computer

  1. P

    Msaada: Computer imejaa lakini kilichoijaza sikioni nikifute

    Nina shida ya computer, Windows 7 Pro Inaonyesha imejaa lakini siyaoni hayo mafaili ya kujaza 150 GB. Nawezaje kupata kitu kama listi ya mafaili yote yaliyomo kwenye computer, size yake na mahala yalipo ??? Kuna command prompt naweza kutumia? - Recycle bin is empty - Show hidden files and...
  2. CUF Habari

    Mbunge wa Viti Maalum CUF akabidhi Computer na Printer kwa ajili ya Uchaguzi Handeni Mjini

    MHE. SONIA MAGOGO AKABIDHI VIFAA COMPUTER NA PRINTER KWA AJILI YA KUSAIDIA SHUGHULI NA UCHAGUZI WILAYANI HANDENI MJINI #HandeniMjiniNiSoniaMagogoSasa. #SoniaMagogoTenaMjengoni
  3. Mshika Tester

    Unaelewa nini unaposikia Mtu akisema yeye anasomea Computer?

    katika fani ambazo zimejificha na siyo rahisi mtu kujua manufaa ya kusoma ni fani za Computer. Zamani niliamini ya kwamba mtu hana haja ya kusomea Computer anaweza kujifunza kama vile ilivyo simu. Hivi na wewe unaamini kama nilivyokuwa na amini mimi au wewe unamtazamo gani mtu anaposema...
  4. chris emex

    Fundi Computer za Windows na Mac

    Tunatengeneza Computer za aina zote na kurudishia katika ubora Wake,, Pia tunazo Software / Program Za Computer Tupo DAR ES SALAAM WASILIANA NASI 0628 880 380
  5. JituMirabaMinne

    Baadhi ya watu mnaofanya Computer diagnosis kwenye magari mnawamislead wateja wenu na kuwaingiza gharama zisizo za lazima

    Baadhi ya watu wamekuwa wakifanya OBD2 diagnosis kwenye magari. Ni kitu kizuri na kwa upande fulani kinaweza kurahisisha kutatua tatizo la gari husika hasa ukizingatia kwamba tatizo moja la gari linaweza kuwa na possible causes hata 10. Tools zinazotumika kufanya diagnosis zipo za aina nyingi...
  6. kali linux

    Nini kilikuvutia na kukufanya uanze Computer Programming (CODING)

    Hello bosses, Kwenye maisha mara nyingi tunaamua kufanya kitu fln au kujenga hobby fln kutokana na kuona mambo yanayotuhamasisha kufanya hivyo. Kwa wale coders, hackers au IT professionals ni nini kilikufanya uingie kwenye fani hio. Binafsi nilivutiwa na movie fulani hivi ya zamani sana...
  7. J

    Laptop za laki 2 na nusu zimewasili

    Wale woote wanaohitaji laptop za kuanzia laki mbili na nusu, zimekuja zipo pc 3 Sifa zake ni: hdd 80,ram 2gb,3 hours battery, warranty one year, bei tzs 250,000 Tupo Kariakoo , pia tuna tawi mbezi mwisho stand. Pia unaletewa ulipo Dar es salaam na mikoani tunatuma. Piga :0713 03 98 75 kuwahi...
  8. Jamii Opportunities

    Computer Technician at The Tanzania-Zambia Railway Authority (TAZARA)

    The Tanzania-Zambia Railway Authority (TAZARA) is a statutory institution owned by the two Governments of the United Republic of Tanzania and the Republic of Zambia on a 50/50 shareholding basis. Incorporated by the Acts of Parliament of the two contracting states, the Authority’s registered...
  9. Dr. Zaganza

    Computer4Sale Zijue na jipatie computer za bei nafuu zinazokidhi mahitaji yako

    Drone Computer tumekuwa kwa muda mrefu tunawashauri watanzania juu ya elimu ya vitu vya ki-electronics hususani computer ikiwemo mambo ya kuzingatia kabla ya kununua, vitu vya kufanya na vitu vya kuepuka ili kifaa chako kidumu kwa muda mrefu n.k. Na leo tunakuletea elimu ya computer zainazotosha...
  10. BenKaile

    Wito fanya ufutaji wa akaunti zako kwenye applications au kompyuta kabla huja uninstall programu husika

    Sitakupa maelezo marefu sana ya kupoteza muda wako, ila umakini na faragha ni muhimu sana nyakati hizi za kimageuzi ya mitandao na ukuaji wa teknolojia. Kwa watumiaji wa vifaa ya kimtandao kama simu na kompyuta iwe ya mezani au mipakato jaribuni sana kuwa na umakini ikiwa utaacha kutumia...
  11. Android

    Ajira ya online: Unaweza kuandika Kiingereza, unayo laptop au computer na unayo access ya internet?

