course

A full-course dinner is a dinner consisting of multiple dishes, or courses. In its simplest form, it can consist of three or four courses; for example: first course, a main course, and dessert.

View More On Wikipedia.org
  1. Yerusalemu30

    The course of empire

    Painted by Thomas Cole (1801 - 1847) Kila jamii huangamia kutokea ndani mwake. Tanzania ni Moja ya nchi zinazopiga hatua hivi Sasa lakini Nina swali Wadau. SWALI: IKIWA ADUI HUFUNGULIWA LANGO LA JIJI NA MSALITI KUTOKEA NDANI ILI AUTEKETEZE MJI. JE? NINI KITATUANGAMIZA KAMA HATUTACHUKUA HATUA MAPEMA.
  2. K

    Kwa ufaulu huu nataka aende chuo, je akasomee course gani?

    Huyu ni mdogo wangu amepata ufaulu huu Ila Mimi nataka aaende chuo moja kwa moja aanze certificate mpka degree Naona kwenda advance ni kupoteza muda Natamani asome Cyber security Computer engineering science IT and accountancy Micro biology Naomba ushauri wako Benson Civic C history C...
  3. Zekoddo

    Ras Simba English Course

    Eti wakuu... Huyu Ras Simba Mwamba wa kufundisha English language (ung'eng'e) ana vituo DSM pekee Huku mikoani hamna..? Mimi Niko mikoani nataka nijipige msasa kidogo wakuu. Huu mtaa ninaoishi wazungu ni wengi mno. Nataka nipige nao story mwazo mwisho bila kukwamakwama
  4. M

    Chuo cha veta cha mkoa upi kinafundisha short course ya STEEL FIXING/USUKAJI WA NONDO?

    Wakuu chuo gani Cha veta hapa Tanzania wanafundisha kozi fupi ya steel fixing/USUKAJI WA nondo na ada yake ni kiasi gani? NB:Kama Kuna sehemu wanafundisha hata kama sio veta naomba mnielekeze wakuu nitalipia gharama za mafunzo.
  5. D

    MSAADA: Chuo gani kinafundisha short course za FIRE FIGHTING?

    Habari Wana JF, kama kichwa Cha Uzi kinavyosomeka hapo juu. Naomba taarifa kwa wanaofahamu short course yoyote ambayo ni related na maswala ya fire fighting. Natanguliza ahukrani
  6. A

    DOKEZO Mwalimu Farida Washokera wa SAUT-MWANZA Atoe incomplete kwenye matokeo ya (BASIC ENGLISH) kwa Wanafunzi wa Course ya mass Communication

    Na sio Kuwazungusha kwani Wanafunzi Hawa wamekuwa wakilalamika kutoshughulikiwa changamoto Yao ya kutokujaziwa matokeo Yao toka mwaka wa masomo 2023/2024 Semister ya kwanza. Aidha Wanafunzi Hawa wamefatilia kwa viongozi mbalimbali wa chuo akiwemo HOD ya Journalism and Mass Communication lakini...
  7. Mike Moe

    Wadau wa sports naomba kujuzwa namna ya kufanikisha kujiunga na course za ukocha na uamuzi

    Habari za wakati huu ndugu wana jf na wadau wa sports naomba kujuzwa namna ya kufanikisha kujiunga na course za ukocha na uamuzi wa mchezo wa soka kwa hapa kwetu Tanzania. Kwa sasa ambao tunataka kuitumikia football katika nyanja hizo mbili. Kwa mwenye atakuwa na connection ya kufanikisha hayo...
  8. F

    KERO VETA DSM wanawachagulia vijana course wasizotaka

    Kuna kero imejitokeza VETA DSM kwa matokeo ya vijana usaili uliofanyika miezi kadhaa nyuma. Vijana wamefata matokeo na kujikuta wamechaguliwa course ambazo hawakuomba. Mfano kijana aliomba umeme wa magari anajikuta amechaguliwa course ya plumbing na wakijaribu kuomba ufafanuzi wanajikuta...
  9. A

