A full-course dinner is a dinner consisting of multiple dishes, or courses. In its simplest form, it can consist of three or four courses; for example: first course, a main course, and dessert.
1. Kabla ya Israeli, kulikuwa na mamlaka ya Uingereza, sio taifa la Palestina.
2. Kabla ya Mamlaka ya Uingereza, kulikuwa na Ufalme wa Ottoman, sio dola ya Palestina.
3. Kabla ya Ufalme wa Ottoman, kulikuwa na dola ya Kiislamu ya Wamamluk wa Misri, sio taifa la Palestina.
4. Kabla ya dola...
Jamani nimekua selected course ya bachelor of arts with education Duce lakini ninahitaji kwenda udsm mlimani kusoma course nyingine nifanyaje ili kubadili admission
Habari wakuu, kwa heshma kubwa naomba, nahitaji muongozo wenu. Nimepata
1: Bachelor of Arts in Economics
-Ardhi university
2: Bachelor of Economics and finance
-IFM
Nilisoma HGE ufaulu wangu ni 1.8
(History B, Geography C, Economics C,Bam D)
Naomba ushauri wenu wakubwa zangu nichukue ipi...
Kapata matokeo mazuri sana, kwa hiyo Competition sizani kama itakua ni tatizo sana, kubwa anataka kujua course mzuri ya Kusoma.
Matokeo.
Chemistry A, Physics A , Adv Mathematics A .
Habari Wana JF ....nimefanya maombi ya chuo diploma serikalini ila sijapata hovyo naulizia chuo Cha private kizuri ambacho naweza pata mojawapo ya hzo course nikasome maana Nina mpango wa kwenda degree
Kichwa Cha habari chajieleza naomba msaada Wana JF maana nimeomba vya serikali nimekosea hovyo naulizia vyuo vizuri vya private maana Nina mpango wa kujiendeleza na degree
Mfanyakazi hujamfanyia induction akikosea maana yake anaweza kukuruka akitoa siri hana kosa maana yake hajui lolote. Zamani niliona zinaendeshwa kwanini ni kama zimesitishwa je ni wajibu wa Taasisi, au tume ya maadil au huko utumishi wenyewe nani anawajabika na orientation
Hivi course ya COMMUNITY HEALTH ipo na inatolewa kweli? Nimejaribu kufatilia vyuo vingi sijaiona.
Naomba kama kuna mtu anajua chuo kinachotoa hii course tafadhali.
Habari wadau wa JF,
Hivi mtu mwenye masters lakini hana undergraduate degree ya hiyo course aliyopitia post graduate diploma anatambulika kwenye ajira sekta binafsi au serikalini?
Naomba kujuzwa namna ya kufuta course ambayo nimesave kwenye mfumo wa ajira portal.
Nimeweka level ya education ni diploma na nimesave but nikijaribu kufuta inakataa, lengo niombe kazi kwa kutumia level ya certificate na siyo Diploma.
Naomba mnisaidie kama kuna namna ya kufuta.
Samahani ndugu zangu, mwenye uelewa kuhusiana na foundation course naomba ufafanuzi, na pia ni vyuo vipi vinavyo toa hiyo course kwa Masomo ya Mathematics na chemistry (Education)
Kulinganga na wakati tuliofika kitechnology interms of our country Long term Strategies
Course ambazo vijana waliomaliza form four Muda mrefu mf 2012 na Wana ndoto ya kujiunga chuo ili walau apate nta 4 or above
Habari members
Naomba kufahamu kama kuna chuo chochote tofauti na veta chang'ombe ambacho wanatoa course ya generator service and repair na vigezo vyao
Asante 🙏
Hi
1.a secret link with database books of everything you know in this planet,you can download freely,books worth millions of money on Amazon but the secret link provides for free.
2.An Ebook that consists of more than 200 google drive links which each consists of a specific computer course...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.