A crown is a traditional symbolic form of head adornment worn by a monarch or by a deity (as distinct from a hat), for whom the crown traditionally represents power, legitimacy, victory, triumph, honor, and glory, as well as immortality, righteousness, and resurrection. In art, the crown may be shown being offered to those on Earth by angels. Crowns may also be in the form of a wreath of flowers, oak leaves, or thorns. In religious art, a crown of stars is used similarly to a halo. Crowns worn by rulers often contain jewels.
Naweka facts kwa jinsi zilivyo based on demographics, so hakuna ukabila hapa bali ni demographical facts.
Lets just admit kina Mwaisa they have the southern crown, Southern namaanisha mikoa ya kusini Mbeya, Songwe, Rukwa, Iringa. Njombe, Ruvuma, Mtwara, Lindi,
Nawakumbusha tena Power...
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Kimweri (mwenye kanzu) akimkabidhi mshindi wa kampeni ya Benki ni SimBanking, Mayani Yahaya Hassan mkazi wa Dodoma funguo ya gari baada ya kuibuka kidedea katika droo iliyochezwa mapema mwezi huu. Wengine pichani ni wafanyakazi wa Benki ya CRDB ambao walishiriki...
Hili gari origin yake ni crown majesta, engine 3.5Ltr 😬😬lakini Usiiogope 😄😄maana ni HYBRID, mfumo wake ni CVT yaani kiufupi ulaji wake wa mafuta ni kama wa 2.0Ltr engine cars😋😋 kwa average ni 15km/ltr . Hii ni premium Edition ya crown iliyotengenezwa miaka iyo na kama tujuavyo kwa Majesta ndio...
Gari nzuri ipo mwanza mjini ni Toyota crown namba D..rangi ya silver ipo katika hali nzuri bei ni millioni 10 japo maongezi yapo..0769344686 nipigie tuzungumze.
Habari ya mchana waungwana, gari hii hapa haina shida yoyote ni nzima kabisa.
Gari ipo Goba njia ya kwenda Madale.
Bei ni 9.5 pekee.
Ukitaka kuiona, kukagua na kumaliza ama picha zaidi nicheki chap
0755963775 calls/WhatsApp
Nabii huyu Ni Nani ?pesa anazipataje yey ni kweli ni tapeli Kama wanavyosema watu kuwa tapeli au Ni kijan mchapa Kaz Basi tusema wivu tu kwa kuwa pia anaonekana na pisi Kali na kula Bata hapa jiji dsm
Kjn Ni mchapakaz kwani nimeona mirad Yake ya nguruwe na kuku hata tukisema sadaka anazitumia...
Wakuu kwema.
Naombeni ushauri kwenu wataalam, nataka ninunue Sedan siku chache zijazo, na gari hizo mbili zote New model Fuga (Hy51) na Crown (Grs200) ndio nimezipenda.
Ushauri wenu, ipi nichukue?
Sent using Jamii Forums mobile app
Crown Prince wa Abu Dhabi ktk United Arab Emirates, Mohammed bin Zayed Al Nahyan amesema kuwa anaamini kuwa Russia ina haki ya kuhakikisha usalama wa taifa hilo (Russia) hauhatarishwi. Maneno hayo kiongozi huyo ameongea alipokuwa akizungumza kwa simu na rais wa Russia, Putin.
Viongozi hao...
Nimepitia pitia akaunti mbalimbali za mitandao mingi inayouza magari ya mkononi, jambo ambalo sijaelewa ni kwamba magari mengi ya aina ya Crown yanayouzwa ni Yale CROWN ROYAL SALOON. Siyaoni sana CROWN ATHLETE sababu ni nini?
Niwe mkweli, nilikua sijawahi kuendesha gari aina ya toyota crown na mbaya zaidi kwenye circle yangu hakukua na mtu anaemiliki toyota crown labda siku moja ingetokea by chance nikaiendesha.
Mimi binafsi preference ya magari yangu ni SUV kama Prado, Harrier ama Vanguard ambayo nimewahi kumiliki...
Usiharibu gari yako kwa Spacer nitafute kwanamba +255742662669 kwa sport shock-ups zasaizi yauvungu unaouhitaji katika gari yako.Kwa spare nyingine za Magari pia karibu Dukani Mwananyamala Komakoma.
Habari za jion, naomba kupewa ufahamu juu ya hili,
Leo nilienda garage flani kwa ajili ya kubadilisha shockup gari ni crown athlete na ni shockup za rear wheel, sasa baada kumuelezea fundi na kuikagua gari akasema shockup zangu ni za umeme na pair zinauzwa laki 8.
Lakin sikuridhika na maelezo...
The Crown Prince HE Muhammad bin Sulaiman, deputy prime minister and minister of defense has congratulated Madam Samia Suluhu Hassa for becomming President of Tanzania. Below is the quote from the Saudi gazette.
"RIYADH — The Custodian of the Two Holy Mosques King Salman has sent a cable of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.