crdb

  1. Kuna shida gani CRDB salary advance

    Nimeingia kwenye simbanking app nikiangalia kwenye menu sioni icon ya salary advance,imetolewa au kuna marekebisho wamefanya...?
  2. CRDB Bank hili suala halijakaa sawa

    Habari Wakuu! Leo katika harakati za kuweka mambo sawa nilienda Bank CRDB Bank main customer service desk pale nikakuta kuna mteja anataka kufanya account activation coz ilikuwa dormant sasa akawa hana kitambulisho ila ana copy tu ya kitambulisho cha Taifa. Ikabidi wale wadada wamwambie ni...
  3. Kuna shida gani CRDB Bukoba?

    Wakuu. nipo huku mkoa wa BUKOBA hakika nimesikitika kupata taarifa kutoka kwa wajasiriamali wa hapa juu ya benki hiyo tawi la Bukoba kusitisha utoaji mikopo na kufunga matawi yake yote ndani ya mji. tawi la Zamzam limefungwa na yale yote yaliyoko pemmbezoni mwa mji. Wajasiriamali wanasema kuwa...
  4. Specialist; Cyber Security at CRDB Bank

    Reporting line- Manager; CyberSecurity Job Summary Responsible for daily monitoring of the IT Infrastructure using security technical expertise and looking for patterns and potential issues, this includes working in close connection with Senior ICT Management. Focal point for the provision of...
  5. CRDB hii siyo sawa, rekebisheni hili

    Mko vizuri sana kwenye slogan yenu ULIPO TUPO. Mtu anakopa hela kwenu kwa makubaliano kuwa mtakuwa mnamkata kwenye mshahara wake kila ukiingia mwisho wa mwezi. Mme muingizia mtu mkopo jumatatu hii mshahara haujaingia bado lakini leo hii alhamisi mmeanza kukata kwenye ule ule mkopo mnakiuka...
  6. K

    Gawio la Hisa CRDB

    Kama mwanahisa napenda nielemishwe kwa yafuatayo:- (1) Ni kigezo gani kinachotumika (Directors fees)mathalani Wakurugenzi 10 kulipwa Tshs.965,000,000 kwa mwaka na hii ina maana ya Tshs 96,500,000 kwa Mkurugenzi moja kwa mwaka na Tshs 8,041,666 kwa mwezi kwa mkurugenzi moja na kwa siku...
  7. K

    Gawio la hisa za CRDB

    Jana kulikuwa na mkutano wa wanahisa wa CRDB kule Arusha na katika agenda ya gawio kwa wanahisa waliazimia kuwa kila hisa moja watatoa gawio la Tshs.36. Binafsi kama mwanahisa sijaridhika na gawio la Tshs.36 kwa hisa mpaka nipate majibu kwa yafuatayo:- (1) Ni vigezo gani mliotumia kufikia...
  8. Ni kweli kwamba watumishi wasiopitishia mishahara yao benki ya CRDB hawana nafasi ya mikopo katika benki hiyo?

    Hili suala nimelisikia sehemu ndugu zangu wanajamii forum kwa mnaojua ukweli wa suala hili Basi mtujuze tusiojua vizuri.
  9. Zonal ICT Specialist- Eastern Zone at CRDB Bank

    Reporting line- Manager, Card System Job Summary Provide effective technical support for Eastern zone office and branches for all ICT working tools such as computers, printers, scanners, office machines and End-User working tools. Responsible to provide the best level of support to ensure...
  10. CRDB kuna shida gani? Mnachelewesha sana kutoa mikopo

    Benki ya CRDB imekutwa na kitu gani kwenye idara yao ya mikopo? Unaomba mkopo inapita mwezi au zaidi hawaweki pesa! Ukifuatilia ni majibu ya kupigana kanzu. Kama shida ni mikopo kuwa centralized rudisheni branch ndo wawe wanalipa. Mna riba nafuu lakini inaboa kufuatilia mkopo for long time...
  11. Zonal ICT Specialist- Eastern Zone at CRDB Bank May, 2022

    Reporting line- Manager, Card System Job Summary Provide effective technical support for Eastern zone office and branches for all ICT working tools such as computers, printers, scanners, office machines and End-User working tools. Responsible to provide the best level of support to ensure...
  12. N

    Kwanini CRDB hutoa gawio dogo?

