Moja ya mapendekezo ya Tume iliyomshauri Mhe. Rais kuleta chanjo ilikuwa ni kujenga kiwanda cha chanjo kwa haraka. Napena kusisitiza kuwa pendekezo hili namba 7 lifanyiwe kazi kwa uharaka ule ule ili nchi isiingìe kwenye deni lisilo la lazima.
Wataalamu wetu wanashauri tupate chanjo ya Covid, lakini waliojiongeza na kutumia vitamin B12 pamoja na chanjo waliweza kupambana na maambukizi ya Covid na kupona haraka.
Kuna wakati Vitamin B12 hazikupatikana katika mtandao pendwa wa Amazon. Watumiaji waliongezeka kwa wingi kutokana na...
Zimbabwe imerejesha marufuku ya kutotoka nje na karantini za lazima kwa wasafiri wote huku kukiwa na ongezeko la visa vya Covid ili kuzuia kuenea kwa aina mpya ya kirusi cha Omicron.
Nchi hiyo imerekodi zaidi ya visa 130,000 vya Covid na takriban vifo 4,700 tangu janga hilo lianze mapema mwaka...
Rais wa China Xi Jinping ameahidi kutuma barani Afrika dozi bilioni moja za chanjo ya Covid-19 ili kusaidia kuziba "pengo la chanjo". Rais alitoa ahadi hiyo wakati wa mkutano wa kilele wa China na Afrika.
Kati ya bilioni moja, dozi milioni 600 zitatoka China moja kwa moja huku milioni 400...
Ujerumani hii leo imetangaza idadi ya juu kabisa ya maambukizi ya virusi vya corona wakati ikipambana na wimbi la nne la maambukizi lililoibuka tangu mwishoni mwa mwezi Oktoba.
Taasisi ya kudhibiti magonjwa ya kuambukiza nchini Ujerumani ya Robert Koch imesema leo kwamba imerekodi visa vipya...
LONDON — Drugmaker Pfizer Inc. has signed a deal with a U.N.-backed group to allow other manufacturers to make its experimental Covid-19 pill, a move that could make the treatment available to more than half of the world’s population.
In a statement issued Tuesday, Pfizer said it would grant a...
Dr. John Pombe Magufuli was right. Inachukiza na kuumiza kuongea maneno haya sababu sikuwa na upendo kwake. But Ukweli ni kuwa He was Right.
COVID-19 (Wabunge wa CDM waliopo Bungeni) ilikuwa ni biashara na itaendelea kuwa biashara. Watu ni kweli wapo waliofariki kwa ugonjwa huo. Sikatai but ni...
Nilikuwa mjini Dar nikaona wageni / Wazungu sijui na waNigeria? wanahitaji huduma ya kupima korona
Wakawa wanaulizia wapi wanaweza kubadili Dola wapate shilingi kwa kuwa eti pima covidi inahitaji shilingi pekee.
Nikajiuliza
Hivi ni kweli kuwa wizara ya Afya haihitaji Dola?
Yaani dola...
Huku akitamani kukagua gwaride la 9 December Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameingiwa na wasiwasi wa ni namna gani wazungu waliompa pesa za Covid watamchukulia endapo ataandaa kusanyiko takatifu la kiwango kile la watu.
Duru za kweli kabisa zinatabanaisha kuwa huenda maadhimisho ya...
Beware of mainstream newspapers, TV stations, and websites which censor the truth while spreading dangerous misinformation, lies, and propaganda about the pandemic and the harmful, often fatal genetic COVID-19 “vaccines” which are directly killing and maiming millions of people.
The “Dirty...
Ofisini kwetu limekuja agizo kwamba wafanyakazi wote tunatakiwa kuchanja tuwe na certificate ya COVID-19.
Binafsi nipo mikoa ya kanda ya ziwa huku ambako wengi hawakubaliani na chanjo.
Nilijiamini SIKU nikienda NI kufika Tu na kuchanja maana wengi kitaa wanasema hawachanji.
Sasa Jana...
Janga la Covid "litaendelea kwa mwaka zaidi ya inavyotakiwa" kwa sababu nchi masikini hazipati chanjo zinazohitajika, Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) linasema.
Dkt. Bruce Aylward, kiongozi mwandamizi wa WHO, alisema inamaanisha janga la COVID-19 linaweza "kujivuta kwa urahisi hadi 2022"...
Colin Powell, the former secretary of State and chairman of the Joint Chiefs of Staff, has died from Covid complications at the age of 84.
Powell was previously diagnosed with multiple myeloma, a type of blood cancer that hurts the body’s ability to fight infections.
“General Colin L. Powell...
Huyo Tonny Blair tuko wengi tunamuona kama mzandiki fulani.
Alimuunga mkono Bush kuivamia Iraq kwa sababu za uongo eti kuna silaha za maangamizi wakati ni uongo.
Nchi nyingine za Ulaya zilisita ila Tonny Blair akawa kimbelembele na wakaiangamiza Iraq tokea uchumi, watu wake hadi miundombinu...
Wahenga walisema ukistaajabu ya Farao utashangaa ya Musa. Najaribu kutafuta picha kama akina Mdee na wenzake kwa jinsi walivyokuwa kindakindaki na utii ndani ya chama na mwenyekiti, wadada wa Bawacha walikuwa na makesi kibao ya kumtii Mwenyekiti lakini leo kunauadui zaidi ya ule wa chui na paka...
Visa sita kati ya kila visa saba vya ugonjwa wa korona havingunduliwi barani Afrika, Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) linasema.
Imefanya hesabu kulingana na fomula ambayo inaangalia vifo vilivyorekodiwa na viwango vya vifo vya visa vya ugonjwa huo.
Kufikia sasa ni visa milioni nane tu vya...
Tanzania seeks World Bank support for Covid effort, balance of payments
SATURDAY OCTOBER 02 2021
Summary
In a meeting in Dodoma September 28, President Samia Suluhu held talks with the World Bank’s Regional Vice President for Eastern and Southern Africa, Hafez Ghanem, and discussed her...
Kwa mujibu wa sheria ya afya jamii ya mwaka 2009 (Public Health Act, 2009) kifungu cha 24, imeeleza kuwa ni lazima kuchanjwa wala sio hiari.
Na kila aliyechanjwa anapaswa kuwa na kadi/cheti. Vilevile, kifungu hicho cha 24 (2) kinatoa adhabu ya shilingi laki moja au kifungo cha miezi mitatu au...
Inavyoonekana serikali ya Tanzania imeanza kulazimisha wananchi kuchanja chanjo za Covid bila ridhaa zao.
Tumeona mkuu wa mkoa wa Mbeya akitoa kauli za kulazimisha watu huko Mbeya kuchanja ikiwemo wafungwa
Sasa kuna kauli tena ya serikali ikiagiza wakurugenzi watendji wa Taasisi za serikali...
The research team from University of California, Riverside, among others, are focusing on using chloroplasts that plants use to convert sunlight into energy, to produce edible plant-based mRNA Covid-19 vaccines.
Written by Sharangee Dutta | Edited by Avik Roy, Hindustan Times, New Delhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.