code

In communications and information processing, code is a system of rules to convert information—such as a letter, word, sound, image, or gesture—into another form, sometimes shortened or secret, for communication through a communication channel or storage in a storage medium. An early example is an invention of language, which enabled a person, through speech, to communicate what they thought, saw, heard, or felt to others. But speech limits the range of communication to the distance a voice can carry and limits the audience to those present when the speech is uttered. The invention of writing, which converted spoken language into visual symbols, extended the range of communication across space and time.
The process of encoding converts information from a source into symbols for communication or storage. Decoding is the reverse process, converting code symbols back into a form that the recipient understands, such as English or/and Spanish.
One reason for coding is to enable communication in places where ordinary plain language, spoken or written, is difficult or impossible. For example, semaphore, where the configuration of flags held by a signaler or the arms of a semaphore tower encodes parts of the message, typically individual letters, and numbers. Another person standing a great distance away can interpret the flags and reproduce the words sent.

View More On Wikipedia.org
  1. Alfa0001

    Postal code na street address

    Habari wakuu, kwenye kitambulisho cha NIDA ni namba zipi zinasimama kama postal code na ni namba zipi zinasimama kama street address
  2. Kipenseli

    Msaada: Nimetumiwa verification code nisiyoielewa

    Wakuu naomba kufahamu, nimetumiwa text na Hawa jamaa kukiwa na verification code as if nimerequest process mahali Fulani, je itakua kampuni gani?
  3. M

    Naomba kujuzwa namna ya kulipia bidhaa nje ya nchi na maana ya ZIP code

    Kama mada ilivyo. Natamani kuanza kununua bidhaa kutoka nje ya nchi kupitia hii mitandao ya uuzaji kama Alibaba, AliExpress etc japo kwa sasa nataka nianze na AliExpress. Sasa kuna kipengele cha kulipia bidhaa hapo ndio nakwama maana Kuna mahali naambiwa niweke card. Pia Kuna mahali wanataka...
  4. Southern Giant

    Mambo 25 ya msingi ya kuzingatia unapoenda kununua utelezi kwa kahaba

    Habari zenu vijana wapambanaji. Nimeikuta sehemu nimecopy na kuiwasilisha kama ilivyo, twende sawa hapo chini kwa kuangalia mambo 25 ya kuzingatia unapoenda kununua Utelezi. Mambo haya pengine ni ya aibu na hayasemeki kwa urahisi tena hayafurahishi kusemwa hadharani. Lakini leo nitayasema Kwa...
  5. T

    HOW TO SOLVE DEEP SEEK REGISTRATION CODE ERROR

    Baada ya kuona review kadhaa nimeona nifungue account ds. Sasa Code niliotumiwa nikiingiza inasema invalid code. Nimejaibu mara ksdhaa bado imegoma. Baadhi ya system huwa code no ikigoma huwa inakutumia code nyingine ila hii sio suluhisho. Nini inaweza kuwa tatizo, ushauri tafadhali.
  6. Mr DIY

    Msaada anae weza tambua hizi code

    Habari, inaonekana simu yangu imekuwa ikituma hizi code for sometimes now hasa kupitia mtandao wa Yas, zinafanana na last day imetuma jana usiku muda huo nilikuwa far asleep, kwa yeyote alie na idea hizi code zimeenda 15711 kwa ajili ya nini.? Nimelazimika ku crop screenshot sije nikawa nna...
  7. T

    Unaijua hii Code ya jagi mezani?

    Wakuu wewe ukifika mgahawani huwa unazingatia nini ili kutambua gharama za hapo ili usije kupigwa na kitu kizito?
  8. BabaMorgan

    As Man unataka kuwa na furaha 2025 na kipindi chote cha maisha yako kilichobaki basi code ni hizi

    Code ni simple tu Love yourself first afu mengine yafuate. 1. Kula vizuri 2. Vaa vizuri 3. Fanya mazoezi 4. Tafuta pesa
  9. wasumu

    kabla ya kumaliza mwaka nawapa hii code jinsi ya kuishi na wanawake ifuatilie ufurahie edeni

    Nyuki ni wazuri sana kwa kuwahutupa asali ila nyuki huyo huyo ukishindwa kufuata tahadhari anaweza kukuua kukupofusha macho au mambo kama hayo mengi sana .Nduguyenu nimekuja na code muhimu sana kwa wanaume ili waishi vizuri na wapenzi wao au wanawake wote kiujumla na hizi code ndio kuishi nao...
  10. Money Penny

