dar

Darkənd (also, Dər, Dar, and Der) is a village and municipality in the Ordubad District of Nakhchivan, Azerbaijan. It is located in the south of the Ordubad-Nakhchivan highway, 15 km in the south-west from the district center, on the right bank of the Gilanchay River. Its population is busy with gardening, vegetable-growing, animal husbandry. There are secondary school and a medical center in the village. It has a population of 500. The ruins of the historical and architectural monuments is in the territory of the village. The tomb, the mosque's minaret, etc. is attracting attention.

View More On Wikipedia.org
  1. CEYLON

    Napata wapi viatu hivi kwa hapa Dar?

    Habari?Nahitaji raba hizi pichani,mwenye kujua chimbo zinapopatikana anijulishe vinapopatikana.
  2. B

    Ukiwa Dar es Salaam unaweza kudhani maisha umeyapatia, kumbe umechelewa sana bila kujua

    Yaani Haya Maisha Bwna. Yanaweza kuwa yamekupiga Chenga ila bado ukawa unaamini umeyapata. Hasa hasa kama una ishi Dar kuna kaimani kanakujia kichwani kwamba huko Mbeya hakuna kitu, kuna kasumba inakupumbaza kichwani kwamba huko Mtwara kumejaa maskini tu na hakuna hela. Yaani Kichwa kinajaa na...
  3. mirindimo

    KERO DAWASA mgao, umeme mgao mtatuua Dar jamani

    Na hili jua huku unapigwa mgao wa maji wiki nzima , ukirudi japo uwashe feni unapigwa mgao wa umeme basi unakaa kama mbuzi mwenye kiu ukibweka huku ulimi nje ......mtatuua jamani ..... achilieni hata maji tu
  4. Naxria abdalla

    Kupewa maelekezo ya kuingiza gari bandari ya Dar kutoka Zanzibar

    Naitaji agent atakaenitolea gari langu bandarini linatoka znz plz naomba msaada,nilishalipia ushuru wote ninalohitaji mtu aniambie nimpe bei gani ili gari nilipate nilikiwa limepatiwa usajili na plate number kabisa
  5. GENTAMYCINE

    Kuna 'Upuuzi' gani unaendelea Dar es Salaam leo?

    Mlioko Dar es Salaam hebu tafadhalini hebu mtujuze Sisi tulio mbali. Nasikia kuna Tukio la 'Kipuuzi' sana linaendelea huko.
  6. Nsombas

    Ninaombeni connection ya kazi - Dar

    Habarini Wakuu. Nipo mbele yenu ninaomba kuunganishwa na kazi ili mradi nipate kipato changu halali. Nitaeleza kilichonikuta kwa ufupi. Mimi ni mhitimu wa Shahada ya Usimamizi Wanyamapori (bado sijaajiriwa huu ukiwa mwaka wa 9). Nina familia ya watoto wawili ingawa kwa sasa ninaishi na mmoja...
  7. Paspii0

    Naitamani Dar es Salaam ya namna hii

    👉🏾Dar es Salaam, jiji lenye giza na mwanga, limejaa ndoto na fursa zisizoisha. Lakini ni ndoto gani zinazozungumzwa na watu wanaoshindwa kutimiza malengo yao? Jiji hili linapokuja kwenye mandhari ya kibiashara na utamaduni, linatoa picha ya maendeleo, lakini je, kila pembe ya mji inavyoonekana...
  8. mdukuzi

    Tanga ilitakiwa uwe mkoa wa pili kwa uchumi baada ya Dar Es Salaam

    Mkoa umebarikiwa kila kitu Sijui wagosi wanafeli wapi
  9. Kasri Homes Tz

    House4Sale Mbezi: 4 Bedrooms House For Sale - Dar

    Direction: • Condition • Features: • Facilities: • Plot Survey: • Plot Terrain: • Plot Area: • Document: • Ideal: • Price: • Site visiting: . #InRealEstateWeConnect ☎💬: Mitandao ya Kijamii:
  10. Mr Ballo

    Natafuta Mwenza wa Maisha — Mwenye nia ya dhati tu

    Habari zenu wanajamii, Natumaini mko salama. Nimeamua tena kuweka tangazo hili kwa lengo la kukutana na mwenza wa maisha mwenye nia thabiti na malengo ya dhati. Mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 38, naishi Dar es Salaam. Natafuta mwanamke Mkristo mwenye umri wa miaka 25 hadi 35, mwenye...
  11. Consultant_Silwano