    DOKEZO Chuo cha ICOT-Morogoro cha Wizara ya Ujenzi kinatoa elimu dhaifu na hakilipi wakufunzi

    Habari ndugu zangu, kuna chuo kimoja kinaitwa ICOT hapo mjini Morogoro kipo chini ya wizara ya ujenzi kinatoa course za diploma kwa electrical, mechanical na civil engineering aisee kina changamoto kubwa sana. Chuo hakina wakufunzi wakutosha kwaio wanatumia wakufunzi wa part time ila cha ajabu...
  10. Lady ammy

    Msaada wa vyuo vinavyotoa kozi fupi za komputa na ada zake

    Habari Wana JF, Ninaomba mnisaidie kwa anayejuwa VYUO VINAVYOTOA SHORT COURSE YA COMPUTER NA ADA ZAKE.
  11. Geok

    Short course gani ya ICT, yenye uwanja mpana kwenye kujiajiri?

    Wadau habarini!!! Niende moja kwa moja kwenye title. Nina mpango wa kusoma short course inayohusiana na mambo ya ICT, ili nije nijiajiri kutokana na huo ujuzi nitakaoupata. Nimeshafanya tafiti zangu binafsi kwa vyuo wanavyotoa hizi short course, na nime-decide nipige ATC coz nipo chuga kwa...
  12. sanalii

    Waislam wana nia ila hawana mipango. Kinachoendelea Syria ni ushahidi tosha

    Ni rahisi muislam kushawishika na kua na nia, kuatayari kujitolea au kupigania dini bila ya kua na mpango unaoeleweka. kwa sababu hiyo, watu wenye mipango wanawatumia sana waislam kwa kigezo cha itikadi kutimiza mipango yao. Ukiweza kushika kisha cha kiongozi wa kiislam akawaaminisha waislam...
  13. Meddy MD

    Course inayohusiana na mambo ya chanjo Vaccination hata Tanzania

    Course gani inahusika na mambo ya chanjo ( vaccine) ? , but nina diploma ya nursing nahitaji kusoma level ya bachelor ila nimeajiliwa halmashauri nahitaji kujiendeleza. Kama utakuwa na uelewa naomba ushirikiano wako.
  14. Friedrich Nietzsche

    Muuguzi mwenye Bachelor ni course gani za masters nzuri kusoma

    Wajuvi wa mambo twendeni kazi, Muuguzi mwenye Bachelor Ni course gani za masters nzuri kusoma
  15. Jamii Opportunities

    Consultant for Technical Development of an E-learning Course at JamiiForums November, 2024

    Position: Consultant for Technical Development of an E-learning Course Location: Tanzania (Dar es Salaam) Duration: 1st December 2024 – 28th February 2025 Application Deadline: 18th November 2024 Required Languages: English and Kiswahili Position: Consultant for Technical Development of an...
  16. Jamii Opportunities

    Consultant for Content Development of an E-learning Course at JamiiForums November, 2024

    Position: Consultant for Content Development of an E-learning Course Location: Tanzania (Dar es Salaam) Duration: 1st December 2024 – 28th February 2025 Application Deadline: 18th November 2024 Required Languages: English and Kiswahili JamiiForums, through the “Mwananchi Makini” project...
  17. morechil

    Naomba ushauri wa Kozi hizi za Veta

    Naomba ushauri vip kuhusu hizi course veta ipi soko lake liko vizuri 1. Electrical installation 2. Auto Electrical 3. Motor vehicle mechanic
  18. S

    Short course ya Industrial Pharmacy Teaching hapa Tanzania utai-apply kweli?

    Nimeon tangazo la short course ya industrial pharmacy je hapa tz inasoko?
  19. M

    Msaada wa Course ya kusoma chuo

    Jamani Kuna mdogo wangu kapata degree ya Medical Doctor Kairuki na pia diploma in radiology Muhumbili. Anauliza yeye kama yeye achague wapi coz anahisi sasa MD haina deal tena kwa siku hizi.
Back
Top Bottom