Uprotestant uliasisiwa na Martini Luther Karine ya 16 huko na ni baada ya kuto kubaliana na mambo mengi ndani ya Catholic church.
Ila Martini Luther alicopy vitu vingi mno kutoka kanisa la Roman, hii ikawa sasa haina maana hasa kwenye yale mageuzi yake.
King Henrry nae wakati anaasisi...
Huawei wakiwa wameungana na JAC wamezindua gari yao ya kwanza inayoenda kwa model name Maextro, ikiwa na lengo la kushindana na Maybach na Rolls.
Kuhusu bei, itauzwa kuanzia $140,000 tu, na ndio itakua gari ya bei kali kuliko zote kutoka China hadi leo.
HALIJAWAI KUWAPO TAIFA LINALOITWA PALESTINA! NI HAKI YA WA ISRAEL KUKOMBOA ARDHI YAO! Kama hujapita shule au kufuatilia historia huwezi Jua haya
1. Kabla ya Taifa Kuundwa Upya na kuitwa Israel (1948) Lilikuwapo Taifa linaitwa British mandate yaan eneo Lilikuwa chini ya Uingereza 1920-1948 wala...
Katika uchambuzi wa sababu zinazoweza kuzuia mafanikio ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kuna hoja yenye nguvu kwamba CHADEMA imeiga kwa kiasi kikubwa mifumo ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Ingawa CHADEMA kinajitambulisha kama chama cha upinzani, mifumo yake ya ndani ya kiutawala...
Karibuni wateja jipatie iphone 15 pro max high copy kwa tsh 300000 tu
Nipo Kariakoo Uhuru Plaza ghorofa ya kwanza mkoani nakutumia watu wadar njoo dukani
Simu zimebaki mbili tu
Nimeshangaa sana kuna hadi iphone za laki moja na sabini.
Bora zingepigwa marufuku Tanzania.
Pia soma: Huu utitiri wa iPhone 13 copy zinazouzwa laki 3 Dar zinatoka wapi?
Zingetolewa simu za zinazofanana na iphone lakini zipewe jina lingine.
Kufanya hivyo kutaongeza utapeli hapa nchini.
wakuu kuna hizi subwoofer za jbl underseat za kwenye gari ambazo hapa mjini dar es salaam zinauzwa laki mbili, hivi kweli hizi ni jbl Original ama fake? bas hata kama sio original je zinagonga mziki vizuri, bass nzito? wajuzi wa mambo tafadhali
Kwa mara nyingine tena ni mimi na mambo ya Ajira portal msinichoke.
Wakuu ivi certified true copy ukiachana na kiwe na muhuri wa wakili, je inaweza kuwa hata black and white au ni lazima iwe colored.
Ni mimi kijana wenu nawasilisha
C&P
Rais @SuluhuSamia , haya anayoyaongea Rais @WilliamsRuto ndiyo tunayotaka kuyasikia kutoka kwako, sio mahubiri ya dini.
Tunataka kusikia umekataa kuidhinisha bajeti ya Bilioni 180+ kuhudumia wabunge 390 pale Dodoma huku umma wa watanzania ukiteseka na umaskini uliokithiri.
Tunataka...
Huduma Nyingi, kupata Tanzania ni Kama Unakwenda Kujikomba.
Yaani unaweza kua una Namba ya NIDA, na Kuna Baadhi ya Campuni Binafsi huwa awatambui hizo namba mpaka uwapeleke Copy ya Kitambulisho,
Ulienda NIDA Kuomba Copy ya Kitambulisho utapewa Sounds au Wanakwambia haiwezekani.
Kitambulisho...
Mr. NICE ALIWIKA sana lakini anaonekana ni Mzee wa maneno ya kujisifia sana, kumekuwa na takwimu zisizo eleweka za mauzo ya kazi za wasanii hapo zamani. Huku Mr. Nice akitamba kwamba yeye aliuza nakala milioni 1.7 na aliemfuatia alikuwa around laki 380,000/= wakati huo huo tunaambiwa na Feruzi...
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Kumekuwa na wimbi la vijana waiba contents bila kutoa Credits kwa wahusika.
Binafsi nimeona contents zangu (Hasa Simulizi zangu) zikiwa zinatumiwa na Vijana katika mitandao ya Facebook,Twitter,Instagram na Telegram.
Naelewa Vijana mnajipatia chochote...
Waweza kumfundisha kasuku aseme hana uwezo na ukamzawadia zabibu kumuashiria kafaulu mtihani nae akajiona kichwa, basi ndivyo ilivyo kwa IT wetu wa Tz wanafunzi wa vyuoni na wahitimu kibao, vyeti wanavyo na wengine wana ufaulu mkubwa sana lakini hawana uwezo wa kutatumia maarifa hayo lau kutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.