Hiyo hapo chini interview ya Ulimwengu baada ya Magufuli kuchaguliwa kuwa raisi wa Tanzania, kamwagia sifa kibao na kumponda Kikwete kwa kumuuzi Kagame, ukiangalia na kusoma vizuri utaona who is pulling the strings hapa Tanzania, jisomee mwenyewe hapo chini, Ulimwengu wa wakati Magufuli...
Salaam Wakuu,
Polisi wana mbinu nyingi za kutengeneza mazingira ya Rushwa na kukupiga faini. Huwezi pona kwenye 18 zao, watatafuta kosa hadi walipate.
Sitaki kusema Chuo cha Polisi Moshi (CCP) hawafundishi ila nadhani wanatakiwa kubadili Mitaala yao. Kuna vitu wanavifanya Polisi wetu hadi...
Habari gani Wakuu ninaamini mpo vyema kabisa. Naomba Moja kwa moja niende kwenye mada
Tanzania ni Taifa lenye bahati kubwa. Wazo la bandari ya Bagamoyo ni la kipekee na Mataifa Mengi yangeona yapo nyuma mno kama nchi ya Tanzania ingekuwa na hii bandari leo.
Mradi huu umeachwa na kuchelewa kwa...
Wakati tukiwa tunashangazwa na kuumizwa na usaliti unaofanywa na baadhi ya wanasiasa wetu, binafsi naanza kupata mashaka kuwa huenda kuna rushwa kubwa inatumika kuwarubuni wanasiasa hawa mpaka kufikia hatua ya kusaliti wananchi wao na kusaliti msimamo yao.
Inawezekana wanapokea mlungula mrefu...
Kenya Police Fire Tear Gas at COVID-19 Corruption Protesters
Demonstrators run from teargas fired by police at a protest against alleged corruption, including the theft of supplies for the fight against the coronavirus, at Uhuru...
5 Corruption Scandals That Rocked The Nation 2019
Kenya takes to corruption as fish to water. Ranked 144 out of 180 countries on Transparency International’s 2018 Corruption Perception Index, it is no wonder the country is perceived as one of the world’s most corrupt countries.
The Jubilee...
Picha: Renatus Muabhi
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (TAKUKURU) inamshikilia Katibu Mkuu wa Chama cha Siasa kiitwacho Chama Cha Kijamii (CCK), Renatus Muabhi kwa kujifanya Mtumishi wa Taasisi hiyo
Anadaiwa pia kuomba rushwa ya Tsh. Milioni 50 kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya...
TUHUMA ZA RUSHWA YA NGONO: TAARIFA ZAIDI ZINAHITAJIKA
Habari,
Kumekuwa na tuhuma kadhaa ambazo zimekuwa zikisambaa kwenye Mtandao wa JamiiForums zikielekezwa kwa madaktari wa Hospitali ya Rufaa ya Mbeya
Wengi wa walioleta tuhuma hizo hawakuleta taarifa za kina ili kusaidia kuwatia hatiani...
A verdict in the corruption trial of Sudan's deposed president Omar al-Bashir is expected to be delivered on Saturday, months after his ouster in April in the face of unprecedented mass protests.
Bashir has been on trial in a Khartoum court since August on charges of illegally acquiring and...
The Journalists Exposing Corruption in Kenya
"Our goal is to show Africa as it really is: The good, the bad, the ugly, the potential," says John Allan Namu, an investigative journalist in Nairobi, Kenya. He co-founded Africa Uncensored, an investigative journalism collective that works to...
Kuna rafiki yangu kanitumia hii kutoka Nairobi Kenya, kwamba D.Trump amechoshwa na corruption ya politicians wa Kenya, na sasa hakuna kuingia USA, na wanavyopenda kusafiri kwa Muzungu lazima watachanganyikiwa,
By JF Reporter
FORGET about Panama and Paradise Papers, now it is Mauritius Leaks, which have emerged to contain four - at least for now, Tanzania’s companies that have done businesses or operating huge transactions in the tiny Indian Ocean Island in Africa.
Three months investigations have...
By Samantha Cole of Tanzania Business Ethics
Almost 1 in 5 of the biggest UK companies paid NOTHING last year and 5 companies even got a handout back from the taxman!
We, in Tanzania, already learnt our lessons the hard way with Barrick Gold and Acacia Mining who succeeded for many years to...
By Samantha Cole of Tanzania Business Ethics
Barrick Gold loses their Appeal in the Australia Supreme Court.
No surprise that the Judges found Barrick “inappropriate” and “not reliable” in their methods. When will someone be accountable?
Last week, in Australia, following THREE lost appeals...
A PUBLIC LETTER TO THE HON. PRESIDENT OF TANZANIA, MINISTER OF JUSTICE, ATTORNEY GENERAL AND OTHERS
Hon. President John P. Magufuli, Prof Palamagamba Kabudi and Dr Adelardus Kilangi
Copies to:
Board members of Barrick Gold & Acacia Mining;
Chief Secretary, Amb. JWH Kijazi;
Minister of...
Report in The Citizen By Beldina Nyakeke
The Acacia North Mara Goldmine acting general manager has called for peace and harmony between the mine and the host community. Currently, the mine is surrounded by a wall that separates the firm from the host community.
Acacia mining is advocating for...
An open letter to His Excellency, President John P. Magufuli, President of Tanzania
WATER, WATER EVERYWHERE - BUT NO WATER FOR THE RESIDENTS OF TARIME, TANZANIA?
In our Holy Bible: Ecclesiastes 1:9
That which has been, is that which will be, And that which has been done, is that which will be...
BARRICK GOLD SHARES
July 2016 - around US$ 22.30
August 2018. - around US$ 09.80
ACACIA MINING SHARES
August 2016 - around GB£ 600.00
August 2018 - around GB£ 109.00
We are NOT happy about this because it is is in our interests for these companies to be successful...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.