    Usipojitambua kama Msichana au Mwanaume, hizi ndio sehemu zako zitaathirika.... GIRL CODE NO 4

    Ewe mwanamke wewe msichana wewe binti Usipotambua thamani yako kama mwanamke, zitakazoathirika ni 1. sehemu zako za siri 2. utu wako 3. saikolojia yako juu ya wanaume 4. afya ya akili yako nakusahuri, jitambue, jielewe jua thamani yako, jua wewe ndio the price sio mwanaume natoa darasa la...
  11. Wong Fei

    Azumi L4K NCK Code

    Habari! Mwenye simu ya Azumi L4K natoa NCK Code bure. Hii ni zawadi ya December Mrejesho muhimu
  12. Brightburn

    Pata QR Code za Instagram au biashara yako

    QR Code inaweza kumrahisishia mteja wako kupata taarifa za biashara yako kwa haraka zaidi ukilinganisha na kutafuta kawaida. Mfano; Unaduka lako, na umechapisha karatasi yenye jina lako la instagram ya biashara kisha ukabandika ili mteja aone, kuna wakati mteja anaweza kukosea herufi moja tu...
  13. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Video:Vijana wa hovyo hii Code Ni ya mwisho sitawaambia tena.

    Vijana akiingia geto hakikisha harudi salama. Siyo demu anakuaga unaanza kujiuma uma tu... Mwamba kapita mle mle. Hii ni ya mwisho sitawaambia tena 🙌🙌😋😋
  14. W

    Epuka Kuscan QR Code ovyo, taarifa zako zinweza kudukuliwa

    Kupitia QR Code wadukuzi wanaweza kutumia kukupeleka katika tovuti hatarishi lakini pia wanaweza kukusanya taarifa zako zilizopo kwenye kifaa chako na kuhatarisha usalama wako Mtandaoni. Kabla ya kuscan QR Code hakikisha umethibitisha chanzo cha QR Code hiyo ni salama, unakiamini na...
  15. Tajiri wa kusini

    Hivi unaweza kusoma computing science na kusoma code bila kupitia mfumo rasmi wa elimu?

    Aisee hivi unaweza kusoma computing sciences na kusoma code bila ya mfumo rasmi wa elimu kwa Tanzania na je kuanzisha financial technology company(fintech) vigezo vyake ni vipi? *********
  16. Natafuta Ajira

    Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

    Kuna delusional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio kwa mwanaume. Kwa kijana yoyote wa kiume kama wewe ni muumini wa iyo nadharia basi leo nakufungulia code kwamba umedanganywa. Vijana wengi mmejazwa uongo vichwani mwenu kwa kuaminishwa...
  17. Money Penny

    Mwanaume kama hakupi hela, huyo hakupendi - Girl Code no 1 imeshuka

    Nasemaje Nasemaje! 1. Mwanaume kama hakupi hela huyo hakupendi 2. Mwanaume kama alikuwa anakuoaga hela sahivi hakupi tena basi mapenzi kwako yalishaisha muda sana 3. Mwanaume kama unastruggle sana kumwomba hela ndio anatoa, huyo mapenzi kwako yalishaisha muda sana we hamisha mapenzi yako kwa...
  18. M

    Msaada namna ya kupata ussd l/mmi code za Samsung Z fold 2

    Kwa wataalam sinu tajwa hapo juu siwezi ingia menu ya huduma mtandao husika mfano mpesa huduma za voda inaandika error na inakubali kuangalia salio pekee
  19. R

    Vas sms short code ordinary na ussd code

    Kwa ambaye amefanikiwa kuomba hizi leseni TCRA na kufanikiwa kupata ama anayefahamu taratibu za kuzipata naomba muongozo hapa ama mawasiliano yake anielekeze kitu, nitamfidia muda wake. Asante
  20. CARIFONIA

    Code zinaanza kufunguka

    Leo kauli ya mama yakuwapa mashavu wachina na kusema china kwa sasa ni super power na kupendekeza hata Watanganyika inabidi tuanze kujifunza kichina. Ukiangalia kwa jicho la tatu utaona ni kama mama alikua anaendeleza battle na mabeberu na sasa hanawaambia kwamba hata kama wao wakizingua bado...
Back
Top Bottom