crown

A crown is a traditional symbolic form of head adornment worn by a monarch or by a deity (as distinct from a hat), for whom the crown traditionally represents power, legitimacy, victory, triumph, honor, and glory, as well as immortality, righteousness, and resurrection. In art, the crown may be shown being offered to those on Earth by angels. Crowns may also be in the form of a wreath of flowers, oak leaves, or thorns. In religious art, a crown of stars is used similarly to a halo. Crowns worn by rulers often contain jewels.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    Ofisi za crown FM zpo wap?

    Wakuu naomba kuuliza ofisi za crown FM radio zpo wapi? Nikaombe Kaz na mm ya photographer na videographer na uandaaji wa vipindi Mwenye kufahamu anokuze .. ,🙏🙏
  2. N

    FCC, TCRA, Pitieni jina la Crown Fm linashabihiyana na Clouds Fm!

    Jana (Julai 01' 2024) ndio siku rasmi Crown Fm wameanza kutangaza baada ya kumaliza majaribio, na leo ( Julai 02' 2024) wamerusha kipindi cha michezo. Kwa mtazamo wangu naona jina la Crown Fm na Clouds Fm kama hautakuwa makini katika usikilizaji unaweza sikIa kama wametamka Clouds Fm, na hiyo...
  3. E

    Hivi kuna uwezekano wa kubebana kwa kufuatana Ndani ya Crown ?

    Kuna story ya ulawiti imenifanya niwaze sana hili suala linawezekanaje ndani ya crown . Wazoefu wa mambo kazi kwenu
  4. M

    Jinsi Crown media ilivyoajiri. Ni somo kubwa kwa Graduates wanaotafuta ajira. Zama zimebadilika

    Habari wadau. Kwenye media industry ya Tanzania kuna media mpya imeanzishwa ambayo inasemekana inamilikiwa na Joseph Kusaga , salim kikeke wakishirikiana na msanii alikiba Kusaga ni mzoefu mmiliki wa media nyingi ikiwemo cloudsfm, wasafimedia etc. Mfumo wa kuajiri uliotumika kupata...
  5. salehe magari mazuri

    Car4Sale Crown new model on sale

    ON SALE (EES) - Price 23.7ml 0768160670 👑 CROWN ATHLETH 🆕✔️ MODEL KALI SANA Color 🖤 BLACK MWAKA * 2009* Engine 2490CC Low mileage 55000 New tyre Clean sana 0768160670 EXCHANGE ALLOWED
  6. GENTAMYCINE

    Kwanini nikimuangalia Diamond naiona Sura ya Umiliki wake wa Wasafi Media, ila kila nikimuangalia Ali Kiba siioni Sura ya Umiliki wa Crown Media?

    Kwa tuliosoma vyema Psychology hasa ile ya Communication naomba tutafute Clips za Interviews za Diamond kuhusu Umiliki wake wa Wasafi Media kisha naomba tuchukue na Clips za Interviews za Ali Kiba na Umiliki wake wa Crown Media ( halafu zingatieni pia katika Body Languages zao ) na mkimaliza...
  7. Mkalukungone mwamba

    Wakuu hivi Crown ni gari ya ndoto za vijana wengi Bongo?

    Wakuu hivi Crown ni gari ya ndoto za vijana wengi Bongo? Tupia maoni yako hapo?
  8. BARD AI

    DJ D Ommy ajiunga na Crown FM kutoka Clouds FM

    Kituo cha Redio kinachomilikiwa na Nyota wa Bongo Flava pamoja na Mtangazaji Salim Kikeke kimemchukua DJ D Ommy aka “The INTERNATIONAL DJ! JITU na sasa ni “Head of Music Department” hapa CROWN Media. @djdommy pale ni Nyumbani. WIKI YA MATUKIO Imeanza na TUKIO la kwanza la Kimkakati Limepigwa...
  9. B

    Car4Sale Nauza magari ya aina mbalimbali

    Altezza inauzwa million 5, Dar es Salaam… mwaka wa kufosi huu lazma uwe na ndinga yako. Kwa mawasiliano 0612630936
  10. Intelligent businessman

