course

A full-course dinner is a dinner consisting of multiple dishes, or courses. In its simplest form, it can consist of three or four courses; for example: first course, a main course, and dessert.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Course za chuo

    Ipi ni course bora kati ya information system na information technology ili niweze kuconfirm course ndio nataka kuanza chuo mwaka wa kwanza
  2. Eli Cohen

    Hakujawahi kuwepo taifa la Palestine. Pata crush course kidogo

    1. Kabla ya Israeli, kulikuwa na mamlaka ya Uingereza, sio taifa la Palestina. 2. Kabla ya Mamlaka ya Uingereza, kulikuwa na Ufalme wa Ottoman, sio dola ya Palestina. 3. Kabla ya Ufalme wa Ottoman, kulikuwa na dola ya Kiislamu ya Wamamluk wa Misri, sio taifa la Palestina. 4. Kabla ya dola...
  3. S

    Msaada: Nawezaje kuhamisha selection yangu kutoka DUCE kwenda UDSM Mlimani kusoma course nyingine tofauti na education

    Jamani nimekua selected course ya bachelor of arts with education Duce lakini ninahitaji kwenda udsm mlimani kusoma course nyingine nifanyaje ili kubadili admission
  4. M

    Naomba ushauri kati ya kozi hizo

    Habari wakuu, kwa heshma kubwa naomba, nahitaji muongozo wenu. Nimepata 1: Bachelor of Arts in Economics -Ardhi university 2: Bachelor of Economics and finance -IFM Nilisoma HGE ufaulu wangu ni 1.8 (History B, Geography C, Economics C,Bam D) Naomba ushauri wenu wakubwa zangu nichukue ipi...
  5. G

    Course ya Procurement and Supply Management inahusiana na nini?

    Naomba mnisaidie kunielewesha kuhusu hii course, na maeneo gani unaweza kuajiriwa baada ya kuhitimu?
  6. thephilanthropist

    Naombeni mnisaidie kumshauri mdogo wangu Course ya Kusoma

    Kapata matokeo mazuri sana, kwa hiyo Competition sizani kama itakua ni tatizo sana, kubwa anataka kujua course mzuri ya Kusoma. Matokeo. Chemistry A, Physics A , Adv Mathematics A .
  7. C

    Chuo Bora Cha private diploma kwa course ya dental au radiology

    Habari Wana JF ....nimefanya maombi ya chuo diploma serikalini ila sijapata hovyo naulizia chuo Cha private kizuri ambacho naweza pata mojawapo ya hzo course nikasome maana Nina mpango wa kwenda degree
  8. C

    Ni chuo gani Bora Cha private ngazi ya diploma kwa course ya radiology na dental?

    Kichwa Cha habari chajieleza naomba msaada Wana JF maana nimeomba vya serikali nimekosea hovyo naulizia vyuo vizuri vya private maana Nina mpango wa kujiendeleza na degree
  9. G

    Je, nichague course ipi nzuri na yenye fursa ya ajira kwa combination za arts?

    Mimi ni muhitimu wa kidato Cha sita mchepuo HGK. Nahitaji kujua ni course ipi nzuri na yenye fursa ya ajira naweza kwenda kusomea chuo kikuu?
  10. ndege JOHN

    Kwanini watumishi wapya siku hizi hawafanyiwi orientation course

    Mfanyakazi hujamfanyia induction akikosea maana yake anaweza kukuruka akitoa siri hana kosa maana yake hajui lolote. Zamani niliona zinaendeshwa kwanini ni kama zimesitishwa je ni wajibu wa Taasisi, au tume ya maadil au huko utumishi wenyewe nani anawajabika na orientation
  11. J

    Nahitaji kujua muda wa application ya kozi ya Radiology

    Jaman nisaidie I natak kujua mda wa application wa hiyo course ya radiology.
  12. A

    Natafuta Vyuo vinavyotoa Course ya Commmunity Health

    Hivi course ya COMMUNITY HEALTH ipo na inatolewa kweli? Nimejaribu kufatilia vyuo vingi sijaiona. Naomba kama kuna mtu anajua chuo kinachotoa hii course tafadhali.
  13. M

    Mtu mwenye masters na hana degree ya hiyo kozi aliyopitia post graduate diploma anatambulika kwenye ajira?

    Habari wadau wa JF, Hivi mtu mwenye masters lakini hana undergraduate degree ya hiyo course aliyopitia post graduate diploma anatambulika kwenye ajira sekta binafsi au serikalini?
  14. E

    Msaada course outline za MA Linguistics UDSM

    Habarini wataalaam wa Lugha, naombeni mwenye course outline za MA Linguistics UDSM anitumie. Nipate ABCs. Shukrani.
  15. complexi

    Msaada, namna ya kufuta course ajira portal

    Naomba kujuzwa namna ya kufuta course ambayo nimesave kwenye mfumo wa ajira portal. Nimeweka level ya education ni diploma na nimesave but nikijaribu kufuta inakataa, lengo niombe kazi kwa kutumia level ya certificate na siyo Diploma. Naomba mnisaidie kama kuna namna ya kufuta.
  16. C

    Naomba kueleweshwa kuhusu Foundation Course

    Samahani ndugu zangu, mwenye uelewa kuhusiana na foundation course naomba ufafanuzi, na pia ni vyuo vipi vinavyo toa hiyo course kwa Masomo ya Mathematics na chemistry (Education)
  17. jeneralikevin

    Microsoft Excel Short Course

  18. R

    2023/24 Diploma course

    Kulinganga na wakati tuliofika kitechnology interms of our country Long term Strategies Course ambazo vijana waliomaliza form four Muda mrefu mf 2012 na Wana ndoto ya kujiunga chuo ili walau apate nta 4 or above
  19. Umkonto umsizwe

    Chuo Gani tofauti na veta chang'ombe wanatoa course ya generator service and repair

    Habari members Naomba kufahamu kama kuna chuo chochote tofauti na veta chang'ombe ambacho wanatoa course ya generator service and repair na vigezo vyao Asante 🙏
  20. REALITY

    Ebooks,softwares and video course

    Hi 1.a secret link with database books of everything you know in this planet,you can download freely,books worth millions of money on Amazon but the secret link provides for free. 2.An Ebook that consists of more than 200 google drive links which each consists of a specific computer course...
Back
Top Bottom