    Benki ya CRDB ni moja kati ya benki kubwa hapa nchini. Kitu nisichoelewa kutoka benki hii ni sababu zinazoifanya benki kutangaza gawio kiduchu mara inapoatangaza ukifananisha na banki za ukubwa wake kama NMB? Je inaweza kuwa ni sababu ya benki kuwa na expenses kubwa ambazo zikipunguzwa...
  13. M

    Wabunge Kushangilia Bungeni kupewa Futari ya bure na CRDB je, kwa wenye Akili Watanzania wote tunaonekana vipi?

    CRDB mnatoaje Futari ya bure kwa Wabunge ambao tayari wana Posho ya zaidi ya Shilingi 350,000/= kwa Siku badala ya Kusaidia Makundi ya Watu wengi wenye Mahitaji hasa kwa Kipindi hiki na hata katika Maisha yao ya Kiujumla? Kilichonishangaza zaidi ni Kitendo cha Wabunge kutangaziwa na Spika wa...
  14. Board Members Vacancies at CRDB

    BOARD MEMBERS VACANCIES CRDB Bank PLC is a leading commercial bank in Tanzania. Established in 1996, the Bank has grown and prospered over the years to become the most innovative and trusted Bank in the country. The Bank attained an important milestone when it was listed on the Dar Es Salaam...
  15. Specialist Result Management at CRDB Bank

    Job Reporting To: Head of Business Excellence Job Purpose To facilitate the adoption of various unconventional ways of building long-lasting efficiency capabilities and creation of several dynamics that will trigger the bank to adjust its traditional approach and work with grains of these...
  16. Specialist; Financial Reporting at CRDB Bank

    Reporting line- Manager; Financial Reporting Job Summary Responsible for Bank’s financial reports preparations in accordance with financial standards; such as International Financial Reporting Standards (IFRS), Regulators guidelines/ regulations, Bank policies and other procedures of the Bank...
  17. K

    Siku nzima ya leo benki ya CRDB haikufanya kazi kwa ukosefu wa mtandao

    Siku ya leo haikuwa siku nzuri kwa CRDB. Wateja wengi tulikosa huma na wengine tulikaa ndani ya Benki kwa muda mrefu sana kwa Benki kukosa mtandao. Mpaka sasa Benki haijatuomba radhi licha ya kupata adha kubwa.
  18. Manager; Security Operations Center (SOC) at CRDB

    Job Summary Reporting line- Senior Manager, ICT Security Job Summary Responsible for the Security Operation Center to Plan, direct and control the SOC functions and operations, ensure the monitoring and analysis of incidents to protect People, Technology and Process addressing all security...
  19. Business Manager; Islamic Banking - HQ at CRDB

    Job Summary To achieve business growth through selling, promoting and guide CRDB Islamic Banking products and services for specified zone/s or focal areas or regions of concentration. Responsible to work closely with RMs across the branches and zones to acquire profitable customers and sell...
  20. CRDB mmefanya kibaguzi haiwezekani Zanzibar mtoa mikopo isiyo na riba,Tz bara mikopo iwe na riba

    Hii imekaaje wadau naona imekaa kibaguzi sana,ina maana sisi Tanzania bara hatuna uhitaji na hiyo mikopo au? Zanzibar ni wa muhimu sana kwenu kuliko sisi? Au Zanzibar ni masikini sana mmeamua kuwapa upendeleo? Kila siku wajasiriamali wanalia kuhusu riba lakini mmeweka pamba masikio. Kama swala...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…