dagaa

The silver cyprinid (Rastrineobola argentea) also known as the Lake Victoria sardine or mukene, is a species of pelagic, freshwater ray-finned fish in the carp family, Cyprinidae from East Africa. it is the only member of the genus Rastrineobola.

View More On Wikipedia.org
  1. Nyam

    Natafuta vijana wa kuniuzia dagaa za kukaanga kutoka Mwanza

    Wapendwa wana JF, Mimi ni mdada mjasiliamali mdogo, natafuta vijana wa kuniuzia dagaa zangu za kukaanga natoa Mwanza naleta Dar, nimezipack na kuzibland vizuri, ntawalipa kwa commission nzuri tu... Ili mradi bidhaa zangu ziuzike, nawatamani sana wale vijana wanaoweza kuuza barabarani kwenye...
  2. Mtamasia

    Dagaa wa maji chumvi kutoka tanga

    Kwa jina naitwa Francis maimu napatikana mkoani tanga,ni muzajii wa dagaa wabichi na wakavu wanaovuliwa kwenye bahari ya hindi Tunauza kuanzi kilo hadi guni la kilo 100 kwa bei ya jumla ambayo ni shilingi 6500 Napatikana kwa mawasiliano no 0672844844 NIPE DILI
  3. W

    Nahitaji dagaa wa kununua

    Amani iwe nanyi nyoote. Wakuu naomba kufahamishwa bei na pahara wanapopatkana dagaa wakavu either wa Mwanza, Bukoba n.k kwa hapa jiji la Dar. Nahitaji wanaouzwa kwa kipimo cha debe (ndoo ya lita 20) na sio kwa kg. Thanks for advance.
  4. KiwandaniTz

    INAUZWA Punguzo la bei dagaa

    Dagaa wa matafuta kutoka ZIWA VICTORIA,TUPO MWANZA mikoani tunasafirisha buree kabsa . Mawasiliano yetu. 0755213580 Au whattsapp 0755213580. Kiasi kikubwa na kidogo tunauza.. Karibu sana mteja wetu
Back
Top Bottom