President Museveni Friday launched Uganda's first ICT manufacturing and assembling plant in Namanve.
This comes into force after government signed an agreement with SIMI technologies to promote the manufacturing of ICT electronics in Uganda.
At full capacity, the factory will run three...
Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Augustine Mahiga amesema kompyuta zilizoibwa ni za ofisi ya mashtaka mkoa wa Dar na sio ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) nchini Tanzania na kwamba nyaraka za wahujumu uchumi zipo mahali salama.
"Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu anayeshughulikia mashtaka ya...
Habari,
Natoa huduma ya matengenezo ya computer (desktop na laptop) na malipo utatoa baada ya computer yako kufanya kazi.
Kama kuna kifaa kitakuwa ni cha kununua, gharama ni juu yako.
Kwa wale wanaohitaji kufungiwa CCTV cameras, watahudumiwa weekend tu.
Napatikana kigamboni Dar. tuwasiliane...
used computer for sale
brand: HP
Ram: 4gb
HHD: 500 GB
Haina shida yoyote isipokuwa haikai na charge
Bei: 150,000 tshs
Contact: 0712518770 dar-es-salaam
Salamu wandugu.
Nimeombwa na marafiki ambao wanatafuta kuwekeza kwenye innovation/incubation of ideas and local product development. For artist, technologists, engineers, application developers, etc.
The Idea ni kuwa na sehemu ambayo itawapa fursa like-minded people kubadilishana mawazo na...
Niko Arusha
Nauza Ram 4GB DDR3 (Samsung planet first,Made in philippines) kwa ajili ya Laptop iko poa kabisa katika hali nzuri na ifanya kazi poa kabisa bei ni Tsh.37000 maongezi yapo nicheki zaidi kwa biashara kwa namba 0767142928 call,SMS au WhatsApp.
Karibu tufanye biashara
CCTV INSTALLATION
We are dealing with;
✴CCTV Camera Installation and Repair
✴LAN Installation
✴Computer Service & Repair
✴Electrical Fence Installation
Also we can connect CCTV camera directly to your mobile phone.
️
Contract us :
📶0716128815 (Call & WhatsApp 24/7)
Location: Arusha
Habari Zenu Wakuu, Natumaini Leo Mko Vyema.
Lengo La Nyuzi Hii Ni Kupeana Ushauri, Maoni Na Mbinu Za Uthubutu Katika Biashara Ya Ufundi Simu Na Laptop
Kwanza Mimi Ni Mmoja Wa Mafundi Waliojifunza Na Ku Master Phone And Laptop Repair Kutoka Google Na Youtube, Yaani Self Made Technician...
Ungependa kubadilisha lugha ya tarakilishi yako kutoka Kimombo hadi Kiswahili? Ungependa kutumia Microsoft Office kwa Kiswahili? Basi fuata maagizo haya.
Kitu cha kwanza unachofaa kujua ni kuwa Windows hutumia faili aina ya LIP (language interface pack) kuwezesha lugha zisizo Kimombo kuonyeshwa...
Tunafunga (HD) CCTV Camera kwa bei nafuu kulingana na mahitaji yako.
Kuona eneo lako ukiwa mbali
Kutoa Alarm
Intruder motion detection via PIR and image verification
Automatic Day/Night Mode with IR Filter
Pia tunatoa Huduma za kiufundi kwa maswala yote ya ICT...
Computer Motherboard Repair...
Habari Wana JF! Poleni kwa shughuli za kila siku za ujenzi wa taifa letu pendwa. Leo npo jukwaa hili nipate mawazo/maoni/ushauri wenu.
Kwa sasa ninafanya kazi za sales kwenye kampuni moja ndogo hapa jijini Dar es Salaam. Ajira hii naitumikia kuanzia asubuhi saa 1 na hadi kufikia mchana saa 6...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.