
Naombeni ramani simple nzuri ya kisasa. Roof ya kawaida ya bati (sivutiwi na contemporary roof).
*Master room
*Sebule/sitting room (kubwa)
*Self bedroom
*Jiko
*Study room
N.B: Ni kwaajili ya bachelor life. So public toilet itakuwa nje.
Habari zenu
Natafuta room ya kupanga maeneo ya bunju karibu na stendi au mapinga karibu na shule ya baobab
Mwenye kufahamu naomba anisaidie au aniunganishe na dalal wa maeneo hayo asanteni
Habari jamani, naombeni kujua gharama au makadirio ya ujenzi chumba kimoya choo na kijiko cha mchongo.
Kiwanja nnacho kipo Kibaha, Pwani.
Maji yapo karibu.
Mfano wa ramani ni kama unavoiona hapo chini.
Wadau natafuta chumba cha kupanga kwa wiki mbili maeneo ya kinondoni.
Mi ntakua dar kikazi Tar 27 March - 08 April, hivyo chumba kiwe furnished.
Maeneo ya kinondoni, au karibu na town.
Whatsapp +48519634862
Oh my God, mbwa anaingia na kutoka nyumba tunayoishi, room mate kamleta mbwa mdogo wa kucheza nae, shughuli si ndogo hii!! kuna muda tulienda kikazi mkoa x kwa miezi mitatu, niliishi na jamaa anapenda sana mbwa, siku ya pili kaleta ki puppy kimbwa kidogo anakijali kama mtoto wake vile, kucheza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.