UBUNGE SIO THE COMEDY
Na, Robert Heriel
Ujumbe huu ni mchungu lakini naomba ufike kama nilivyokusudia, pengine maneno yake yakawa makali. Hivyo natoa angalizo; Kama unaroho nyepesi na mihemuko ya karibu tafadhali usisome.
Kuna kitabia cha kipuuzi Baadhi ya wasanii wanacho, yaani mtu...
Tukirejea ktk kumbukumbu ya tarehe 14 November 2019, Siku ya Alhamisi, Idriss Sultan akiwa mbele ya Waandishi wa Habari alimuomba Msamaha Rais
Magufuli kwa kuweka picha mbili tofauti zilizoleta taswira mbaya kwa Taasisi ya Urais wa Tanzania (JMT Presidency) na Rais Mwenyewe Binafsi. Idris...
Hello Bosses,
Nimeshtushwa na hili. Je, ni halali kwa taasisi ya elimu kuwa chanzo cha mapato kwa Serikali?
Nimeshtuka kuona IFM kutoa gawio karibia billion 2, juzi hapa nimemlipia dogo ada 1,800,000+, ada tu bila hostel hela ya kula na kujikimu.
Tumefika mbali sana hadi elimu ni chanzo cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.