data

  1. Zero Competition

    Msaada kuhusu mshahara wa Data Officer MDH

    Heshima kwenu wadau Naomba kujuzwa MDH wanalipaje kwa nafasi ya Data Officer nikiwa na maana ya mshahara na pia kama kuna posho zozote wanazotoa mbali na mshahara Au yoyote mwenye idea ambae kashawahi kufanya nao kazi
  2. MK254

    Kifua mbele - Safaricom sets up first data centre in Ethiopia

    Safaricom has unveiled its first China-assembled data centre in Addis Ababa as it gears up to launch its commercial operations in Ethiopia. Built for $100 million, the facility was deployed less than a year after the consortium led by Safaricom, South Africa's Vodacom and Japan's Sumitomo was...
  3. Jamii Opportunities

    Data Manager at Ministry Of Health (MOH)

    POST: DATA MANAGER – 1 POST POST CATEGORY(S): IT AND TELECOMS EMPLOYER: Ministry Of Health (MOH) APPLICATION TIMELINE: 2022-02-20 2022-03-05 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES To ensure accurate and consistent inputting of data received from partners into database To perform data...
  4. Kasomi

    Fahamu nchi yenye bei kubwa na yenye bei ndogo kwa uuzaji wa Data

    Fahamu Leo; Ifahamu nchi yenye Bei ndogo zaidi ya data. Israel ndio nchi ambayo kifurushi cha internet huuzwa kwa Bei ndogo kuzidi nchi zote, Nchini Israel 1GB huuzwa kwa shilingi za kitanzania 150/= au chini ya 150 Fahamu Leo; Ifahamu nchi yenye Bei kubwa ya data. Guinea Equitorial ndio...
  5. beth

    Ulinzi wa Data: Sheria zinalenga kuwapa watu binafsi uwezo wa kujua jinsi Taarifa zao zinavyotumiwa

    Faragha ya Data/Taarifa limekuwa suala muhimu siku zote, lakini kadri Taarifa zetu zinavyozidi kuwekwa kidigitali na kutolewa zaidi Mitandaoni, umuhimu wake umezidi kuongezeka Kampuni moja inaweza kuwa na Mamilioni ya taarifa za wateja ambazo inapaswa kuzilinda. Sheria za Kulinda Taarifa...
  6. britanicca

    Msaada wa data na gharama za Kujenga Healthy centre Bukoba Tanzania

    Wataalamu nimepata kamtaji fulani nataka Kujenga kituo Cha afya BUKOBA VIJIJINI TANZANIA Matazamio yangu Kituo kitakuwa na vifuatavyo First Phase ni Kujenga Msingi/foundation ya kituo ambacho kitakuwa na Size: 28'x60' Square Feet: 1,680 Private Offices: 1 Restrooms: 2 Breakroom 1 Exam...
  7. beth

    Ulinzi wa Data: Wakusanya taarifa wengi hawana namna nzuri ya kuzitunza

    Wakati mwingine Taarifa hukusanywa kwa nia njema, lakini Changamoto ni kwamba wengi hawana namna ya kuzitunza Kwa mfano, mara nyingi unatakiwa kusaini kabla ya kuingia Ofisi mbalimbali. Je, taarifa zako zinahifadhiwa wapi? Kuwepo Sheria ya Ulinzi Wa Data kutasaidia kufahamu taarifa...
  8. Tony254

    Safaricom Ethiopia inajenga data center ya $100 million huko Ethiopia

    by providing a policy framework, that can help a lot. Why do young people especially those who grew up in rural areas not attracted to pick up agriculture from their parents and advance it? Most of our farmers are small scale farmers that are ageing, not conversant with technology or...
  9. Jamii Opportunities

    Scholarship opportunities for participating in micro master program on Data Economics and Development Policy

    SCHOLARSHIP OPPORTUNITY FOR PARTICIPATING IN MICRO MASTERS PROGRAM ON DATA ECONOMICS AND DEVELOPMENT POLICY OFFERED BY MASSACHUSETS INSTITUTE OF TECHNOLOGY (MIT) The Economic and Social Research Foundation (ESRF) - a policy research think tank in Tanzania, undertakes, and articulates research...
  10. sky soldier

    Sio kwamba muziki wetu uko juu bali gharama nafuu za data zilitubeba, Afrika Kusini ndiye mrithi mpya wa nafasi ya Tanzania kushindana na Nigeria

