1. Daladala nyingi za Dar, taa za kulia huwa ni full light tu.
2. Makonda wa daladala karibu route zote isipokuwa Posta-Mwenge ni wachafu sana
3. Madereva wengi hutumia pombe kali, hasa K-Vant
4. Huzuia usingizi kwa kunywa energisers kama Azam Energy na Mo energy
5. Makondakta wakiwa na pesa ni...