Wandugu.
Wengi kwasasa tunaelewa kinachoendelea kati ya uongozi wa jeshi la polisi na kamati ya bunge (PAC) katikati akicheza Saidi Lugumi na timu yake ya vigogo.
Hii Leo jeshi la polisi lilipaswa kua limewasilisha mkataba wao na Lugumi Enterprises ikiwa ni pamoja na payment trends in which 99...
Mtakumbuka ule mkataba uliozua mjadala mkubwa kati ya jeshi la polisi na kampuni ya Lugumi ambayo mtoto wa rais mstaafu Ridhiwan Kikwete amekiri kuwa na urafiki na mmiliki wake. Leo mbivu na mbichi inajulikana baada ya kuwekwa hadharani mbele ya kamati ya bunge.
Kashfa hiyo inatarajiwa kukigawa...
Ndugu wana JamiiForums,
Nchi yetu imetafunwa mno na ni wakati sasa tuseme imetosha. Tumsaidie Rais Magufuli na Serikali yake kuweza kuzifahamu kero zetu za yanayotusumbua kama Watanzania ambayo tungependa yafanyiwe kazi.
Karibuni sana.
MWONGOZO: Elezea jipu/kero yako na kama ina ufafanuzi wa...
Nimepitia baadhi ya habari na kuona kuwa hii topic ni nyeti sana na inagusa mengi, kwa nini isijadiliwe:
IPTL, ANGLO LEASING YA TANZANIA ISIYOTAMKWA.
GAZETI Tando la Pambazuko limebandika ripoti inayotakiwa kusomwa na kila anayeitazama kwa jicho la mapendo ...
Who is this guy:
Mr. Patrick...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.