damu

Damu is a god of vegetation and rebirth in Sumerian mythology.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    PCB 3.13 kuenda kusoma udaktari nje

    Nimemaliza kidato Cha sita nimepanga kusoma md uganda, Je, Kuna athari gani kwenda kusoma nje ya nchi bila no objection certificate ya tcu maana sijatimiza vigezo vya D tatu ya tcu na nimekosa chuo.hapa.nchini. Nimepata phy D chem D bioE 3.13
  2. A

    Nimemaliza PCB, nataka afya Ila siwezi kuvumiliaa kuona damu wala kuona mtu anatoka damu

    Ninataka kusoma afya ila siwezi kuona damu, nimemaliza PCB div 1.8 Kuna course gani za afya ambazo hazihusishi kuona damu? Matokeo yang ya form 6 ni phy C chem B bio C
  3. Castr

    Nilikua natoa manii yenye damu for Weeks

    Nitaanza mwanzo kabisa, Kutokana na ishu za hapa na pale nilikua sijafanya mapenzi (wala masturbation) kwa zaidi ya miezi minne, kisha siku ilivyofika a second namaliza kumwaga nikapata maumivu ya ghafla kama vile nina mtoki uliochachamaa. Maumivu yalidumu kwa dk mbili hivi kisha yakayeyuka...
  4. B

    Naibu IGP, Major General Paul Lokech afariki dunia kwa mgando wa damu

    22 August 2021 Kampala, Uganda NAIBU IGP WA JESHI LA POLISI UGANDA AFARIKI GHAFLA Naibu Inspekta jenerali wa polisi wa Uganda Major General Paul Lokech amefariki ghafla siku ya ijumaa iliyopita. Uchunguzi wa kitabibu wa vifo umebaini kuwa marehemu Maj Gen Lokech umetokana na chembechembe za...
  5. S

    Lazima kuna sababu za msingi sana kwa Msumbiji kuomba msaada wa kijeshi Rwanda kukabili waasi badala ya Tanzania ambao wana undugu nao wa damu

    Kuna wakati Tanzania ilijulikana kwa umahiri katika mapambano ya kivita, na jeshi letu JWTZ liliaminika sana katika uwanja wa mapambano. Hata waasi sehemu kama DRC walikuwa wakisema wazi, kwamba hawakuogopa kukabiliana na jeshi jingine lolote isipokuwa JWTZ ndio waliwaogopa sana. Tulijenga sifa...
  6. L

    Serikali tupieni macho hospitali ya Machame inatoza shilingi 6000 wanaochangia damu

    Habari ndugu zangu. Kuna hii hospitali inayoitwa Machame hospitali, nimewahi kuwa na mgonjwa wangu pale siku chache zilizopita. Ilifikia wakati akahitajika kuongezewa damu. Tulijitokeza ndugu kadhaa kutaka kuchangia damu lakini tuliambiwa pamoja na kutaka kuchangia damu inatubidi tulipie...
  7. The Boss

    Ezekiel Kamwaga ni Simba damu!

    Kwa tunaomjua Ezekiel Kamwaga ni Simba damu na ameshafanya kazi hadi za kujitolea pesa yake mifukoni enzi hizo hakuna cha Mo wala nani. Kashafanya kazi hadi ya kuwa Kaimu katibu Mkuu, watu wakiwa hakuna timu haina hela. Wengine watakaokuja kumuita msaliti huko baadae hata Dar hawaijui...
  8. My Son drink water

    Mbowe acha mzaha na Damu za watu

    Nimekusikia majuzi ukisema, CHADEMA ipo tayari kuwasamehe kina Halima Mdee na wenzake waliokimbilia CCM kwa tamaa za pesa za ubunge. Unachotaka kufanya ni kutudharau sisi wanachama wote wa CHADEMA na wote waliomwaga Damu zao kwa ajili ya Chama. Yaani Halima Mdee na wenzake eti wasamehewe na...
Back
Top Bottom