comedy

  1. Mwanamayu

    Wanaume kuigiza nafasi za wanawake, sio promotion ya mambo yale yasiyofaa?

    Ukiangalia 'origial comedy', Joti, Triple Funny, Steve Mweusi, kitimtim, na wengine wanaume kucheza character za wanawake kama Kiboga, sio promotion ya mapenzi ya 'kisasa' ya Ulaya na Marekani ambayo ni kinyume na mila, desturi, na tamaduni zetu? Kama wizara ya elimu ilivyopiga marufuku vile...
  2. N

    Aibu na comedy za siasa Tanzania: CCM watumia vifaa vya tume ya uchaguzi

    NAAAM ,mambo ni bam bam inafurahisha sana eti kusikia Tanzania ni nchi ya kidemokrasia inayofata katiba na kuizingatia kwelikweli, kudadeeeeki ukigeuka huku unakuta video za wana ccm wakihimiza umwagaji damu, ukigeuka huku unakuta TCRA wanakaushia habari ya mwananchi yenye angle ileile...
  3. Zainab j

    Mahusiano na wasichana ni 'comedy'

    Morning JF family, Aisee mahusiano ya hivi visichana ni vichekesho na pasua kichwa kwa sisi watu wazima, yaani Kuna kabinti fulani kanauza pharmacy maeneo ya mjini kati, sasa bwana nilimzimia alivyo black na flat screen fulani halafu mrefu. Mzee nikawa namtoa lunch anakula kitimoto, japo mimi...
  4. N

    Acheni kuchukulia serious, reports za CAG ni kama comedy shows, vichekesho 100%

    Ni kama routine tu ya kibaolojia kwamba itabidi uende haja ndogo na kubwa ili mwili uendelee ku operate, ni kama routine kwamba itabidi ule ili u survive. Ndivyo ilivyo reports za CAG kwa Tanganyika na Zanzibar, pesa zinapigwa kwelikweli, reports zinasomwa kila mwaka upigaji unaongezeka nobody...
  5. R

    Kwanini Orijino Comedy Dstv haina wafuatiliaji wengi?

    Habari wana JF, Hivi kwanini Orijino comedy dstv haina wafuatiliaji wengi ,Shida ni nini? Kukosekana kwa Joti? Muda uliowekwe kwa ajili ya hicho kipindi? Kwa kifupi hata viewers wa clips zao kwenye mitandao ni wachache shida nini? Maana waigizaji wapo tena wazuri, kwa mnao fuatilia shida ni...
  6. Analogia Malenga

    Comedian Samuel Asubiojo asema Comedy inalipa kuliko udaktari

    Comedian wa Nigeria Samuel Asubiojo, ambaye ni daktari kwa taaluma amesema Comedy inalipa kuliko udaktari. Asubiojo ambaye ni maarufu kama Mama Ojo alisomea udaktari wa binaadamu nchini Ukraine mwaka 2012 hadi 2018 lakini hakuwahi kupractice taaluma hiyo tangu hapo. Kwa sasa anapata hela kwa...
  7. MamaSamia2025

    Hakika Ruben, unachofanya sio comedy bali ni udhalilishaji kwa wanawake

    Wakuu natumaini mko poa. Leo naandika nikiwa na hasira nyingi dhidi ya mtu anayeitwa Hakika Ruben. Huyu ni mtu maarufu mitandaoni kwa clips zake za vichekesho. Kwa upande wangu nampongeza kwa kuendeleza kipaji chake na ninampongeza zaidi kama inamletea chochote mezani. Binafsi sivutiwi na...
  8. Mohamed Said

    ''tragedic comedy'' wako watakaocheka wako watakaolia

    ''TRAGIC COMEDY'' WAKO WATAKAOCHEKA WAKO WATAKAOLIA Kwa umri wangu huu baada ya kula chakula cha mchana kitanda kinaniita kujipumzisha kidogo. Lakini kama kawaida kutakuwa na hiki au kile mtu unataka uchungulie katika simu na ikibidi nifungue mtambo ikibidi kwani huko ndiko Maktaba ilipo...
  9. Mwamuzi wa Tanzania

    Tanzania hatuna Comedians bali tuna waropokaji tu. Comedians wa Kitanzania humwelewi kama hujui lugha anayotumia jukwaani

    Kwa hakika siwezi kupoteza muda wangu au data kumtazama mchekeshaji wa Kibongo. Hawa wachekeshaji wetu mimi ninawaita waropokaji. Comedy ya wenzetu wengi utacheka na kufurahi hata usipoielewa lugha wanayoitumia jukwaani. 1. Comedy ya Kibongo imekosa ubunifu. 2. Wanadhani mpaka leo mavazi...
  10. Lycaon pictus

    Mashindano ya Cheka Tu Comedy search yameendeshwa kwa weledi sana.