    Salim Kikeke ajiunga rasmi na Crown FM & TV

    Mtangazaji Nguli, Mwanahabari na Mwandishi wa habari mashuhuri Afrika Mashariki na Kati, Salim Kikeke amejiunga na Redio/TV ya Crown FM/TV inayomilikiwa na Alikiba. Hii ni baada ya Alikiba kusasisha video inayoonyesha Salim Kikeke akikataa kupokea simu ya Wacha Fu FM inayotafsiriwa kuwa ni...
  11. Cute Wife

    Salim Kikeke rasmi kwenda Crown TV

    Salama Wakuu? Watu walitabiri na kutabiri mara Kikeke anaenda TBC, mara anaenda Wasafi, mara atalamba teuzi za Rais Samia akaungane na Zuhura, sasa kutabiri kumeisha, Kikeke huyooo kwa CROWN. Mjadala sasa umeisha. Ila hii mbinu ya kudiss kuonesha anaenda sehemu fulani kwa kudiss redio nyingine...
  12. Mhaya

    Dullah Planet aliyeacha kazi EATV sasa rasmi ahamia CROWN FM ya Ali Kiba

    Aliyekuwa mtangazaji nguli wa EATV na East Africa Radio, Dullah Planet, Mjukuu wa Wambua rasmi ametambulishwa na kukaribishwa kwenye Radio ya Ali Kiba, Crown Radio. Ambapo tayari accounts za instagram zimepost kuonesha kumkaribisha nguli huyo wa vipindi vya TV na Radio. Wiki chache zilizopita...
  13. hp4510

    Naitaji Toyota Crown Athlet ya mwaka 2011

    Jaman naitaji Toyota crown athlet ya mwaka 2011 Iwe namba E Ikiwa Rangi nyeupe au black no problem Price yangu ni milion Tisa Niko dar es salaam Kama kuna mtu anayo please ndm
  14. A

    The United States Treasury has sanctioned Crown Bus Services and two Kenyans for financing the Al Shabaab militia

    The US Treasury said Crown Bus Services has supported al-Shabaab’s logistical operations/FILE ANTI-TERROR WAR US Sanctions Crown Bus, Associates Over Al Shabaab Financing OFAC named Kenya-based Faysal Yusuf Dini (Dini), working closely with Mohamed Jumale Ali Awale (Awale), as an al-Shabaab...
  15. Analogia Malenga

    Kama Crown FM imezinduliwa bila kuwa hewani, litakuwa ni kosa kubwa la kibiashara

    Imagine watu wanataka kupata radha, ubunifu na vipindi tofauti. Uzinduzi umefanyika halafu kitu kisipatikane. Kwanza niseme nimetune channel hiyo zaidi ya mara sita ila sisikii kitu, kwenye kurasa za Crown FM sioni content, Inaonekana kama ilizundiliwa kuwaweka watu tayari wakati wenyewe wakiwa...
  16. B

    Crown Prince wa Iran - Nchi ya Iran kwa sasa ingekuwa Japan ya Mashariki ya Kati

    UTAWALA WA SASA IRAN UNAMULIKWA KWA KURUNZI KALI, NA SABABU ZA IRAN KUFADHILI VURUGU MASHARIKI YA KATI Interview na Crown Prince Reza Pahlavi mwana wa Shah wa mwisho wa Iran Shah Mohamed Reza Pahlavi https://m.youtube.com/watch?v=Gn_glW0wGQ8 Source : Valuetainment Crown Prince Reza Pahlavi...
  17. Jozedan56009

    Ipi nzuri kati ya Crown Athletes grs200 na Mercedes Benz C200 Compressor

    Habari wakuu, Wenye uzoefu na hizo gari mbili ipi iko vizuri?
  18. Eli Cohen

    Ila jamani crown nyeusi ni bonge la gari, inavutia kweli

    CLASS AND ELEGANCE
  19. and 300

    Toyota Crown Japan Ni taxi

    Tunakumbushana tu kuwa Toyota crown Japan ni taxi tu. So tupunguze shobo na kuvimba bila sababu.
  20. salehe magari

    Car4Sale Nauza magari ya aina mbalimbali

    NISSAN DUALIS *CROSS RIDER Price :17.5mls (GARI NI MPYA 100%) Year 2010/2011 Engine Cc 1990 Full Ac Low mileage Rim sports 0688591584
Back
Top Bottom