    Kwa sasa amapiano inapewa sana promo hapa Bongo na mbaya zaidi hata hao wanaimba amapiano hawaitwi Afrika Kusini ama kutrend vilivyo huko bondeni. Hapo zamani mpinzani mkuu wa Nigeria alikuwa Tanzania lakini hii ilikuwa kwajili ya silaha yetu ya bei rahisi ya data, kwa sasa mambo yamebadilika...
  11. Jamii Opportunities

    Tanzania Data Collectors at Compassion

    Compassion International Tanzania is seeking qualified data collectors to administer surveys to children, youth, and adults. The expected data collection window and time commitment for this position is January through March. Duties and Responsibilities: Maintain a personal relationship with...
  12. Data Hub

    Lessons for Statistics, Data Analysis, and Research

    Nowadays, the world is driven by data. High quality data is a must for development impact. We know that high-quality data is the foundation for meaningful policy-making, efficient resource allocation, and effective public service delivery. We need high quality data to achieve a valid and better...
  13. emmarki

    nina kifurushi cha data (MBs) na dakika nyingi kwenye simu yangu, jinsi ya kuvitumia kuniingizia pesa

    wadau mimi ni hybrid customer wa mtandao fulani hapa nchini, kila mwezi napokea Gb 5 na 900 min. matumizi yangu mtandaoni na kupiga ni machache hivyo kila mwezi zinajikusanya, naomba mawazo namna gani ninaweza kuzitumia kuingiza pesa.
  14. mludego

    Jinsi Ya Kuweka Ukomo wa matumizi ya data ktk internet

    Msaada wana jukwaa, nimekua na tatizo la matumizi makubwa ya bando mpaka imekua kero kwangu kujiunga unga mara kwa mara na vifurushi vya internet. Hata zile apps zinazo tumia data huwa nazi shutdown lkn tatizo lipo pale pale , pia sio mtu wa kuangalia videos mtandaoni kiviile lkn kifurushi...
  15. R

    Nawezaje kudesign window form App ambayo itaweza kufill data katika form tofauti tofauti

    Habari wadau nadhani bado wengi hamjanielewa apo naomba nielezee kwa utulivu ili nipate msaada maana nimegoogle nimeshindwa. Ipo hivi imagine kuna watu wengi wanafanya application sehemu kwa mfano humo kuna Wenye wazazi YATIMA WALIOOA AU WALIOOLEWA NK Sasa nataka nidesign WINDOW...
  16. J

    Mjadala wa Haki ya Ulinzi wa Data binafsi kupitia Clubhouse ya JamiiForums

    Taarifa binafsi ni taarifa yoyote inayokutambulisha, iwe inahusiana na Maisha yako binafsi, Kitaaluma, au ya umma (Mfano: Majina, Namba za Simu, Anwani n.k) Ni mara ngapi umeshakutana na taarifa za Watu wengine katika Mazingira ambayo hukupaswa kukutana nazo? Kama ni mara nyingi, basi huenda...
  17. Tuelimishanee

    Bei kubwa vifurushi vya data mwiba maendeleo ya kidigitali Tanzania

    📍 Wadau walia kila kona vifurushi kupanda maradufu tena kimya kimya 👉 Tasnia ya habari Mitandaoni, elimu, Dini, Burudani waathirika pakubwa Kutokana na kupanda maradufu kwa bei za vifurushi vya interneti nchini, huku GB 1 ya Data ikipatikana kwa zaidi ya dola 1.3 kumesababisha kupungua kwa...
  18. leonaldo

    Je, unafahamu ni kwa kipindi gani data zako zinaweza kutunzwa kabla ya kufutwa na mtoa huduma? Kesi ya Mbowe imetutoa usingizini

    Kimsingi watanzania tulio wengi hatufahamu ni kwa muda gani service provider anaweza kutunza data zako za(mawasiliano yako ya simu) kwa mujibu wa sheria,lakini pia ni wangapi tunafahamu haki zetu za kumuomba service provider kufuta data zetu pale mkataba wako wa matumizi ya akaunti unapo...
  19. phzhenry

    Nafanyaje ili nirudishe data zangu zilizokuwa katika memory?

    Kwa yeyote anayefaham jinsi ya kurudisha data zilizokuw katika memory card,memory card yangu ime corrupt.....
  20. Babyloni

    Data collectors (Field interviewers) wanahitajika

    Vijana kwa ajili ya kukusanya data (Me &Ke) wanahitajika kwa ajili ya kukusanya data kuhusu marketing survey. Location:Mwanza region for more detail DM me
Back
Top Bottom