    CAREER GROWTH OPPORTUNITY IN DAR ES SALAAM

    📢 Internship Opportunity – FIRST PLUS LIMITED 📢 FIRST PLUS LIMITED is seeking a motivated intern to join our team and gain valuable hands-on experience. Qualifications: ✔ Diploma or Bachelor's degree in any field (candidates with a background in Business Administration or Procurement are...
  12. Consultant_Silwano

    CAREER GROWTH OPPORTUNITY IN DAR ES SALAAM

    📢 Internship Opportunity – FIRST PLUS LIMITED 📢 FIRST PLUS LIMITED is seeking a motivated intern to join our team and gain valuable hands-on experience. Qualifications: ✔ Diploma or Bachelor's degree in any field (candidates with a background in Business Administration or Procurement are...
  13. Kasri Homes Tz

    House4Sale Bunju: 4 Bedrooms House Inauzwa - Dar

    • Direction: • Condition • Features: • Facilities: • Plot Survey: • Plot Terrain: • Plot Area: • Document: • Ideal: • Price: • Site visiting: . #InRealEstateWeConnect ☎💬: Mitandao ya Kijamii:
  14. Pfizer

    Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa arejesha safari za ndege za Air Tanzania Dar kwenda Iringa. Nauli kuanzia Tsh 199,000 kwenda na Kurudi

    Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amezindua rasmi safari za ndege kupitia Air Tanzania kutoka Dar Es laam kwenda mkoani Iringa na kutoka Iringa kwenda Dar es laam huku akiitaka Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) kujiimarisha zaidi ili kuweza kuwa na ushindani. Prof. Mbarawa amezindua safari...
  15. DalaliBinamu

    Plot4Sale KINAUZWA KIWANJA CHENYE HATI DAR ES SALAAM

    Ukubwa wa Kiwanja - 1100 sqm Mahali - Goba centre Bei - Tshs 70,000,000/= Hati ya wizara ipo Call - 0716442950 or 0687614981
  16. Suzie

    Mpangilio wa makazi jijini Dar es salaam

    Nimejaribu kuwaza namna na mpangilio wa Makazi haswa kwa uzoefu wangu kuishi Jiji la Dar. Inakuwaje huwezi kuona hili ni eneo flani wanaishi matajiri na halipaswi kuwa na viklabu uchwara au maduka ya Mangi kama Masaki. Nashangaa Masaki pia kuna wauza njegere na wanunua vyuma chakavu kibao...
  17. mr mtenya

    DRIVER-Transport officer available (V.i.P grade ||)

    Habari ndugu na jamaa, naitwa Abduly mtenya natafuta kazi ya udereva ni mzoefi wa miaka 6, na sifa zote za udereva 99%… 📲whatsapp number & calls for more information +255659972797 asanteni👏
  18. N

    Natafuta gari ya kufanyia Bolt/ Uber iwe dar au dodoma

    Mimi ni dereva wa tax mtandaoni nina leseni yenye daraja c nina acount zote bolt, uber, little ride na farasi. Nina uzoefu wa kazi hii, gari ikiwa ya mkataba au hesabu Mawasliano +255767630088
  19. waziri2020

    Waziri Silaa akiri kasoro usajii wa Vodacom katika Soko la Hisa Dar

    Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa ameeleza kwamba sheria ambayo ilitumiwa na serikali kuishurutisha kampuni ya simu ya Vodacom kusajili asilimia 25 ya hisa zake katika Soko la Hisa Dar es Salaam DSE imekuwa na matokeo mabaya. Slaa ambaye alikuwa...
  20. MKATA KIU

    Dar kuna shule za msingi za serikali nyingi sana zimebadilishwa kuwa english medium. Tusikariri Olimpio tu. Mpeleke mwanao ya karibu na unapoishi

    Wazazi wengi wanahangaika kupeleka watoto olimpio tu. Huku wanaishi mbali na mjini. Hizi ni baadhi ya shule za msingi za serikali zilizobadilishwa kuwa english medium. Ambazo sijazitaja , sizijui naomba wengine mzitaje ili wote tuzijue 1. Chang'ombe Duce primary school ipo ndani ya Duce...
Back
Top Bottom