A full-course dinner is a dinner consisting of multiple dishes, or courses. In its simplest form, it can consist of three or four courses; for example: first course, a main course, and dessert.
Painted by Thomas Cole (1801 - 1847)
Kila jamii huangamia kutokea ndani mwake.
Tanzania ni Moja ya nchi zinazopiga hatua hivi Sasa lakini Nina swali Wadau.
SWALI: IKIWA ADUI HUFUNGULIWA LANGO LA JIJI NA MSALITI KUTOKEA NDANI ILI AUTEKETEZE MJI. JE? NINI KITATUANGAMIZA KAMA HATUTACHUKUA HATUA MAPEMA.
Huyu ni mdogo wangu amepata ufaulu huu
Ila Mimi nataka aaende chuo moja kwa moja aanze certificate mpka degree Naona kwenda advance ni kupoteza muda
Natamani asome
Cyber security
Computer engineering science
IT and accountancy
Micro biology
Naomba ushauri wako
Benson
Civic C
history C...
Eti wakuu...
Huyu Ras Simba Mwamba wa kufundisha English language (ung'eng'e) ana vituo DSM pekee Huku mikoani hamna..?
Mimi Niko mikoani nataka nijipige msasa kidogo wakuu.
Huu mtaa ninaoishi wazungu ni wengi mno. Nataka nipige nao story mwazo mwisho bila kukwamakwama
Wakuu chuo gani Cha veta hapa Tanzania wanafundisha kozi fupi ya steel fixing/USUKAJI WA nondo na ada yake ni kiasi gani?
NB:Kama Kuna sehemu wanafundisha hata kama sio veta naomba mnielekeze wakuu nitalipia gharama za mafunzo.
Habari Wana JF, kama kichwa Cha Uzi kinavyosomeka hapo juu. Naomba taarifa kwa wanaofahamu short course yoyote ambayo ni related na maswala ya fire fighting. Natanguliza ahukrani
Na sio Kuwazungusha kwani Wanafunzi Hawa wamekuwa wakilalamika kutoshughulikiwa changamoto Yao ya kutokujaziwa matokeo Yao toka mwaka wa masomo 2023/2024 Semister ya kwanza.
Aidha Wanafunzi Hawa wamefatilia kwa viongozi mbalimbali wa chuo akiwemo HOD ya Journalism and Mass Communication lakini...
Anonymous
Thread
basic english
chuo
chuo kikuu
communication
course
english
kikuu
kutatua
mass communication
matokeo
mtihani
mwalimu
mwanza
saut
saut mwanza
tatizo
uongozi
wakati
wanafunzi
zoezi
Habari za wakati huu ndugu wana jf na wadau wa sports naomba kujuzwa namna ya kufanikisha kujiunga na course za ukocha na uamuzi wa mchezo wa soka kwa hapa kwetu Tanzania.
Kwa sasa ambao tunataka kuitumikia football katika nyanja hizo mbili.
Kwa mwenye atakuwa na connection ya kufanikisha hayo...
Kuna kero imejitokeza VETA DSM kwa matokeo ya vijana usaili uliofanyika miezi kadhaa nyuma. Vijana wamefata matokeo na kujikuta wamechaguliwa course ambazo hawakuomba. Mfano kijana aliomba umeme wa magari anajikuta amechaguliwa course ya plumbing na wakijaribu kuomba ufafanuzi wanajikuta...
Habari ndugu zangu, kuna chuo kimoja kinaitwa ICOT hapo mjini Morogoro kipo chini ya wizara ya ujenzi kinatoa course za diploma kwa electrical, mechanical na civil engineering aisee kina changamoto kubwa sana.
Chuo hakina wakufunzi wakutosha kwaio wanatumia wakufunzi wa part time ila cha ajabu...
Anonymous
Thread
changamoto
chuo
course
diploma
electrical
habari
hapo
kina
kubwa
mechanical
mjini
morogoro
ndugu
ndugu zangu
sana
ujenzi
wizara
wizara ya ujenzi
Wadau habarini!!!
Niende moja kwa moja kwenye title. Nina mpango wa kusoma short course inayohusiana na mambo ya ICT, ili nije nijiajiri kutokana na huo ujuzi nitakaoupata. Nimeshafanya tafiti zangu binafsi kwa vyuo wanavyotoa hizi short course, na nime-decide nipige ATC coz nipo chuga kwa...
Ni rahisi muislam kushawishika na kua na nia, kuatayari kujitolea au kupigania dini bila ya kua na mpango unaoeleweka. kwa sababu hiyo, watu wenye mipango wanawatumia sana waislam kwa kigezo cha itikadi kutimiza mipango yao. Ukiweza kushika kisha cha kiongozi wa kiislam akawaaminisha waislam...
Course gani inahusika na mambo ya chanjo ( vaccine) ? , but nina diploma ya nursing nahitaji kusoma level ya bachelor ila nimeajiliwa halmashauri nahitaji kujiendeleza.
Kama utakuwa na uelewa naomba ushirikiano wako.
Position: Consultant for Technical Development of an E-learning Course
Location: Tanzania (Dar es Salaam)
Duration: 1st December 2024 – 28th February 2025
Application Deadline: 18th November 2024
Required Languages: English and Kiswahili
Position: Consultant for Technical Development of an...
Position: Consultant for Content Development of an E-learning Course
Location: Tanzania (Dar es Salaam)
Duration: 1st December 2024 – 28th February 2025
Application Deadline: 18th November 2024
Required Languages: English and Kiswahili
JamiiForums, through the “Mwananchi Makini” project...
Jamani Kuna mdogo wangu kapata degree ya Medical Doctor Kairuki na pia diploma in radiology Muhumbili. Anauliza yeye kama yeye achague wapi coz anahisi sasa MD haina deal tena kwa siku hizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.