    Utangulizi Ni kampuni ndogo ya IT inayojishughulisha na ku manage website na ku manage kurasa za mitandao ya kijamii ya makampuni na watu binafsi, hivyo tunahitaji kuongeza watu zaidi kwenye timu yetu kwa ajili ya kutusaidia shughuli za kila siku. Ajira Wanahitajika watu wanne kwa ajili ya...
  12. Joseph Mathew

    Nimemaliza kidato cha nne mwaka 2018 natafuta kazi yoyote ya halali

    Hello wana JF, Mimi ni kijana nimemaliza form four 2018, natafuta kazi nina ujuzi wa kutumia computer, pia nafanya kazi yoyote YA HALALI , pia nafanya kazi yoyote inayohsu mambo ya computer. Msaada wenu wana JF niko Dar Gongo la Mboto
  13. Paa

    Hali ikoje kwenye kozi za Masters in Computer na Data Science katika vyuo vyetu hapa Tanzania?

    UDSM hizi kozi mbili zote zipo, sijafuatilia kwa UDOM na vyuo vingine. Hali ikoje wadau? Maana stori za mitaani zinasema kuwa waalimu wengi hawajali wanafunzi, hawana muda na wanafunzi ila mambo yao tu na wengi hawana moyo wa kumsaidia mtu amalize fresh. Hali ikoje?
  14. J

    Uzi maalum kwa ajili ya ushauri na kupost specifications za gaming computer yako

    Kwa wale die hard tech fans lazima mtakua na ndoto za kumiliki computer ya aina flan na specs flani,either unapambana kutimiza ndoto yako kama mimi au umetulia unatamani unasubir miujiza itokee. Ni sawa tu twende pamoja tutiririke kushusha our dream specs. Naanza na yangu Being inspired by...
  15. Secret Star

    Computer i7 inapigwa bado na i5!

    Nina Pc Lenovo i7, yenye Graphics Card ya 4 GB na Acer i5 yenye GB 2 za graphics Card ila nimebaki nashangaa nikaona ngoja niwacheck wataaamu wanisaidie. Kifupi Preject ambayo nairender kwa masaa mawili huku kwenye i7, kwenye hii i5 Natumia dk 5! nimebaki nashangaa na kujuliza tatizo liko wapi...
  16. O

    Electronics Engineers, Embedded System Designers na Hobbyist , na Computer Engineers

    Kwa wale wanafanya shughuli za electronics design, Engineering ama Hobbyists hii ni natoa offer ya electronics boards na Sensors 1. Aduino Mega (genuine) for 25K unaokoa 20K from 45k 2. Arduino Uno (without chip) 15K unaokoa 20K from 35K 3. Arduino Camera 20K unaokoa 20K from 45K 4. Current...
  17. mathsjery

    Jifunze kutumia troubleshooting tool iliyomo kwenye OS ya PC yako kutatua matatizo ya PC yako kabla ujamwona fundi maana akina fundi Michael ni wengi

    NOTE: Ninaposema troubleshooting tool maana yake ni tool inayoweza kukusaidia kujua na kutatua tatizo lolote kwenye PC. sifundishi ila najaribu kukufumbua macho ukae ukifahamu kuwa hauitaji knowledge kubwa kutatua matatizo madogo madogo ndani ya PC yako. Kumbuka kila kifaa kimeundwa na mfumo...
  18. Herbalist Dr MziziMkavu

    Kuzima computer yako kwa haraka zaidi, computer inayotumia Windows 10

    How to increase shutdown speeds in Windows 10 Some vizuri kabla hujafanya kitu chochote kile kwenye hiyo WINDOWS REGISTER kwani unaweza kuharibu hiyo WINDOWS REGISTER yako na computer isiweze tena kufunguka shauri yako ukiharibu usije kunilaumu. For some users, speed is everything. Eliminate...
  19. MakinikiA

    Epuka mikao hii kwenye computer

    Ukirudi nyumbani wanawake wenyewe tuliowaoa hawatufanyii massage
  20. M

    Msaada tafadhali kwa wajuzi wa computer

    Heshima kwenu wakuu. Nahitaji kufanya biashara mtandaoni, ambapo kwa muda mwingi nitakuwa online. Kwa kuwa mimi si mjuzi wa computer, ni computer ipi inaweza kunifaa: - Yenye ukubwa (Ram & storage) - Yenye uwezo mkubwa wa internet - Inayoweza kukaa online 24/7 bila shida Kwa uchache naweza...
Back
Top Bottom