    Haya mashindano yamekuwa mazuri sana. Na nafikiri sekta ya Stand up comedy Tanzania ndiyo imezaliwa. Washiriki karibu wote walikuwa vizuri sana tofauti na wakina Pilipili, Idrisa na Bukuku. Hawa wanajua. Na hawa washindi waliopatikana ni wanajua hasa. Hata kuna wengine walitolewa lakini bado...
  11. kabila01

    Stand up comedy: Comedian Deogratius ana kipaji hasa atafika mbali sana

    Habarini wakuu Mara tatu nimefuatilia kipindi cha Stand up Comedy (WATU BAKI) kinachorushwa na channel "Maisha Magic Bongo 160" kupitia king'amuzi cha DSTV. Nimemuona kijana anaitwa Deogratius ni balaa yaani ikifika session yake wote tuliokaa sitting room tunacheka mpaka tunatoa machozi...
  12. Program Manager

    Cheka tu Comedy Search: Ni mshiriki gani unavutiwa naye?

    Wakuu, Kama title inavyotamba, basi. Kwa wale tunaofuatilia hiki kipindi kinachotafuta vijana wenye vipaji vya kuchekesha kwenye stand up comedy (CHEKA TU COMEDY SEARCH) cha wasafi tv tujuzane ni washiriki gani ambao unavutiwa nao na ambao huvutiwi nao katika uchekeshaji wao. Mimi naanza na...
  13. Shujaa Mwendazake

    CHADEMA kukataa mualiko wa NEC wakati wanasubiri mualiko wa Rais Samia ni kichekesho

    Iko wazi Chadema na vyama vingine vilivyokataa kuhudhuria Mualiko wa NEC kwenye kutoa ripoti ya Uchaguzi wa 2020 sababu ilikuwa ni malalamiko yao juu ya wanachokiita dhuluma kwenye uchaguzi huo. WAMEKWENDA mbali zaidi hata wengine kugomea ruzuku, kugoma kupeleka majina ya wabunge wa viti maalum...
  14. Citizen B

    Series gani ya comedy ni best of all time?

    Binadamu tunatofautiana sense of humour meaning kitu kinaweza kuwa funny Kwa mtu mmoja kikawa cha kawaida kwa mwingine. Lakini mawazo yawengi huwa mara nyingi yanakaribia ukweli. Kwangu Mimi best comedy series ni: 1. How I met your mother 2. The Simpsons 3. Big time rush 4. Scrubs 5. Big bang...
  15. Jokajeusi

    Wasomi tunamchukulia Musukuma kama Mchekeshaji wa ‘Stand Up Comedy’ ndani ya Bunge. Tunashauri aendelee kutuchekesha

    Hari yenu humu! Bira shaka mpo wazima. Sisi wasomi tunafulahishwa sana na kipaji alichonacho Mbunge Msukuma, kipaji cha uchekeshaji. Huyu jamaa anakipaji cha ufutuhi futuhi. Upande wangu napenda akiwa sirius akijifanya anatoa hoja ya maana, :D:D:D:D hapo atajifanya anaakili sana mpaka...
  16. Mac Bully 001

    Former Churchill show comedian Francis Onono aka "Brigeddia General" at last graduates from US Army

    Former Churchill show comedian Francis Onono aka "Brigeddia General" at last graduates from US Army. On 2nd of April he graduated at Fort Sill, Oklahoma 1-31 Bravo Battery, 434th Field Artillery. DREAMS COME TRUE! Kudos comrade!
  17. Civilian Coin

    Utani wa Wanasiasa (Political COMEDY)

  18. Its Pancho

    Uzi wa memes za viatu (comedy)

    Uzi huu ni wa memes za viatu kwani viatu vinaelezea uhalisia wa maisha ya MTU Tiririka nawe
  19. mathsjery

    De general comedy

    Huyu jamaa ana kipaji hadi upande huu haha
  20. Robert Heriel Mtibeli

    Ubunge sio the Comedy; Kwako Steve Nyerere

    UBUNGE SIO THE COMEDY Na, Robert Heriel Ujumbe huu ni mchungu lakini naomba ufike kama nilivyokusudia, pengine maneno yake yakawa makali. Hivyo natoa angalizo; Kama unaroho nyepesi na mihemuko ya karibu tafadhali usisome. Kuna kitabia cha kipuuzi Baadhi ya wasanii wanacho, yaani mtu...
Back
Top Bottom