Nimemaliza kidato Cha sita nimepanga kusoma md uganda,
Je, Kuna athari gani kwenda kusoma nje ya nchi bila no objection certificate ya tcu maana sijatimiza vigezo vya D tatu ya tcu na nimekosa chuo.hapa.nchini. Nimepata phy D chem D bioE 3.13
Ninataka kusoma afya ila siwezi kuona damu, nimemaliza PCB div 1.8 Kuna course gani za afya ambazo hazihusishi kuona damu?
Matokeo yang ya form 6 ni phy C chem B bio C
Nitaanza mwanzo kabisa,
Kutokana na ishu za hapa na pale nilikua sijafanya mapenzi (wala masturbation) kwa zaidi ya miezi minne, kisha siku ilivyofika a second namaliza kumwaga nikapata maumivu ya ghafla kama vile nina mtoki uliochachamaa.
Maumivu yalidumu kwa dk mbili hivi kisha yakayeyuka...
22 August 2021
Kampala, Uganda
NAIBU IGP WA JESHI LA POLISI UGANDA AFARIKI GHAFLA
Naibu Inspekta jenerali wa polisi wa Uganda Major General Paul Lokech amefariki ghafla siku ya ijumaa iliyopita. Uchunguzi wa kitabibu wa vifo umebaini kuwa marehemu Maj Gen Lokech umetokana na chembechembe za...
Kuna wakati Tanzania ilijulikana kwa umahiri katika mapambano ya kivita, na jeshi letu JWTZ liliaminika sana katika uwanja wa mapambano. Hata waasi sehemu kama DRC walikuwa wakisema wazi, kwamba hawakuogopa kukabiliana na jeshi jingine lolote isipokuwa JWTZ ndio waliwaogopa sana. Tulijenga sifa...
Habari ndugu zangu.
Kuna hii hospitali inayoitwa Machame hospitali, nimewahi kuwa na mgonjwa wangu pale siku chache zilizopita.
Ilifikia wakati akahitajika kuongezewa damu. Tulijitokeza ndugu kadhaa kutaka kuchangia damu lakini tuliambiwa pamoja na kutaka kuchangia damu inatubidi tulipie...
Kwa tunaomjua Ezekiel Kamwaga ni Simba damu na ameshafanya kazi hadi za kujitolea pesa yake mifukoni enzi hizo hakuna cha Mo wala nani.
Kashafanya kazi hadi ya kuwa Kaimu katibu Mkuu, watu wakiwa hakuna timu haina hela.
Wengine watakaokuja kumuita msaliti huko baadae hata Dar hawaijui...
Nimekusikia majuzi ukisema, CHADEMA ipo tayari kuwasamehe kina Halima Mdee na wenzake waliokimbilia CCM kwa tamaa za pesa za ubunge.
Unachotaka kufanya ni kutudharau sisi wanachama wote wa CHADEMA na wote waliomwaga Damu zao kwa ajili ya Chama. Yaani Halima Mdee na wenzake eti wasamehewe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.