Heshima kwenu wadau
Naomba kujuzwa MDH wanalipaje kwa nafasi ya Data Officer nikiwa na maana ya mshahara na pia kama kuna posho zozote wanazotoa mbali na mshahara
Au yoyote mwenye idea ambae kashawahi kufanya nao kazi
Safaricom has unveiled its first China-assembled data centre in Addis Ababa as it gears up to launch its commercial operations in Ethiopia.
Built for $100 million, the facility was deployed less than a year after the consortium led by Safaricom, South Africa's Vodacom and Japan's Sumitomo was...
POST: DATA MANAGER – 1 POST
POST CATEGORY(S): IT AND TELECOMS
EMPLOYER: Ministry Of Health (MOH)
APPLICATION TIMELINE: 2022-02-20 2022-03-05
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
To ensure accurate and consistent inputting of data received from partners into database
To perform data...
Fahamu Leo; Ifahamu nchi yenye Bei ndogo zaidi ya data.
Israel ndio nchi ambayo kifurushi cha internet huuzwa kwa Bei ndogo kuzidi nchi zote, Nchini Israel 1GB huuzwa kwa shilingi za kitanzania 150/= au chini ya 150
Fahamu Leo; Ifahamu nchi yenye Bei kubwa ya data.
Guinea Equitorial ndio...
Faragha ya Data/Taarifa limekuwa suala muhimu siku zote, lakini kadri Taarifa zetu zinavyozidi kuwekwa kidigitali na kutolewa zaidi Mitandaoni, umuhimu wake umezidi kuongezeka
Kampuni moja inaweza kuwa na Mamilioni ya taarifa za wateja ambazo inapaswa kuzilinda. Sheria za Kulinda Taarifa...
Wakati mwingine Taarifa hukusanywa kwa nia njema, lakini Changamoto ni kwamba wengi hawana namna ya kuzitunza
Kwa mfano, mara nyingi unatakiwa kusaini kabla ya kuingia Ofisi mbalimbali. Je, taarifa zako zinahifadhiwa wapi?
Kuwepo Sheria ya Ulinzi Wa Data kutasaidia kufahamu taarifa...
by providing a policy framework, that can help a lot. Why do young people especially those who grew up in rural areas not attracted to pick up agriculture from their parents and advance it? Most of our farmers are small scale farmers that are ageing, not conversant with technology or...
SCHOLARSHIP OPPORTUNITY FOR PARTICIPATING IN MICRO MASTERS PROGRAM ON DATA ECONOMICS AND DEVELOPMENT POLICY OFFERED BY MASSACHUSETS INSTITUTE OF TECHNOLOGY (MIT)
The Economic and Social Research Foundation (ESRF) - a policy research think tank in Tanzania, undertakes, and articulates research...
Kwa sasa amapiano inapewa sana promo hapa Bongo na mbaya zaidi hata hao wanaimba amapiano hawaitwi Afrika Kusini ama kutrend vilivyo huko bondeni.
Hapo zamani mpinzani mkuu wa Nigeria alikuwa Tanzania lakini hii ilikuwa kwajili ya silaha yetu ya bei rahisi ya data, kwa sasa mambo yamebadilika...
Compassion International Tanzania is seeking qualified data collectors to administer surveys to children, youth, and adults. The expected data collection window and time commitment for this position is January through March.
Duties and Responsibilities:
Maintain a personal relationship with...
Nowadays, the world is driven by data. High quality data is a must for development impact. We know that high-quality data is the foundation for meaningful policy-making, efficient resource allocation, and effective public service delivery. We need high quality data to achieve a valid and better...
wadau mimi ni hybrid customer wa mtandao fulani hapa nchini, kila mwezi napokea Gb 5 na 900 min. matumizi yangu mtandaoni na kupiga ni machache hivyo kila mwezi zinajikusanya, naomba mawazo namna gani ninaweza kuzitumia kuingiza pesa.
Msaada wana jukwaa, nimekua na tatizo la matumizi makubwa ya bando mpaka imekua kero kwangu kujiunga unga mara kwa mara na vifurushi vya internet.
Hata zile apps zinazo tumia data huwa nazi shutdown lkn tatizo lipo pale pale , pia sio mtu wa kuangalia videos mtandaoni kiviile lkn kifurushi...
Habari wadau nadhani bado wengi hamjanielewa apo naomba nielezee kwa utulivu ili nipate msaada maana nimegoogle nimeshindwa.
Ipo hivi imagine kuna watu wengi wanafanya application sehemu kwa mfano humo kuna
Wenye wazazi
YATIMA
WALIOOA AU WALIOOLEWA NK
Sasa nataka nidesign WINDOW...
Taarifa binafsi ni taarifa yoyote inayokutambulisha, iwe inahusiana na Maisha yako binafsi, Kitaaluma, au ya umma (Mfano: Majina, Namba za Simu, Anwani n.k)
Ni mara ngapi umeshakutana na taarifa za Watu wengine katika Mazingira ambayo hukupaswa kukutana nazo? Kama ni mara nyingi, basi huenda...
📍 Wadau walia kila kona vifurushi kupanda maradufu tena kimya kimya
👉 Tasnia ya habari Mitandaoni, elimu, Dini, Burudani waathirika pakubwa
Kutokana na kupanda maradufu kwa bei za vifurushi vya interneti nchini, huku GB 1 ya Data ikipatikana kwa zaidi ya dola 1.3 kumesababisha kupungua kwa...
Kimsingi watanzania tulio wengi hatufahamu ni kwa muda gani service provider anaweza kutunza data zako za(mawasiliano yako ya simu) kwa mujibu wa sheria,lakini pia ni wangapi tunafahamu haki zetu za kumuomba service provider kufuta data zetu pale mkataba wako wa matumizi ya akaunti unapo...
Vijana kwa ajili ya kukusanya data (Me &Ke) wanahitajika kwa ajili ya kukusanya data kuhusu marketing survey. Location:Mwanza region for more detail DM me
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.