comedy

  1. Robert Heriel Mtibeli

    Ubunge sio the Comedy; Kwako Steve Nyerere

    UBUNGE SIO THE COMEDY Na, Robert Heriel Ujumbe huu ni mchungu lakini naomba ufike kama nilivyokusudia, pengine maneno yake yakawa makali. Hivyo natoa angalizo; Kama unaroho nyepesi na mihemuko ya karibu tafadhali usisome. Kuna kitabia cha kipuuzi Baadhi ya wasanii wanacho, yaani mtu...
  2. CHIPESI NAMISUKU

    Taasisi ya Urais chini ya Amiri Jeshi Mkuu siyo sehemu ya vichekesho

    Tukirejea ktk kumbukumbu ya tarehe 14 November 2019, Siku ya Alhamisi, Idriss Sultan akiwa mbele ya Waandishi wa Habari alimuomba Msamaha Rais Magufuli kwa kuweka picha mbili tofauti zilizoleta taswira mbaya kwa Taasisi ya Urais wa Tanzania (JMT Presidency) na Rais Mwenyewe Binafsi. Idris...
  3. maroon7

    Niwe bilionea kama Mo Dewji? Bongo stand up comedy

  4. Ultimate

    Naomba ufafanuzi taasisi ya elimu (Chuo) kutoa gawio kwa Serikali

    Hello Bosses, Nimeshtushwa na hili. Je, ni halali kwa taasisi ya elimu kuwa chanzo cha mapato kwa Serikali? Nimeshtuka kuona IFM kutoa gawio karibia billion 2, juzi hapa nimemlipia dogo ada 1,800,000+, ada tu bila hostel hela ya kula na kujikimu. Tumefika mbali sana hadi elimu ni chanzo cha...
Back
Top Bottom